Elimu
12 June 2023, 2:40 pm
TCRA yatoa mafunzo Mpanda Radio Fm
MPANDA Vyombo vya habari mkoani Katavi vimetakiwa kufuata sheria, kanuni na miongozo pamoja na kulinda haki ya mtoto na kutokutoa vipindi vyenye maudhui yenye lugha ya matusi. Hayo yamebainishwa na Josephine Ndeje afisa mahusiano kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania [TCRA]…
12 June 2023, 12:23 pm
Vyama vya ushirika Mtwara vyapigwa msasa kutumia mfumo mpya wa ‘MUVU’
Takribani wajumbe 110 kutoka vyama vya ushirika wilaya za Masasi na Nanyumbu, wakiwemo makatibu, wahasibu na maafisi ushirika, wameshiriki katika mafunzo ya kujengewa uwezo wa kuendesha mfumo mpya wa ‘MUVU’ ili waweze kutekeleza majukumu yao kiufanisi na kidigitali zaidi. Mfumo huo…
12 June 2023, 11:42
Majina wanafunzi waliochaguliwa kidato cha tano na vyuo yatangazwa
Na mwandishi wetu Wanafunzi 188,128 waliokidhi vigezo wamechaguliwa na kupangiwa kujiunga na kidato cha tano katika shule mbalimbali nchini pamoja na vyuo vya fani mbalimbali. Matokeo ya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2022 yanaonesha kuwa watahiniwa 192,348 walipata ufaulu…
8 June 2023, 2:26 pm
Makete: Zaidi ya shilingi mil. 300 kujenga shule ya msingi Ighala-Ikuwo
Mkuu wa Wilaya akizungumza na Wananchi wa Kijiji cha Ikuwo na kuwaeleza dhamira ya Serikali kuboresha miundombinu ya Elimu nchini
8 June 2023, 09:49 am
Mkuu wa wilaya Masasi, viongozi wa dini wakutana apokea maoni
Mkuu wa wilaya ya Masasi Lauter Kanona amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi mbalimbali wa kimila na kidini ndani ya wilaya hiyo, mazungumzo yaliyolenga kujitambulisha mbele ya jamii hiyo na kupokea maoni mbalimbali kutoka kwao. Miongoni mwa mambo ambayo yamejadiliwa…
31 May 2023, 13:17
Wazazi Mbwanga wahimizwa kusimamia malezi kukomesha utoro
Wananchi wamehimizwa pia kuendelea kutunza mazingira kwa kushiriki katika upandaji miti. Na Fred Cheti. Wazazi wa mtaa wa Mbwanga kata ya Mnadani mkoani Dodoma wamehimizwa kusimama vizuri katika malezi ya watoto ili kupunguza utoro wa wanafunzi unaotajwa kukithiri kwenye baadhi…
29 May 2023, 09:54 am
Mkurugenzi MTWANGONET Mtwara ahimiza jamii kupunguza vitendo vya kikatili
MASASI Ili kutokomeza vitendo vya ukatili katika jamii , mkurugenzi wa asasi isiyo ya kiserikali kutoka mkoa wa Mtwara MTWANGONET, Fidea Luanda amesema ni wajibu wa kila mmoja katika katika jamii ukatimiaza majukumu yake ili kupunguza vitendo vya kikatili. Fidea …
25 May 2023, 19:10
Berege: Madereva malori wapatiwe elimu ya kujilinda dhidi ya kemikali
Ameiomba serikali kutumia nguvu kubwa ya kulinda sekta ya uchukuzi Ili iendelee kuajiri madereva. Na Fred Cheti. Wito umetolewa kwa wamiliki wa malori nchini kuhakikisha madereva wao wanapewa elimu kwa ufasaha Ili waweze kujilinda na wasipate madhara wakati wa usafirishaji…
23 May 2023, 17:44
Madereva bajaji Iringa waanza mafunzo kupata leseni za udereva
Na Frank Leonard Madereva bajaji 132 wa mjini Iringa wameanza mafunzo ya udereva yatakayowawezesha kupata leseni za kuendesha vyombo hivyo vya moto baada ya mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Iringa Daudi Yassin kuahidi kubeba gharama zake. Mafunzo…
18 May 2023, 19:41
Aga Khan Foundation yaja na mafunzo endelevu ya walimu kazini kukuza taaluma Rua…
Kaimu mkurugenzi halmashauri ya wilaya ya Ruangwa ambaye pia ni afisa elimu msingi wilaya ya Ruangwa Mwl. George Mbesigwa amewataka walimu kutumia mafunzo yaliyoletwa na Aga Khan foundation wilaya ya Ruangwa kupitia MEWAKA kuyatumia vizuri katika kukuza taaluma mashuleni kwa…