Ulemavu
14 October 2023, 16:16
Makala: Hali ya chama cha watu wenye ulemavu wa kuona Mtwara
Na Mwanahamisi Chikambu, Mtu asiye na ulemavu wa macho hawezi kuelewa ni namna gani mtu wa namna hiyo anavyoweza kuendesha maisha yake ya kila siku na kuhakikisha familia yake inapata huduma za kila siku. Kumekuwa na vyama mbalimbali ambayo vinaanzishwa…
1 October 2023, 00:08
Bil. 6 kujenga miundombinu rafiki kwa makundi yenye ulemavu nchini
Kundi la walemavu wa kusikia ni kundi mojawapo ambalo limekuwa likikumbana na vikwazo vingi katika kupata huduma za kijamii kutokana na kukosa wataalam wengi wa lugha ya alama na hii imekuwa kikwazo na kuonekana watu wenye ulemavu hasa wa uziwi…
28 September 2023, 12:56 pm
Serikali kushugulikia changamoto za viziwi
Watu wenye uziwi wamekuwa wakipitia changamoto mbalimbali za kijamii hali inayopelekea kushindwa kufikia malengo yao Na Samwel Mpogole Wizara ya afya imesema kuwa inatambua changamoto zinazo wakabili walemavu hivyo inaendelea kushirikiana na wadau kuhakikisha wanashughulikia kikamilifu. Hayo yameelezwa na Dibogo…
31 August 2023, 9:19 am
Walemavu Makete wafanya Uchaguzi
Shirikisho la Vyama vya watu wenye ulemavu Wilayani Makete limefanya uchaguzi wa kuwapata viongozi wa Chama hicho na kumchagua BI. MARIA MSIGWA kuwa Mwenyekiti wa shirikisho hilo Katika uchaguzi uliofanyika Agosti 30, 2023 katika ukumbi mdogo wa mikutano wa halmashauri…
28 August 2023, 5:04 pm
Mkurugenzi radio Mazingira atoa msaada wa baiskeli kwa mtoto mwenye ulemavu
Mkurugenzi wa radio Mazingira Fm Mhe Mramba Simba Nyamkinda amemkabidhi baiskeli ya watu wenye ulemavu yenye thamani ya shilingi laki nne, kwa Zitto Alphonce ambaye ni mwanafunzi wa darasa la sita shule ya msingi Kiroreli kata ya Nyamang’uta halmashauri ya…
13 June 2023, 15:33
Jamii yatakiwa kufufua ndoto za wenye ulemavu Iringa
Na Frank Leonard Wadau wa mtoto mkoani Iringa wameilaumu jamii wakisema ndiyo inayotengeneza mazingira ya watoto wenye ulemavu kutojiweza na kukosa fursa za maisha yaliyo jumuishi. Lawama hizo walizosema zinapaswa kuchukuliwa kwa uzito mkubwa ili kuleta suluhisho ya changamoto za…
24 April 2023, 16:28
Watu wenye ulemavu wametakiwa kuchangamkia fursa
Kwa Sasa serikali imekuwa ikitoa fursa nyingi ambazo watu wenye ulemavu wanahaki ya kushiriki na kuwataka kuchangamkia kila fursa inayotolewa ikiwemo mikopo ya asilimia 10 ya halamshauri ambayo kundi hilo litapata asilimia 2 . Na Fred Cheti. Wito umetolewa kwa…
14 March 2023, 20:26
Familia ya walemavu Kijiji cha Lulanzi waomba kupatiwa matibabu na chakula
Na Hafidh Ally Mama Mzazi wa Familia ya walemavu watatu wa familia moja anashindwa kumudu gharama za kuwalea watoto wake na kuwapatia matibabu. Walemavu watatu wa familia moja katika Kijiji cha Lulanzi kilichopo Kata ya Mtitu Wilaya ya Kilolo Mkoani…
7 March 2023, 12:38
Nyumba ya walemavu Lulanzi iliyochangiwa Mil. 5 na Waziri Mkuu yakamilika
Ujenzi wa Nyumba ya walemavu wanaoishi Kijiji cha Lulanzi umegharimu kiasi cha shilingi Milioni 26 huku kati ya fedha hizo kiasi cha shilingi milioni 5 zikitolewa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na Hafidh Ally Hatimaye Nyumba…
7 February 2023, 11:25
Mbunge aibana serikali kuhusu miundombinu ya usafiri kwa watu wenye ulemavu
Serikali ina Mpango gani wa kuweka Sheria kwa Wamiliki Wa Vyombo Vya Usafiri ili Kuwa Na Miundombinu Rafiki Kwa Watu Wenye Ulemavu. Na Hafidh Ally Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi imewataka Mamalaka ya Usafirishaji Ardhini LATRA na Mamlaka…