Radio Tadio

Elimu

3 July 2023, 12:22 pm

Zaidi ya bilioni moja kujenga shule za msingi Tabora

Serikali imetoa zaidi ya shilingi bilioni 1 na milioni 300 kwa ajili ya ujenzi wa shule mpya za msingi kwenye kata za Mtendeni, Mbugani na Tambukareli manispaa ya Tabora ili kuondoa tatizo la upungufu wa madarasa katika manispaa hiyo. Na…