Radio Fadhila

Maadhimisho ya mtoto wa Afrika wazazi wakumbushwa wajibu wao

16 June 2025, 9:47 PM

Watoto wakiwa katika maandamano

Wazazi, walezi na jamii kwa ujumla wamekumbushwa wajibu wao kwa watoto kwa kuzitambua haki za mtoto ili kuwalinda dhidi ya ukatili na kuwapa haki zao za msingi

Na Lilian Martin

Katika maadhimisho ya mtoto wa Afrika yaliyofanyika Wilayani Masasi na kuudhuriwa na viongozi mbalimbali wakiwemo viongozi wa serikali na viongozi wa dini wametoa wito kwa jamii ili kuwalinda watoto

Viongozi katika maadhimisho hayo

Na mwenyekiti wa SUMAUJATA awamewataka wazazi na walezi kuwa waangalifu kwa watoto ili kuwalinda dhidi ya vitendo viovu wanavyofanyiwa watoto

Mwenyekiti SUMAUJATA

lakini pia Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Bi Mariam Kasembe amewaomba wanawake kuacha vitendo vya ukatili wanavyo visababisha wenyewe ambayo vinawaadhiri watoto na kuwakosesha haki za kuishi

Mwenyekiti Akizungumza

pamoja na hayo watoto nao walitoa jumbe mbalimbali katika jamii wakiwataka wazazi walezi na jamii kwa ujumla kujua haki zao na kuwalinda ili wake salama

Wanafunzi wakitoa jumbe zao kwa njia ya uimbaji

wanafunzi wakifikosha ujumbe