Ajali
5 January 2024, 23:01
Wawili wanusurika ajalini Mikumi wakielekea kwenye kipaimara
Na Hobokela Lwinga Gari Aina ya gari Noah Yenye namba za usajili T507 DPP mali ya mchungaji James Mwakalile ambalo lilikuwa likifanya kazi katika misheni ya Morogoro imepata ajali katika eneo la karibu na kambi ya jeshi December 22,2023 .…
2 January 2024, 8:55 am
Wawili wapoteza maisha ajali ya gari mkesha wa mwaka mpya Bunda
Watu wawili wamefariki Dunia na wengine watatu kujeruhiwa katika ajali iliyotokea usiku wa mkesha wa mwaka mpya eneo la Nyasura makumbusho wilayani Bunda. Na Adelinus Banenwa Watu wawili wamefariki Dunia na wengine watatu kujeruhiwa katika ajali iliyotokea usiku wa mkesha…
1 January 2024, 14:03
Madereva watakiwa kuongeza umakini msimu huu wa mvua zinazoendelea kunyesha
Madereva wa mabasi yaendayo mikoani wametakiwa kuzingatia sheria za usalama barabarani hasa kipindi hiki cha mvua ili kudhibiti athari zinazoweza kujitokeza ikiwemo ajali. Na Josephine Kiravu. Akizungumza na madereva Mkuu wa dawati la elimu usalama barabarani Nchini, ACP Michael Dereri…
31 December 2023, 7:09 pm
Mwili mwingine wa mchimbaji wa madini wapatikana mgodi wa Kinyambwiga
Mwili mwingine wa mchimbaji wa dhahabu mgodi wa dhahabu wa Kinyambwiga wilayani Bunda umeopolewa zikiwa ni siku 21 tangu taarifa za kufukiwa na kifusi Dec 09, 2023. Na Adelinus Banenwa Mwili mwingine wa mchimbaji wa dhahabu mgodi wa dhahabu wa…
31 December 2023, 10:07
Watu kadhaa wahofiwa kufariki ajalini Mbeya
Na Kelvin Lameck Watu kadhaa wanahofiwa kufariki katika ajali iliyotokea mapema leo katika eneo la Mbembela kata ya Nzovwe jijini Mbeya. Ajali hiyo imehusisha magari matatu ikiwemo roli pamoja hiace mbili ambazo zilikuwa na abiria zikifanya safari zake Sokomatola Mbalizi.…
27 December 2023, 12:51 pm
Wawili wajeruhiwa na mamba siku ya Chrismas Bunda
Watu wawili wamenusurika kifo baada ya kushambuliwa na mamba siku ya tarehe 25 wakati wakiendele na shughuli zao katika ufukwe wa ziwa Victoria. Na Adelinus Banenwa Watu wawili wamenusurika kifo baada ya kushambuliwa na mamba siku ya tarehe 25 wakati…
22 December 2023, 8:26 am
Mtoto wa miaka 14 ashikwa na mamba akiogelea ufukwe ziwa Victoria Bunda
Mtoto aliyetambulika kwa jina la Nyambega Elisha Mbayi mwenye umri wa miaka 14 mwanafunzi wa darasa la saba shule ya msingi Bulamba ameshikwa na mamba wakati akiogelea katika mwalo wa kitongoji cha Mwaloni. Akizungumzia tukio hilo Afisa tarafa wa tarafa…
14 December 2023, 16:54
Madereva wafikishwa mahakamani na kufutiwa leseni Kigoma
Madereva wa vyombo vya moto Mkoani Kigoma wametakiwa kuzingatia sheria za usalama barabarani hasa kipindi hiki cha mwisho wa Mwaka ili kuzuia ajali ambazo zinaweza kujitokeza. Na Josephine Kiravu Akizungumza na wanahabari hivi Karibuni Kamanda wa polisi Mkoa wa Kigoma,…
5 December 2023, 8:19 am
Majanga ya mvua Mara, watatu wapoteza maisha maeneo tofauti
Watatu wapoteza maisha kwa kusombwa na maji maeneo tofauti mkoani Mara Na Adelinus Banenwa Mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la Maduhu Isinde Ikerege mkazi wa mtaa wa Changuge kata ya Mcharo Bunda mjini anatajwa kupoteza maisha kwa kusombwa na maji…
4 December 2023, 12:08
Kayombo: Nilipanda mtini nyuki wakanishambulia
Mtu mmoja aliyefahamika kwa jila la Rudigel Kayombo mkazi wa Makwale wilayani Kyela amevinjika uti wa mgongo baada ya kuanguka kutoka juu ya mti. Na Masoud Maulid Rudigel Lucas Kayombo mwenye umri wa miaka 61 mkazi wa kijiji cha Ibale…