Habari za Jumla
19 Januari 2024, 10:34 um
Dc Makete afanya ziara ya kushtukiza katika hospitali ya wilaya Makete
Katika mwendelezo wa ziara za Mkuu wa Wilaya ya Makete Mh. Samweli Sweda, mapema hii leo amefanya ziara ya kushtukiza katika hospitali ya wilaya ya Makete na kubaini baadhi ya changamoto ikiwemo baadhi ya vifaa tiba kutotumika tangu 2021. Mkuu…
17 Januari 2024, 12:48 um
Madiwani Halmashauri ya Mpimbwe wajifunza Biashara ya Hewa ukaa
Utunzaji wa Misitu na upandaji Miti unahusisha biashara ya hewa ukaa .Picha na Mtandao Wanatarajia kuanza kufanya Biashara hiyo kutokana kuwa na Maeneo yanayoruhusu kufanya Biashara ya Hewa ukaa. Na Betord Benjamini-Katavi Baraza la Madiwani Halmashauri ya Mpimbwe wilayani…
5 Januari 2024, 17:38
Mafuriko yazihamisha kaya 17 wilayani Kasulu
Takribani Kaya 17 katika mtaa wa Kigungani Kata ya Mwilanvya Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma zimekumbwa na mafuriko kufuatia mvua kubwa iliyonyesha hapo jana na kupelekea baadhi ya kaya kuhama. Na, Hagai Ruyagila Mvua hiyo iliyodumu kwa zaidi ya…
4 Januari 2024, 12:45 um
Kyela:Samia atua rasmi Kyela
Wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hasan akiendelea kutekeleza miradi mikubwa yenye fedha nyingi jukwaa la kumsemea MAMA maarufu kama CHAMATA limeanzishwa rasmi wilayani kyela na kufanya uchaguzi wa viongozi wake. Nsangatii Mwakipesile Umoja wa jukwaa…
3 Januari 2024, 11:41 mu
DC Serera aagiza TAKUKURU kuwachukulia hatua waliouza ardhi ya kijiji Loiborsire…
“Jitihada hizi shirikishi zitachangia kuboresha usimamizi mzuri wa ardhi ya Vijiji na hatimaye itumike kwa maslahi ya Vijiji na Wananchi na si kwa Watu wachache wenye kujilimbikizia ardhi kinyemela bila kuiendeleza.” Dkt.Suleiman Serera ameandika katika ukurasa wake wa mtandao wa…
28 Disemba 2023, 18:00
Rungwe waandaa bajeti ya mwaka 2024/25
Na mwandishi wetu Maandalizi ya Bajeti ya Halmashauri ya wilaya ya Rungwe kwa mwaka wa fedha 2024/25 yameendelea katika ukumbi wa kituo cha Kilimo Ilenge kata ya Kyimo. Pamoja na mambo mengine Watalamu wameendelea kuchakata vipaumbele vitakavyosaidia kuleta maendeleo endelevu…
26 Disemba 2023, 3:59 um
Matukio makubwa Ngorongoro
Matukio makubwa kwa wilaya ya Ngorongoro kwa wiki mbili zilizopita na yaliyowagusa wananchi walio wengi wilayani hapa ni pamoja na ujio wa mkuu mpya wa wilaya wengi wakisubiri kuona utendaji wake wa kazi. Na Edward Shao. Haya hapa ni matukio…
20 Disemba 2023, 8:09 um
Pen America lawafunza waandishi wa habari wanawake Zanzibar kujilinda na udhalil…
Na Najjat Omar-Zanzibar Waandishi wa habari wanawake waliopo kwenye taasis mbalimbali za binafsi na Serikali wamekutanishwa pamoja na Shirikia na Pen America kwenye kikao cha siku mbili kilichojadili masuala ya udhalilishaji wa kimtandao,kulinda ,kujitetea na kuzingatia afya ya akili kwa…
19 Disemba 2023, 20:32
(KDU) LTD Kukusanya zaidi ya Sh. Mil 86 kwa Mwaka 2024
Karagwe Na David Geofrey Kayanga Duka la Ushirika (KDU) L.T.D inakusuduia kukusanya zaidi ya shilingi milioni 86 kutoka katika vyanzo mbalimbali vya mapato kwa mwaka 2024 na kuendeleza miradi yao. Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji mbele ya wajumbe wa mkutano mkuu…
17 Disemba 2023, 10:59 mu
Tulia asambaza ujumbe wa upendo kwenye jamii
katika kuhakikisha jamii inakuwa na usawa Taasisi ya Tulia Trust imeendelea kukipinda bendera ya yenye ujumbe wa upendo na kwa kuwatembelea watu wenye mahitaji mbalimbali wirayani Rungwe. Afisa Habari wa Taasisi ya Tulia Ttrust Joshua Mwakanolo akiwa na vijana pamoja…