Radio Fadhila

MAKALA: Mfahamu zaidi mbunifu wa jina la TANZANIA

19 March 2025, 11:10 AM

Mtunzi wa jina la Tanzania Mohammed Iqbal Dar. Picha na Google

Akiwa mwanafunzi mwenye umri wa miaka 18 shuleni Mzumbe, Iqbal alikutana na tangazo linalomtafuta mtu ambaye atatoa wazo la jina la nchi, baada ya kuunganishwa kwa Zanzibar na Tanganyika.

Na Neema Nandonde

Redio Fadhila kupitia mtangazaji Neema Nandonde tumekuandalia makala ambayo utamfahamu kwa undani Mohammed Iqbal Dar ambaye ndiye mtunzi wa jina la TANZANIA.

Sauti ya Makala nzima