Storm FM

Mazingira

April 28, 2026, 3:42 pm

WEO Busunzu, Kibondo awataka watumishi kuzingatia sheria

Watumishi wanatakiwa kuwa kiunganishi kati ya serikali na wananchi hali itakayosaidia kuepusha wananchi kuichukia serikali pamoja na viongozi. Na Samwel Masunzu- Kibondo, KIGOMA Afisa Mtendaji wa kata ya Busunzu wilayani Kibondo mkoani Kigoma Bw. Shedrack Totoye amewataka watumishi wa Umma…

18 April 2026, 11:20 am

Jamii Butiama yapewa Elimu kuhusu uhalifu

Kuna aina nyingi za uhalifu ikiwemo uhalifu dhidi ya mali, uhalifu dhidi ya binadamu, uhalifu dhidi ya maadili ya jamii yetu  na uhalifu wa kimtandao hizo zote zinasumbua jamii. Na Oscar Mwakipesile Jamii Wilaya ya Butiama imepewa elimu kuhusu uhalifu…

2 April 2026, 09:26

Huduma za kibingwa za macho zawanufaisha Mafinga Mji

Wagonjwa hao watapatiwa matibabu na upasuaji bure kwa asilimia 100 katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa Hafidh Ally Wananchi wa Halmashauri ya Mji Mafinga wamefanyiwa uchunguzi wa magonjwa ya macho kupitia kliniki maalum ya madaktari bingwa ili kuimarisha…

24 February 2026, 11:16 pm

Arusha kung’arishwa na mabasi ya mwendokasi

Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Paul Christian Makonda, amesema jiji la Arusha linaendelea kunufaika na fedha za maendeleo zinazotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan kwa ajili ya kuboresha miundombinu na huduma za kijamii. Na Mariam Mallya Akizungumza mapema leo…

24 February 2026, 9:33 pm

TFS yahimiza upandaji miti, 700 wafikiwa Chato

Hadi sasa jumla ya watu 700 wamefikiwa na huduma ya kupewa miche bure na TFS katika wilaya ya Chato mkoani Geita. Na: Ester Mabula Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (Tanzania Forest Services Agency – TFS) umeendelea kuhamasisha jamii kupanda…

21 February 2026, 09:36

Sister Island yatoa ftari Kaskazini Unguja

” Tumetoa sadaka ya ftari kwa watu wapatao 500 lengo ni kusaidia watu wenye hali ngumu na huu ni utaratibu wetu ambao huwa tunaufanya kila baada ya muda hata ikiwa sio wakati wa mfungo wa mwezi wa Ramadhani” Na Juma…

18 February 2026, 19:23

Mwanafunzi darasa la sita ajinyonga Ulanga

Tukio hilo ni la kwanza kutokea katika kijiji hicho Na David Ngogolo/Nicolatha Mpaka Mtoto wa kike anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 15, mwanafunzi wa darasa la sita katika shule ya msingi Moonlight iliyopo kijiji cha madibila, kata ya Lupiro,…

13 February 2026, 12:28 pm

Wapangaji wamlilia mwenye nyumba kufunga choo kwa zaidi ya siku 14

“Kwenye mkataba wetu hauoneshi kama sisi wapangaji tunatakiwa kuchanga pesa ili kuweza kuzibua choo, hili jambo linapelekea mkanganyiko” – mmoja wa mpangaji Na: Kale Chongela Choo kinachotumiwa na wapangaji 10 katika nyumba inayomilikiwa na Bi. Jedida Kassim iliyopo mtaa wa Ujamaa…

13 February 2026, 10:12

Wananchi 7000 Iringa kupata bima za afya

Mpango huu umekuja ili kuhakikisha wananchi wapata huduma za afya bila vikwazo. Na Joyce Buganda Wananchi 7827 kutoka  Halmashauri ya Wilaya ya Iringa yenye   kata 28 wamashatambuliwa na wanatarajiwa kunufaika na mpango wa bima kwa wote kampeni ambayo inaendelea nchi…