Elimu
4 Agosti 2023, 2:33 um
Namba 116 yasaidia kwa kiasi kikubwa utoaji wa taarifa za ukatili
Lengo la mafunzo haya kati ya vyama vya wenye ulemavu na waandishi wa habari ni kuweka mpango kazi wa pamoja na kuweka mapendekezo wa njia gani zitumike katika kutokomeza ukatili wa kijinsia katika jamii. Na Adelinus Banenwa Katika kukabiliana na…
4 Agosti 2023, 13:02
Elimu maalum Namakonde wapewa vitanda, magodoro waishi shule
Wanafunzi wenye ulemavu wanaosoma shule ya Msingi Namakonde wilayani Ruangwa mkoani Lindi, wamepatiwa msaada wa magodoro na vitanda kutoka kampuni ya Uranex inayojihusha na uchumbaji wa madini ya kinywe (graphite) wilayani humo kwa ajili ya kutumia katika mabweni yaliojengwa na…
3 Agosti 2023, 3:23 um
Wenye ulemavu na wanahabari wakutanishwa elimu kupinga ukatili Mara
Dismas amewataka watu wenye ulemavu hasa wanawake na wasichana kujiona watu wa kawaida katika Jamii. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa waandishi wa habari kuelimisha Jamii juu ya madhara yatokanayo ya ukatili wa kijinsia katika Jamii hasa kwa kwa wanawake…
27 Julai 2023, 8:25 um
RC Mara: Walimu zingatieni sheria sasa hivi dunia ni ya utandawazi
Walimu zingatieni sheria kwa sasa dunia ni ya utandawazi watu wanarekodi kila kitu na kutuma kwenye mitandao. Na Thomas Masalu Mkuu wa mkoa wa Mara, Mhe Said Mohamed Mtanda amewataka walimu kuzingatia sheria katika utekelezaji wao wa majukumu ili kuondoa…
27 Julai 2023, 4:40 um
Atuhumiwa kumbaka, kumpa ujauzito mwanae wa kambo
Wimbi la watoto wa kike kubakwa katika Halmashauri ya Sengerema linazidi kushika kasi ambapo wadau wa kupinga ukatili wa kijinsia wilayani hapo wamejitokeza na kulaani vitendo hivyo. Na: Anna Elias Mwanafunzi wa miaka 14 anayesoma darasa la saba katika shule…
26 Julai 2023, 7:39 um
Mgodi wa GGML umetoa madawati 3,000 shule za msingi wilayani Geita
Kutokana na changamoto ya upungufu wa madawati katika shule za msingi wilayani Geita Mgodi wa GGML umejitosa kuisaidia serikali kukabiliana na changamoto hiyo. Na Kale Chongela: Mgodi wa Geita Gold Mining Limited GGML umekabidhi madawati 3,000 kwa ajili ya shule…
24 Julai 2023, 1:38 um
Zaidi ya milioni 150 zatumika ujenzi bweni la wanafunzi wenye mahitaji maalum Ka…
Wanafunzi wenye mahitaji maalum katika shule ya msingi Katoro wilayani Geita wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuwajengea bweni ambalo limegharimu kiasi cha zaidi ya shilingi milioni 150. Serikali imeendelea kuboresha mazingira kwa wanafunzi wenye…
21 Julai 2023, 15:10
Serikali yaendelea kuboresha miundombinu ya elimu nchini
Ziara hiyo ambayo ilianzia shule ya sekondari Chilonwa kwaajili ya kukagua ujenzi wa vyumba vya madarasa na Mabweni ilihitimishwa shule ya Msingi mizengo pinda ambapo benki ya NMB ilikuwa ikikabidhi vifaa mbalibali vya ujifunzaji shuleni hapo iliwemo viti na vifaaa…
13 Julai 2023, 16:10
Shule ya sekondari Amani Abeid yamkosha Senyamule
Wanafunzi wametakiwa kusoma kwa bidii ili kukutana na fursa nyingine za kielimu. Na Fred Cheti Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amekoshwa na ufaulu wa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Amani Abeid Karume iliyopo katika kata ya Pahi…
12 Julai 2023, 5:27 um
Rais wa CWT ajibu mapigo baada ya kupewa siku 14 kujiuzulu
Vuguvugu na tuhuma kutoka kwa wanachama wa CWT zimekuwa kubwa kwa Rais wa chama hicho na katibu wake, suala lililopelekea Rais huyo kutoka hadharani na kujibia tuhuma zinazomkabili kutoka kwa wanachama wake. Na Said Sindo- Geita Ikiwa imepita wiki moja…