Elimu
8 Julai 2023, 1:10 um
Mazingira fm waipa tano TADIO kwa mafunzo
Mtandao wa redio za kijamii Tanzania TADIO waendelea kuwajengea uwezo waandishi wa habari kutoka redio za kijamii namna ya kutumia mitandao ili iwe fursa kwao. Na Catherine Msafiri na Avelina Sulusi Wito umetolewa kwa viongozi wa redio za kijamii kusimamia…
7 Julai 2023, 4:51 um
Wananchi kata ya Mbekenyera waridhia kutoa eneo ujenzi shule ya sekondari
Wananchi kata ya Mbekenyera wilayani Ruangwa mkoani Lindi wameridhia kutoa maeneo zaidi ya hekari 30 pamoja na kushiriki katika nguvu kazi za ujenzi wa shule ya sekondari tarajiwa inayotajwa huenda ikaja kuitwa shule ya sekondari Nambawala. Hatua hiyo inakuja kufuatia…
4 Julai 2023, 3:02 um
Redio jamii sasa kidijitali zaidi
Kutokana na ukuaji wa teknolojia ya mawasiliano hapa nchini, Mtandao wa Redio za Jamii Tanzania (TADIO) umeendelea kuzijengea uwezo redio hizo ili kujiimarisha kimtandao zaidi. Na Mrisho Sadick – Geita Redio za kijamii 11 wanachama wa mtandao wa TADIO kutoka…
Julai 4, 2023, 2:54 um
Matundu ya vyoo shule za msingi wilayani Ngara ni kitendawili
4 Julai 2023, 14:23
Mafuriko yakwamisha huduma ya elimu kwa wanafunzi Kigoma
Wananchi wa Mtaa wa Mgumile, kata ya Kagera, manispaa ya Kigoma Ujiji, wameomba serikali kuangalia namna ya kuokoa majengo ya shule ya msingi Mgumile ambayo yamezingirwa na maji ya ziwa Tanganyika na kupelekea miundombinu yake kuharibika.
4 Julai 2023, 11:24 mu
Radio Jamii zanolewa juu ya umuhimu kutumia mitandao kuhabarisha umma
Katika kuziimarisha Radio za Kijamii, Tadio imetoa mafunzo kwa waandishi wa habari namna ya kuchapisha habari katika mtandao na faida zake katika ulimwengu wa kidigitali. Na Ally Nyamkinda Radio za Kijamii zimepewa mafunzo ya namna ya kuzipa nguvu habari katika…
4 Julai 2023, 11:18 mu
Karagwe: DC aridhishwa utekelezaji wa miradi ya elimu
Mkuu wa wilaya ya Karagwe Julius Laiser akiwa katika shule ya msingi Kambarage iliyopata fedha za mradi wa boost: Picha na Eliud Henry Mkuu wa wilaya ya Karagwe Julius Laiser amekagua na kuridhishwa na ujenzi wa vyumba vya madarasa chini…
Julai 4, 2023, 8:20 mu
Mhe. Sanga aungana na wadau kukarabati Shule Unenamwa-Makete
Mbunge Sanga aunga jitihada za wadau kwenye Elimu
Julai 4, 2023, 8:17 mu
Waziri Pindi Chana akabidhi Bati 200 Iwawa Sekondari
Waziri Mhe.Balozi Dkt. Pindi Chana akabidhi bati 200 Iwawa Sekondari
3 Julai 2023, 12:55 um
Kigoma: Serikali kuwachukulia hatua wazazi wasiowapeleka watoto shule
Kutokana na wanafunzi kutojiunga na masomo ya sekondari na wengine kuchelewa kujiunga na masomo, serikali yaahidi kuendelea na zoezi la kuwakamata wazazi wanaokiuka amri hiyo kwa kutumia sheria mbalimbali Na Glory Kusaga Changamoto ya baadhi ya wazazi kutokuwa na mwamko…