Elimu
1 Mei 2023, 16:28
Bahi Sekondari wamshukuru Rais Samia
Amewaomba viongozi hao kusaidia kutoa elimu ili wazazi wachangie chakula cha mchana kwa watoto jambo ambalo litasaidia kuinua kiwango cha elimu shuleni hapo. Na Bernad Magawa. Uongozi wa Shule ya sekondari bahi umetoa shukrani kwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano…
29 Aprili 2023, 17:52
Wanafunzi Kilosa waaswa kuacha kutumia mitandao ya kijamii
Kutokana na matukio ya kujiingiza kwenye mapenzi ya jinsia moja wananchi wametakiwa kuwa makini na wageni ambao wanaowakaribisha majumbani mwao na kuwalaza katika vyumba vya watoto jambo ambalo ni hatari kwa usalama wa watoto kwa kufanyiwa vitendo visivyofaa. “Wanafunzi hakikisheni…
28 Aprili 2023, 14:00
Jumuiya ya wazazi CCM Bahi yalaani ndoa za jinsia moja
Maadhimisho hayo yalianza kwa kutoa elimu ya malezi kwa wanafunzi wa shule ya sekondari Bahi ambapo wanafunzi walisisitizwa kuhusu nidhamu na bidii katika masomo. Na Bernad Magawa. Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi wilaya ya Bahi imetoa tamko la…
28 Aprili 2023, 12:23
Afisa elimu Msingi Bahi atoa Motisha kwa walimu kata ya Bahi
Afisa Elimu katika kata hiyo ameahidi kuhakikisha ufaulu unapanda zaidi. Na Bernad Magawa. Afisa elimu Msingi wilaya ya Bahi Boniface Wilson ametoa motisha ya kilo 25 za sukari kwa kila shule kwenye kata ya Bahi yenye jumla ya shule tano…
26 Aprili 2023, 19:31
Kilosa yaja na falsafa isemayo Uongozi wa pamoja kwa maendeleo ya haraka
Wahitimu 256 wa chuo cha ualimu Ilonga watakiwa kwenda kuleta maendeleo yenye tija kwenye sekta ya elimu kwa kutumia ujuzi na maarifa waliyopatiwa kipindi chote ambacho walikua chuoni hapo. “Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe Dkt Samia Suluhu…
26 Aprili 2023, 13:52
Serikali yapongeza ujenzi wa shule ya sekondari lenjulu kongwa
Amewataka wakazi wa Lenjulu kutunza miundombinu na mazingira ya shule hiyo na kuhakikisha watoto wao wanakwenda shule na kusoma kwa bidii. NA Bernadetha Mwakilabi. Naibu waziri wa nchi ofisi ya Rais TAMISEMI Mh. Deogratias Ndejembi amepongeza uongozi wa wilaya ya…
26 Aprili 2023, 11:16
Shule ya Sekondari Mtwivila yapewa Computer na Runinga na Kampuni ya Vodacom.
Na Joyce Buganda Kampuni ya simu za mkononi VODACOM TANZANIA kwa kushirikiana na mradi wa AFRICAN CHILD PROJECT wametoa komputa 6,router na luninga 1 katika shule ya Sekondari Mtwivila Manispaa ya Iringa huku wakisisitiza walimu kutumia zaidi teknolojia ili kuwa…
24 Aprili 2023, 14:56
Wananchi Bahi watarajia kuchangia Zaidi ya madawati 10,000
Pamoja na wilaya ya Bahi kuwa na mafanikio makubwa kitaaluma katika mkoa na taifa, tatizo la kukosekana kwa madawati lisipodhibitiwa linaweza kuwa chanzo cha kupotea kwa mafanikio hayo. Na. Bernad Magawa. Wananchi wilayani Bahi wanatarajia kuchangia zaidi ya Madawati elfu…
21 Aprili 2023, 7:20 mu
Bunda: Wanafunzi watembea kilometa 16 hadi 20 kwa siku kufuata huduma ya elimu
Wakazi wa Kijiji Cha Nyaburundu katika Kata ya Ketare Halmashauri ya wilaya ya Bunda wameiomba serikali kuwakubalia kujenga shule ya secondary katika eneo walilolipendekeza kutokana na changamoto wanazokutana nazo watoto wao wanaokwenda kusoma shule ya Kijiji Jiran. Wakizungumza katika kikao…
20 Aprili 2023, 10:28
Millioni 30 kujenga uzio shule ya kigwe viziwi Bahi
Kukamilika kwa uzio huo kutawahakikishia usalama watoto shuleni hapo ambao wamekuwa wakiibiwa vitu mbalimbali zikiwemo nguo pamoja na vifaa vingine vya shule. Na Bernad Magawa. Katika kuendelea kutoa kipaumbele cha elimu kwa watoto wenye mahitaji maalumu hapa nchini, serikali imepeleka…