Radio Tadio

Habari za Jumla

25 March 2021, 1:30 pm

Viongozi mbalimbali, wasanii Watoa heshima zao Mwisho

Na; Mariam Kasawa. viongozi, wasanii na maelfu ya wananchi wametoa heshima zao za mwisho kwa hayati Dkt. Magufuli kijijini chato mkoani geita Waziri mkuu wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa na Makamu wapili wa Rais wa serikali…

24 March 2021, 1:14 pm

Wafanyabiashara Dodoma Wamshukuru Magufuli

Na; Shani  nicholous . Kufuatia kifo cha aliyekuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Dkt.John Magufuli bado wajasiriamali wadogo pamoja na wafanyabiashara mbalimbali wameendelea kumlilia na kumshukuru kwa kuwaboreshea mazingira yao ya biashara. Wakizungumza na Dodoma Fm wajasiriamali…

24 March 2021, 12:24 pm

Wananchi wilayani maswa wamlilia Dr Magufuli

Wananchi wilayani Maswa mkoani Simiyu wameeleza kuhuzunishwa na kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati mh Dokta John Joseph Pombe Magufuli.. Wakiongea na Sibuka fm kwa nyakati tofauti wamesema kuwa Hayati Magufuli amefanya mambo mengi kwa…

24 March 2021, 12:06 pm

Rais Magufuli aliutambua mchango wa wanawake katika uongozi

Na; Mariam Matundu. Viongozi wanawake jijini Dodoma wamesema watamkumbuka daima hayati Dkt.John Magufuli kwa kuwa aliwaamini wanawake na kuwapa nafasi mbali mbali za uongozi katika kipindi cha uongozi wake. Akizungumza na taswira ya habari mmoja wa madiwani wanawake Kata ya…

March 24, 2021, 9:46 am

MADINI YA NICKEL KUWEZESHA AJIRA 3000.

IMEFAHAMIKA kwamba uwekezaji wa madini ya Nickel wilayani Ngara sambamba na kujengwa kwa kinu cha kuchenjulia madini hayo ( Smalter )katika Mgodi wa Dhahabu wa Buzwagi,wilaya ya Kahama,mkoa wa Shinyanga,utawezesha kupatikana ajira za watu 3000. Hayo yalibainishwa juzi wilayani Kahama,na…

24 March 2021, 9:09 am

Rais Magufuli ameacha alama njema kwa Taifa la Tanzania

Na ;Mariam Kasawa. Waziri wa Nchi ofisi ya waziri mkuu, Sera,Bunge,ajira ,vijana na wenye ulemavu Bi. Jenista Mhagama amesema kamati iliyo pewa kazi ya  kufanya maandalizi yote ya mazishi imekamilisha maandalizi hayo na bado inaendelea kusimamia mambo mbalimbali. Bi. Mhagama ameyasema hayo…