Storm FM

Mazingira

15 May 2026, 4:52 pm

Miti 3,000 kupandwa Geita maadhimisho ya miaka 40 ya NEMC

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira Tanzania (NEMC) lilianzishwa mwaka 1986 ambapo maadhimisho ya miaka 40 yanatarajiwa kufanyika Mei 30, 2026. Na: Ester Mabula Kuelekea maadhimisho ya miaka 40 ya Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi…

15 May 2026, 11:50 am

Bodaboda Hai waonywa kubadili taa na milio ya pikipiki

Bodaboda watakaobadili taa na milio ya pikipiki kukiona Na Oliva Joel Hai-Kilimanjaro Maafisa usafirishaji maarufu bodaboda  wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro wameaswa kutokubadilisha mifumo ya milio na taa iliyowekwa katika pikipiki zao na kuweka taa zenye mwanga mkali  pamoja na kuweka…

12 May 2026, 19:02

Huu hapa mkakati wa seriali katika kuinua zao la pamba

Lazima mkulima ashiwe mkono kama mtoto mdogo anavyoshikwa mkono wakati wa kuvukishwa barabarani, ndio maana serikali inamhudumia kuanzia pembejeo hadi kwenye masoko, tunatamani heshima ya pamba urudi. ” Agrey Mwanri -balozi wa pamba tanzania “ Imeelezwa  kuwa  Serikali ya  awamu…

May 12, 2026, 9:38 am

Madiwani na Watumishi kuchangia elfu 12 za taka

‎Pendekezo hilo la kutoa shilingi 1,000 kila mwezi kama ada ya taka limetolewa na Meya Acton Rwankomezi kutokana na kutozolewa taka kwa wakati sababi ikiwa ni ukosefu wa magari ya kubeba taka Na Enock Yoronimo- Bukoba, KAGERA Kutokana na changamoto…

April 28, 2026, 3:42 pm

WEO Busunzu, Kibondo awataka watumishi kuzingatia sheria

Watumishi wanatakiwa kuwa kiunganishi kati ya serikali na wananchi hali itakayosaidia kuepusha wananchi kuichukia serikali pamoja na viongozi. Na Samwel Masunzu- Kibondo, KIGOMA Afisa Mtendaji wa kata ya Busunzu wilayani Kibondo mkoani Kigoma Bw. Shedrack Totoye amewataka watumishi wa Umma…

18 April 2026, 11:20 am

Jamii Butiama yapewa Elimu kuhusu uhalifu

Kuna aina nyingi za uhalifu ikiwemo uhalifu dhidi ya mali, uhalifu dhidi ya binadamu, uhalifu dhidi ya maadili ya jamii yetu  na uhalifu wa kimtandao hizo zote zinasumbua jamii. Na Oscar Mwakipesile Jamii Wilaya ya Butiama imepewa elimu kuhusu uhalifu…

2 April 2026, 09:26

Huduma za kibingwa za macho zawanufaisha Mafinga Mji

Wagonjwa hao watapatiwa matibabu na upasuaji bure kwa asilimia 100 katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa Hafidh Ally Wananchi wa Halmashauri ya Mji Mafinga wamefanyiwa uchunguzi wa magonjwa ya macho kupitia kliniki maalum ya madaktari bingwa ili kuimarisha…