Habari za Jumla
March 28, 2021, 11:26 am
Nec yatangaza uchaguzi mdogo wa Ubunge Jimbo la Muhambwe Kigoma.
TUME ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza Ratiba ya uchaguzi mdogo wa Ubunge wa Jimbo la Muhambwe, mkoani Kigoma baada ya kupokea Barua kutoka kwa Spika wa Bunge kuwa kiti hicho kiko wazi. Taarifa iliyotolewa kwa Vyombo vya habari Jijini Dodoma…
27 March 2021, 3:26 pm
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania awaondoa hofu wananchi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Samia Suluhu Hassan amesema kuwa baada ya mazishi ya Dkt. John Magufuli , kinachofuata ni utekelezaji wa ahadi zote ambazo yeye na chama chake (Chama cha Mapinduzi) waliahidi wakati wa kampeni za…
27 March 2021, 4:34 am
“Magufuli ameacha haya wewe na mimi tutaacha nini?”-Padri Nyanga.
Waamini wa Kanisa Romani Katoliki Parokia ya Familia takatifu Kilosa Mkoani Morogoro wamefanya ibada ya misa takatifu kwa ajili ya kumuombea hayati Dakta John Pombe Magufuli katika safari yake ya mwisho ambapo machi 26 2021 mazishi yamefanyika Nyumbani kwao Chato…
26 March 2021, 11:52 am
Magufuli atakumbukwa kwa utendaji wake
Na; Mariam Kasawa. Hayati Dkt.John Pombe Magufuli atakumbukwa kwa utendaji kazi wake kwani alikuwa hodari tangu akiwa Waziri hadi alipoteuliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hayo yamesemwa na Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete…
26 March 2021, 11:23 am
Vyombo vya ulinzi na usalama vitamtii Rais Samia
Na; Mariam Kasawa Mkuu wa Majeshi nchini Tanzania (CDF) Venance Mabeyo amemuhakikishia Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mama Samia Suluhu Hassan kuwa vyombo vya ulinzi na usalama vitamtii na kutekeleza majukumu yake kama ilivyoainishwa kwenye Katiba ya Jamhuri…
26 March 2021, 10:29 am
Wakazi wa Chamwino waahidi kuziishi ndoto za Rais Magufuli
Na Selemani Kodima Mkuu wa wilaya ya Chamwino Vumilia Nyamoga amesema wataendelea kumkumbuka Hayati Magufuli kwa Juhudi zake ambazo alizionesha kwa wakazi wa Chamwino katika Huduma za Msingi ikiwemo Huduma ya Maji na umeme. Bi Nyamoga amesema Hayati Magufuli alionyesha…
26 March 2021, 9:49 am
Ihumwa waomba kuboreshewa soko
Na; Shani Nicolaus. Wafanyabiashara katika Mtaa wa Ihumwa jijini Dododma wametoa wito wa kukarabatiwa soko lao ili waepukane na changamoto wanayokumbana nayo hasa msimu wa mvua. Wakizungumza na Dodoma fm wafanyabiashara hao wameomba kutatuliwa adha hiyo mara baada ya kukamilika…
26 March 2021, 8:13 am
Uwajibikaji wa Vijana ni matunda ya kumuenzi Rais Magufuli
Na; Selemani Kodima Vijana Nchini wametakiwa kuendelea kuwajibika na kuonesha Uzalendo katika Majukumu yao ili kuenzi uzalendo ambao uliooneshwa na Hayati Rais Magufuli wakati wa Utawala wake. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya maendeleo ya Vijana Dodoma DOYODO…
25 March 2021, 3:58 pm
Maelfu ya wananchi Mkoa Simiyu wamlilia JPM
Maelfu ya wananchi mkoani Simiyu wamejitokeza kwa wingi katika misa takatifu ya kumuombea aliyekuwa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania hayati Dkt.John Pombe Magufuli ikiwa na lengo la kumuombea kwa MUNGU apumzike kwa amani milele. Akiongoza maelfu ya wananchi…
25 March 2021, 3:17 pm
Waandishi wa habari wa redio za kijamii kanda ya ziwa wajengewa uwezo na TADIO
Katika kuhakikisha redio za kijamii zinasikika kupitia kwenye mtandao TADIO imeanzisha program maalumu itakayozisaidia redio zote za kijamii zilizopo kwenye TADIO Mafunzo hayo ya siku mbili yamefanyika Jijini Mwanza ambapo mafunzo yanalenga kuwawezesha waandishi kutoka vituo vya redio za kijamii…