Radio Tadio

Mazingira

7 July 2026, 11:32

Wananchi watakiwa kudumisha amani na mshikamano Kigoma

Amani ni msingi wa maendeleo ya taifa lolote duniani na bila amani hakuna maendeleo ya kudumu katika nyanja za uchumi, elimu, afya na ustawi wa jamii, hivyo kila mwananchi anapaswa kuitunza na kuilinda amani ili Tanzania iendelee kuwa taifa lenye…

1 July 2026, 12:48

Wananchi Kigoma wahimizwa kuombea viongozi na taifa

Taifa lenye amani na utulivu hujengwa kwa ushirikiano wa wananchi, viongozi na taasisi mbalimbali za kijamii, ikiwemo taasisi za dini na mojawapo ya njia zinazotajwa kuchangia ustawi wa taifa ni kuwaombea viongozi ili waweze kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu, hekima…

9 June 2026, 11:45

Watakiwa kuongoza waumini kufikia kusudi la Mungu

Viongozi wa dini wana nafasi kubwa katika kuiongoza jamii kiroho, kimaadili na kijamii. Kupitia mafundisho yao, viongozi hawa hutoa mwongozo unaowasaidia waumini kuishi kwa amani, upendo na mshikamano. Hivyo, ni muhimu viongozi wa dini kumtegemea Mungu na kuwa dira sahihi…

21 May 2026, 15:08

Askofu ataka wazazi kupeleka watoto shule

Elimu huwasaidia watoto kupata maarifa, maadili na stadi za maisha zinazowawezesha kujitegemea na kuwa na maisha bora ya sasa na ya baadaye na watoto wanaopata elimu huwa na nafasi kubwa ya kupata ajira, kupunguza umaskini na kuchangia maendeleo ya familia,…

21 May 2026, 08:38

Iringa kufanya wiki ya utafiti na ubunifu

Wananchi Mkoani Iringa wanatarajia Kunufaika Na Maarifa Na Teknolojia Mpya kupitia maonesho hayo. Na Hafidh Ally Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, amewataka wananchi  kutumia fursa ya Wiki ya Utafiti, Ubunifu na Huduma kwa Jamii kujifunza na kunufaika na…

12 May 2026, 09:48

Kanisa lanunua magari kuimarisha uchumi wa kanisa Kasulu

Makanisa yana umuhimu mkubwa wa kuanzisha miradi ya kuongeza kipato kwa sababu yanasaidia kuimarisha huduma za kiroho na maendeleo ya jamii kwa ujumla Na Hagai Ruyagila Katika jitihada za kusaidia kupunguza tatizo la ukosefu wa ajira hapa nchini, Dayosisi ya…