Radio Tadio

Habari za Jumla

18 Mei 2023, 7:09 um

Sauti ya Katavi (Matukio)

TANGANYIKA. Wakazi wa kijiji cha kasinde kata ya kabungu Halmashauri ya wilaya ya Tanganyika wameutaka uongozi wa kata hiyo kutatua changamoto ya ubovu wa miundombinu ya barabara na madaraja ambayo imekuwa kikwazo kwa kipindi kirefu. Wakizungumza na Mpanda redio fm…

17 Mei 2023, 7:16 um

Sauti ya Katavi (Matukio)

KATAVI-TANGANYIKA Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Kasinde wameutaka uongozi wa kijiji hicho kutolea ufafanuzi  utaratibu uliopo katika uchimbaji wa madini ya COPPER yaliyopo katika mlima wa  kijijini hapo. Hii inajiri mara baada ya uwepo wa taarifa za uwepo wa…

17 Mei 2023, 10:43 mu

Sauti ya Katavi (Matukio)

MPANDA Zaidi ya Mbwa 621wameuawa kufuatia zoezi lililofanyika kwa awamu nne la kuangamiza mbwa wasio na makazi maalumu ili kuondoa mbwa wenye vichaa ndani ya manispaa ya mpanda. Zoezi hilo limefanyika katika kata zote za manispaa ya mpanda na kufanikiwa…

11 Mei 2023, 6:40 um

Bei ya pamba msimu wa 2022/2023 hadharani

Wakulima wa zao la pamba watauza pamba yao kwa bei ya ukomo isiyopungua 1060 kwa msimu wa mwaka 2022 na 2023. Hayo yamesema wa makaguzi wa zao la pamba wilayani Bunda Hemedi Kabea alipozungumza na Mazingira Fm iliyofika ofisini kwake…

8 Mei 2023, 8:22 mu

uhaba wa chakula shuleni chanzo cha matokeo mabaya Busokelo

RUNGWE Na, Robert Mwakyusa Walimu wilayani Rungwe wameaswa kuwa na mbinu mpya za ufundishaji ili kuboresha ufaulu wa wanafunzi wa masomo ya sayansi. Hayo yamejili kwenye baraza la madiwani  lililo fanyika mwishoni mwa juma katika ukumbi wa halmashuari ya Busokelo.…

5 Mei 2023, 10:31 mu

Mitaro ya Maji kuongeza ulinzi wa Barabara

Wakazi wa kata ya Nyasura Halmashauri ya Mji wa Bunda Mkoani Mara wametakiwa kulinda miundombinu ya barabara kwa kuhakikisha mitaro iko safi ili maji yaendelea kupita vizuri pasipo kuharibu barabara. Wito huo umetolewa na Diwani wa Kata hiyo, Mh Magigi…

30 Aprili 2023, 10:17 mu

Uwepo wa Sheria ya Ukeketaji itamaliza Ukatili huo Nchini.

Uwepo wa Sheria Mahususi inayopinga vitendo vya Ukeketaji Nchini Tanzania itasaidia kutokomoza Ukatili huu kwenye Jamii zilizoathirika na huo utamaduni3 Hayo yamesemwa na wadau wa kupinga Ukeketaji Nchini Tanzania katika mafunzo kwa waandishi wa habari ambapo lengo kuu la Mafunzo…