Habari za Jumla
18 Mei 2023, 7:09 um
Sauti ya Katavi (Matukio)
TANGANYIKA. Wakazi wa kijiji cha kasinde kata ya kabungu Halmashauri ya wilaya ya Tanganyika wameutaka uongozi wa kata hiyo kutatua changamoto ya ubovu wa miundombinu ya barabara na madaraja ambayo imekuwa kikwazo kwa kipindi kirefu. Wakizungumza na Mpanda redio fm…
17 Mei 2023, 7:16 um
Sauti ya Katavi (Matukio)
KATAVI-TANGANYIKA Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Kasinde wameutaka uongozi wa kijiji hicho kutolea ufafanuzi utaratibu uliopo katika uchimbaji wa madini ya COPPER yaliyopo katika mlima wa kijijini hapo. Hii inajiri mara baada ya uwepo wa taarifa za uwepo wa…
17 Mei 2023, 10:43 mu
Sauti ya Katavi (Matukio)
MPANDA Zaidi ya Mbwa 621wameuawa kufuatia zoezi lililofanyika kwa awamu nne la kuangamiza mbwa wasio na makazi maalumu ili kuondoa mbwa wenye vichaa ndani ya manispaa ya mpanda. Zoezi hilo limefanyika katika kata zote za manispaa ya mpanda na kufanikiwa…
16 Mei 2023, 7:28 um
Dhana ya Afya Moja katika kutatua changamoto za kiafya
Udhibiti wa magonjwa mbalimbali hauwezi kupatikana kwa kutumia wataalam wa sekta husika pekee hivyo kwa kutumia dhana ya Afya Moja itasaidia kupata suluhu ya afya ya binadamu, wanyama pamoja na mazingira. Na Katalina Liombechi Wataalam wa sekta mbalimbali katika bonde…
12 Mei 2023, 8:03 mu
Ahukumiwa Jela Maisha kwa kosa la kumbaka mtoto wa Miaka 7
Mahakani wilayani Bunda imemuhukumu kifungo Cha Maisha Jela Melkiadi Mgaya,umri 22years, mkulima,mkazi wa mtaa wa Balili Bunda kwa kosa la kumbaka mtoto wa Miaka 7 kwa nyakati tofauti. Kesi hiyo namba 238/2022 ya Kubaka, imetolewa hukumu May 10, 2023 Inaelezwa…
11 Mei 2023, 6:40 um
Bei ya pamba msimu wa 2022/2023 hadharani
Wakulima wa zao la pamba watauza pamba yao kwa bei ya ukomo isiyopungua 1060 kwa msimu wa mwaka 2022 na 2023. Hayo yamesema wa makaguzi wa zao la pamba wilayani Bunda Hemedi Kabea alipozungumza na Mazingira Fm iliyofika ofisini kwake…
8 Mei 2023, 8:22 mu
uhaba wa chakula shuleni chanzo cha matokeo mabaya Busokelo
RUNGWE Na, Robert Mwakyusa Walimu wilayani Rungwe wameaswa kuwa na mbinu mpya za ufundishaji ili kuboresha ufaulu wa wanafunzi wa masomo ya sayansi. Hayo yamejili kwenye baraza la madiwani lililo fanyika mwishoni mwa juma katika ukumbi wa halmashuari ya Busokelo.…
5 Mei 2023, 10:31 mu
Mitaro ya Maji kuongeza ulinzi wa Barabara
Wakazi wa kata ya Nyasura Halmashauri ya Mji wa Bunda Mkoani Mara wametakiwa kulinda miundombinu ya barabara kwa kuhakikisha mitaro iko safi ili maji yaendelea kupita vizuri pasipo kuharibu barabara. Wito huo umetolewa na Diwani wa Kata hiyo, Mh Magigi…
3 Mei 2023, 8:43 mu
Mtoto wa mwaka Mmoja na Nusu apoteza maisha kwa kutumbukia kisimani
Mtoto mmoja Slavic anayekadiriwa kuwa na umri wa mwaka Mmoja na Nusu Mkazi wa Mtaa wa idara ya Maji kata ya Bunda stoo amepoteza maisha kwa kutumbukia kwenye kisima Cha Maji nyumban kwao. Tukio hilo limetokea leo asubuhi 2 May…
30 Aprili 2023, 10:17 mu
Uwepo wa Sheria ya Ukeketaji itamaliza Ukatili huo Nchini.
Uwepo wa Sheria Mahususi inayopinga vitendo vya Ukeketaji Nchini Tanzania itasaidia kutokomoza Ukatili huu kwenye Jamii zilizoathirika na huo utamaduni3 Hayo yamesemwa na wadau wa kupinga Ukeketaji Nchini Tanzania katika mafunzo kwa waandishi wa habari ambapo lengo kuu la Mafunzo…