Mazingira
Oktoba 10, 2023, 4:14 um
Miti ya matunda yapandwa kupunguza udumavu wilayani Makete
Ikumbukwe kua Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania imeweka vipaumbele kwa mwaka 2023/2024 kusimamia utekelezaji wa mpango kabambe wa hifadhi na usimamizi wa mazingira na kuchukua hatua za kupunguza uharibifu wa mazingira na Aldo Sanga Katika kuunga mkono juhudi…
9 Oktoba 2023, 14:36
Wadau wa sekta ya uvuvi Pangani watakiwa kushirikiana kulinda rasilimali za baha…
“Tungekuwa tumepata elimu mapema, tungejua wa kulia nae” Na Abdilhalim Shukran Wataalamu wa sekta ya Uvivi wilayani Pangani wametakiwa kushirikiana na wavuvi kuimarisha jitihada za kulinda rasilimali za bahari. Ushauri huo umetolewa na wadau wa sekta ya uvuvi katika wilaya…
Oktoba 7, 2023, 7:37 mu
Dc Ileje awapongeza wananchi wa Itale kulinda Misitu
Na Denis Sinkonde, Ileje Mkuu wa Wilaya ya Ileje Mkoa wa Songwe Farida Mgomi amewapongeza wananchi wa Kijiji cha Itale Kata ya Itale wilayani humo Kwa kufuata sheria na kanuni za kulinda utunzaji wa mazingira hususani Msitu wa Itale na…
6 Oktoba 2023, 14:25
Pangani watakiwa kutibu maji ya mvua kabla ya kuyatumia
Maji ya mvua yanakuwa salama iwapo tu yatakingwa moja kwa moja wakati wa mvua. Na Mariam Ally Wananchi wilayani Pangani Mkoani Tanga wametakiwa kuyatibu maji ya mnvua kabla ya kutumia na kuepukana na dhana kuwa maji hayo ni salama wakati…
6 Oktoba 2023, 13:34
TARURA kuufungua mji wa Pangani kwa barabara za lami
Ukimulika nyoka unaanzia miguuni, kwahiyo tumeanza kujenga barabara za mjini kisha tutaenda kujenga za vijijini. Na Maajabu Ally. Uongozi wa Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini TARURA wilaya ya Pangani mkoani Tanga umesema unaendelea kuufungua mji huo kwa kujenga…
Oktoba 4, 2023, 7:15 mu
Mliovamia hifadhi hekta 600 za hifadhi ondokeni haraka Dc Ileje
Na, Denis Sinkonde, Ileje Wananchi vijiji vya Ndapwa kata Ngulilo wilaya ya Ileje mkoa wa Songwe na Kijiji Cha Kiobo wilaya ya Rungwe mkoa wa Mbeya wametakiwa kuondoka na kuacha na uvamizi kwenye hifadhi ya msitu Kihosa uliopo Kijiji Cha…
1 Oktoba 2023, 5:47 um
Madereva watakiwa kuchukua tahadhari katika msimu wa mvua
Madereva wa magari ya abiria na binafsi mkoani Katavi wametakiwa kuwa makini na kuchukua tahadhari katika kuelekea msimu wa mvua za masika KATAVI.Madereva wa magari ya abiria na binafsi mkoani Katavi wametakiwa kuwa makini na kuchukua tahadhari katika kuelekea msimu…
29 Septemba 2023, 12:21
WWF watua kwenye kitalu cha miti cha WUAs-Butiama
Na Thomas Masalu Watalaamu wa WWF wametembelea kitalu cha miti cha Jumuiya ya watumia maji ya mto Mara kusini ( WUAs) kilichopo Kijiji cha Kwisaro kata ya Nyamimange wilaya ya Butiama katika lengo la kujionea shughuli zinavyoendelea katika utunzaji wa…
27 Septemba 2023, 23:11
WWF wafatilia kile walichowafundisha wakulima juu ya kilimo bora
Je, mbinu iliyotolewa na WWF kuhifadhi mazingira kwa kufanya kilimo na ufugaji bora inatekelezwa? Na Thomas Masalu Mara ni Moja ya mikoa ya Tanzania zinazotegemea kilimo kama chanzo cha mapato na chakula kwa wananchi wake. Hata hivyo sekta hii muhimu…
26/09/2023, 19:27
BUCKREEF kuendelea kutunza mazingira kwa kupanda miti
Mgodi wa BUCKREEF umeendelea kupanua wigo katika kuzalisha miche ya miti ili kuhakikisha mazingira yanaendelea kutunzwa katika kupanda miti maeneo yanayozunguka mgodi. Na Kale Chongela- Geita Katika kuendelea kutatua changamoto ya uharibifu wa mazingiara ikiwemo ukataji miti kiholela, Mgodi Wa…