Radio Tadio

Habari za Jumla

26 October 2021, 9:07 am

Jamii iwe makini wizi mtandaoni

RUNGWE Jeshi la polisi Wilayani Rungwe limewaomba wafanyabishara kutoa ushirikiano kwa jeshi hilo kukabiliana na watu wanao jihusisha na uwizi wa mtandaoni. Jeshi hilo limetoa kauli hiyo kupitia Mkuu wa upelezi Wilaya ya Rungwe WILLIAM NYAMAKOMANGO alipokutana na wafanyabiashara kwenye…

25 October 2021, 9:43 am

Matumizi sahihi ya mswaki tiba ya kinywa

RUNGWE Mratibu wa afya ya kinywa na meno Wilayani Rungwe Mkoani Mbeya DOKT HOSEA MWAKYUSA ameelezea matumizi sahihi ya miswaki ambapo mswaki unatakiwa kutumika ndani ya miezi mitatu. Akizungumza na kituo hiki amesema kuwa kinywa ni kitu muhumu katika kiungo…

25 October 2021, 9:21 am

Machinga kutii agizo la serikali

RUNGWE Wafanya biashara wadogo (machiga) soko la Tukuyu, wamesema wameanza kutekeleza agizo la Halmashauri la kuhama katika maeneo yasiyo rasmi wanayo fanyia biashara zao na badala yake wahamie katika maeneo waliyo pangiwa na halmashauri. Wameyasema hayo wakati wakizungumza na radio…

23 October 2021, 1:08 pm

Wananchi Kisiwa Panza walia na Maji safi na salama.

Na Said Omar Said Wananchi wa shehia ya kisiwa panza wilaya ya Mkoani Pemba wamelalamika ukosefu wa maji safi na salama katika shehia hiyo.  Wakizungumza katika mkutano wa kueleza changamoto zao mbele ya mkuu wa Wilaya ya Mkoani katika kisiwa…

October 23, 2021, 9:23 am

AHUKUMIWA MIAKA 8 JELA

Bw. Andrew Alfred Mbogela (29) mkazi wa Uyole jijini Mbeya amehukumiwa kwenda jela kifungo cha miaka 8 kwa kosa la wizi Ikulu ndogo Makete Mshtakiwa huyo amekutwa na hatia katika mashtaka mawili ambapo katika shitaka la kwanza ameshtakiwa kwa kosa…

October 22, 2021, 1:27 pm

WALIMU OENI

Walimu wa Kiume shule za Sekondari Wilayani Makete Mkoani Njombe wameshauriwa kuoa ili kupunguza tamaa zinazoweza kuwashawishi kujihusisha kimapenzi na wanafunzi. Hii ni katika kupambana na mimba kwa wanafunzi wa kike shule za Sekondari katika Wilaya ya Makete Akizungumza na…

21 October 2021, 1:20 pm

Tanzania kuzidi kuwawezesha wanawake kimaendeleo.

Tanzania imeazimia kuendelea kuwawezesha wanawake katika nyanja mbalimbali ikiwemo katika Uongozi na uwezeshaji Wanawake Kiuchumi kupitia Majukwaa ya Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Jinsia kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee…

21 October 2021, 12:09 pm

Mseleleko wawaponza vijana VVU

RUNGWE Vijana wilayani Rungwe Mkoani Mbeya wameelezea sababu zinazo pelekea baadhi ya vijana kupata maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi kutokana na tafiti zilizotolewa na tume ya kudhibiti Ukimwi nchini (Tacaids). Tafiti hizo za mwaka 2020 zimebainisha kuwa vijana kati…

21 October 2021, 9:33 am

Mila na desturi zinavyokandamiza wagonjwa wa akili

RUNGWE Hivi karibuni Dunia imeadhimisha siku ya magonjwa ya afya ya akili jamii wilayani Rungwe Mkoani Mbeya ametakiwa kuachana na imani za kishirikiana juu ya ugonjwa huo. Akizungumza na kituo hiki mratibu wa afya ya akili wilaya Dkt JOHN DUNCAN…

October 21, 2021, 9:11 am

watoto 20 kati ya 85 wakutwa na udumavu Ileje

Watoto 20 kati ya 85 wamekutwa na udumavu katika kiijiji cha Igumila wilayani Ileje mkoani Songwe baada ya kupimwa na wataalamu wa afya wakati wa kutoa elimu juu ya umuhimu wa lishe ikiwa ni kuelekea maadhimisho ya siku ya lishe…