Radio Tadio

Elimu

28 April 2023, 14:00

Jumuiya ya wazazi CCM Bahi yalaani ndoa za jinsia moja

Maadhimisho hayo yalianza kwa kutoa elimu ya malezi kwa wanafunzi wa shule ya sekondari  Bahi  ambapo wanafunzi walisisitizwa kuhusu nidhamu na bidii katika masomo. Na Bernad Magawa. Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi wilaya ya Bahi imetoa tamko la…

24 April 2023, 14:56

Wananchi Bahi watarajia kuchangia Zaidi ya madawati 10,000

Pamoja na wilaya ya Bahi kuwa na mafanikio makubwa kitaaluma katika mkoa na taifa, tatizo la kukosekana kwa madawati lisipodhibitiwa linaweza kuwa chanzo cha kupotea kwa mafanikio hayo. Na. Bernad Magawa. Wananchi wilayani Bahi wanatarajia kuchangia zaidi ya Madawati elfu…

20 April 2023, 10:28

Millioni 30 kujenga uzio shule ya kigwe viziwi Bahi

Kukamilika kwa uzio huo kutawahakikishia usalama watoto shuleni hapo ambao wamekuwa wakiibiwa vitu mbalimbali zikiwemo nguo pamoja na vifaa vingine vya shule. Na Bernad Magawa. Katika kuendelea kutoa kipaumbele cha elimu kwa watoto wenye mahitaji maalumu hapa nchini, serikali imepeleka…

19 April 2023, 14:20

BOOST kuboresha elimu kongwa

Mradi wa BOOST ulianzishwa na Serikali chini ya ufadhili wa benki ya dunia unaosimamiwa na ofisi ya Rais TAMISEMI  utatumia zaidi ya bilioni 1 na milioni 352 kutekeleza ujenzi huo ambao ni moja ya afua zake. Na Bernadetha Mwakilabi. Mradi…