Radio Tadio

Mazingira

3 September 2026, 08:46

Msimu wa nyangumi fursa ya utalii Mtwara

Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Abdallah Mwaipaya, amewataka wananchi kushiriki Tamasha la Nyangumi, likilenga kukuza utalii wa baharini, uhifadhi wa mazingira na fursa za kiuchumi kwa jamii Na Grace Hamisi Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Abdallah Mwaipaya, kwa niaba ya…

8 August 2026, 13:51

Wito umetolewa kwa makanisa kuhubiri upendo kwa wajane

“Tunahitaji kutiana moyo kwa mambo yote ili kuendelea kulitangaza neno la Mungu kwa mataifa yote bila kujali hali zetu za kimwili”. Na,Daniel Manyanga  Wito umetolewa kwa kanisa la waadventista wasabato nchini kuwatambua wamama wajane(wamama majasiri) kwa kuwasaidia vitu mbalimbali ikiwa…

8 August 2026, 12:51

54 wabatizwa makambi ya mtaa wa Luguru Ginnery Itilima

“Matamanio yetu ni kuona watu wanabadili nia na kumgeukia Mungu maana mambo ya kidunia mara nyingi mwisho wake huwaga ni mbaya sasa ni muda mwafaka wa kuihubiri injili ya Bwana kwa watu wote”. Na Daniel Manyanga Watu 54 wamebatizwa katika…

30 July 2026, 10:28

Serikali yatambua mchango wa taasisi za dini Kasulu

Viongozi wa dini wametakiwa kuendelea kuhimiza jamii na waumini wao kusimamia maadili mema ili kujenga kizazi chema Na Hagai Ruyagila Serikali ya Mkoa wa Kigoma imesema inaendelea kutambua mchango mkubwa wa taasisi za dini katika kujenga taifa lenye maadili mema,…

7 July 2026, 11:32

Wananchi watakiwa kudumisha amani na mshikamano Kigoma

Amani ni msingi wa maendeleo ya taifa lolote duniani na bila amani hakuna maendeleo ya kudumu katika nyanja za uchumi, elimu, afya na ustawi wa jamii, hivyo kila mwananchi anapaswa kuitunza na kuilinda amani ili Tanzania iendelee kuwa taifa lenye…

1 July 2026, 12:48

Wananchi Kigoma wahimizwa kuombea viongozi na taifa

Taifa lenye amani na utulivu hujengwa kwa ushirikiano wa wananchi, viongozi na taasisi mbalimbali za kijamii, ikiwemo taasisi za dini na mojawapo ya njia zinazotajwa kuchangia ustawi wa taifa ni kuwaombea viongozi ili waweze kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu, hekima…