Radio Tadio

Mazingira

2 May 2023, 1:23 pm

Wafanyabiashara watakiwa kutunza mazingira

Mifuko ya plastiki ilipigwa marufuku kutumika hapa chini hii ni kutokana na wataalamu mbalimbali wa maingira kubainisha kuwa matumizi ya mifuko hiyo huongoza katika suala la uchafuzi wa mazingira. Na Thadei Tesha. Wafanyabiashara jijini Dodoma wametakiwa kuendelea kutunza mazingira kwa…

18 April 2023, 6:06 pm

NEMC yaanza oparesheni kudhibiti vifungashio visivyo takiwa

Mnamo tarehe 1 Juni, 2019, Serikali ilipiga Marufuku Uzalishaji; Uingizaji nchini, Usafirishaji nje ya nchi; Usambazaji; na Matumizi ya mifuko ya plastiki kwa kile kinachodaiwa kuwa mifuko hiyo ni chanzo cha uchafuzi wa mazingira. Na Fred Cheti. Serikali kupitia baraza…

16 April 2023, 3:17 pm

Mabaki ya Mazao na Utunzaji wa Mazingira

KATAVI Ili kuinua uchumi na kusaidia kulinda mazingira Wananchi mkoani Katavi wameaswa kutumia majiko Banifu katika shughuli zao. Mtaalamu wa Masuala ya Mazingira Manispaa ya Mpanda Bwana Prosper Mwesiga amesema kuwa matumizi ya Majiko banifu yanasaidia kwa kiwango kikubwa upunguzaji…

11 April 2023, 1:00 pm

Serikali yapiga marufuku matumizi ya vifungashio vya plastiki

Na Fred Cheti. Serikali hivi karibuni ilipiga marufuku matumizi yasiyo sahihi ya mifuko  laini ya plastiki kutumika kama vibebeo vya bidhaa huku jambo hilo likitajwa kuwa ni ukiukwaji wa sheria  ambapo imeahidi  kuwachukulia hatua wanaofanya hivyo Baada ya tamko hilo…