Mazingira
18 December 2022, 12:41
Iringa yapaa Kimataifa uhifadhi wa Mazingira
Meya wa Manispaa ya Iringa, Ibrahim Ngwada amesema Tanzania imepaa tena kimataifa baada ya mji wa Iringa kuorodheshwa kuwa ni mojawapo kati ya miji 15 Duniani, ambayo inazingatia usafi na utunzaji wa Mazingira. Ngwada ameyasema hayo wakati akiongea na waandishi…
15 December 2022, 9:56 pm
Majaliwa agawa nyumba kwa watumishi wa serikali Mlele
MLELE Waziri Mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania amezigawa nyumba Kwa watumishi wa serikali katika halmashauri ya wilaya ya Mlele kutokana na kutokaliwa na watu na kuharibika. Ameyasema hayo wakati akizungumza na watumishi wa umma wa halmashauri hiyo ambapo…
25 November 2022, 4:37 am
Wakuu wa Wilaya wapewa maagizo ya kuwaondoa wananchi waliovamia hifadhi pamoja n…
MPANDA Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua hoza Mrindoko amewaagiza wakuu wa wilaya , kuhakikisha wananchi wote waliovamia maeneo ya hifadhi pamoja na vyanzo vya maji wanaondoka katika maeneo hayo. Agizo hilo amelitoa katika kikao cha 19 cha kamati ya…
23 November 2022, 6:38 pm
Wafugaji wametakiwa kuondoa mifugo yao katikati ya mji
MPANDA Wafugaji kata ya Kashaulili Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kuondoa mifugo yao na kufugia nje ya mji. Katazo hilo limetolewa na Afisa mtendaji wa kata ya Kashaulili Merry Ngomarufu ambapo amesema wafugaji wote wenye mifugo iliyopo katika kata…
23 November 2022, 6:19 pm
Kukosekana Kwa gari ya kuzolea taka kata ya Nsemlwa ni chanzo cha taka kutupwa k…
NSEMLWA Imeelezwa kuwa kukosekana kwa gari la kuzolea taka katika kata ya Nsemlwa Halmashauri Manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi kunachangia baadhi ya wanchi kutupa takataka kwenye mitaro ya kupitishia maji. Hayo yameelezwa na baadhi ya wananchi wa kata hiyo…
4 October 2022, 12:25
Sheria ndogo ndogo zapelekea wananchi kujenga vyoo bora Chemba
Na; Benard Filbert. Uwepo wa Sheria ndogo ndogo katika Halmashauri ya wilaya ya chemba umetajwa kusaidia wananchi kujenga vyoo bora Katika kutekeleza na kusimamizi sheria hizo ,wenyeviti wa vijiji wamepewa jukumu la kuhakikisha wananchi katika vijiji vyao wanajenga vyoo bora.…
7 September 2022, 11:03 am
Wananchi Walalamikia TOZO ya Taka
MAJENGO-MPANDA Wananchi wa kata ya Majengo Manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi wamelalamikia tozo ya taka kuwa kubwa na kusema kuwa hata utolewaji wa taka hizo ni wa kusuasua. Akizungumza kwa niaba ya wananchi wengine Sarafina Paul amesema tozo ya…
12 August 2022, 11:38 am
Mwenyekiti wa kamati ya abaraza la wawakilishi ya kusimamia ofisi za viongoziwak…
ZANZIBAR Mwenyekiti wa Kamati ya Baraza la Wawakilishi ya kusimamia Ofisi za viongozi wakuu wa kitaifa Mhe Machano Othman Said amewataka watendaji wa mazingira kuhakikisha kuwa sheria za mazingira zinafuatwa katika kuwalinda wanavikundi wanaojihusisha na utunzaji wa mazingira. Akizungumza…
29 June 2022, 14:34
Hali ngumu ya maisha yachangia uharibifu wa mazingira
Na; Victor Chigwada. Hali ngumu ya maisha imetajwa kuwa sababu ya watu kuendelea kuharibu mazingira ikiwa Ni pamoja na ukataji wa misitu ovyo hususani maeneo ya milimani na vijijini Diwani wa Kata ya Chipanga Bw.Masumbuko Aloyce amekiri kuwa changamoto kubwa…