Radio Tadio

Ulemavu

4 February 2023, 14:29 pm

Nipo tayari kukatwa mguu

“Wahisani na wadau wameombwa msaada wa matibu ya mguu kwa Ndg. Marias Thomas Ngole mkazi wa kitongoji cha Mijolo kijiji cha Ziwani Mkoani Mtwara baada ya kuapata ajali ya kugongwa na pikipiki miaka mitatu iliyopita.” Na Musa Mtepa Akizungumza na…

2 February 2023, 3:07 pm

Serikali yaombwa kuwasaidia watoto wenye ulemavu Iringa

Serikali itupatie usaidizi wa namna ya kuwahudumia watoto wenye ulemavu Pindi wawapo shuleni kimasomo. Na Fabiola Bosco Wazazi wenye watoto walio na ulemavu Halmashauri  ya Manispaa ya Iringa wameiomba serikali kuwapa usaidizi wa namna ya kuwahudumia watoto wao pindi wawapo…

27 April 2021, 10:00 am

Changamoto ya Madawati shule ya sekondary Wotta yatatuliwa

Na; Seleman Kodima Wakazi wa kata ya Wotta  wilayani Mpwapwa wameishukuru  Dodoma fm redio kwa Juhudi ya  kubwa walizofanikisha kuripoti tatizo la uhaba wa madawati ktika shule ya sekondari  na hatimaye Changamoto hiyo kufanyiwa kazi . Hayo yamejiri baada ya…