Radio Tadio

Mazingira

8 June 2023, 14:34 pm

Makala: NEMC Mtwara yateketeza taka za plastiki

Na Musa Mtepa. Siku ya mazingira duniani Juni 6, 2023 Baraza la taifa la uhifadhi wa mazingira mkoani Mtwara (NEMC) imeadhimishwa mkoani Mtwara kwa kuteketezwa kwa taka za plastiki zaidi ya kilo 600 zenye thamani ya shilingi milioni nne. Akizungumza…

7 June 2023, 10:15 am

Marufuku kufyatua tofali Bonde Mto Misunkumilo

MPANDA. Kufuatia katazo la kufanya shughuli za ufyatuaji tofali katika eneo la bonde la mto Misunkumilo mtaa wa Mpanda Hotel serikali ya kata imepiga marufuku shughuli hizo. Akizungumza na Mpanda Radio Fm afisa mtendaji wa kata hiyo Carolina Medadi Yohana…

4 June 2023, 4:39 pm

Sweden yatoa shilingi bilioni 10 utunzaji mazingira

Mradi wa SUSTAIN –ECO utasaidia kuhamasisha shughuli za maendeleo ambazo ni rafiki kwa mazingira ikiwa ni pamoja na kilimo cha kakao, miwa, mpunga, kilimo cha miti na shughuli zingine zinazoendeleza uhifadhi Na Katalina Liombechi Mradi wa SUSTAIN-ECO unakwenda kutatua changamoto…

5 May 2023, 2:45 pm

Wawekezaji watakiwa kufanya tahmini ya athari za mazingira

Na Fred Cheti. Baraza la Usimamizi na uhifadhi wa Mazingira (NEMC) limewataka wawekezaji wote  wa miradi ya maendeleo nchini kufanya tathimini ya athari kwa mazingira katika miradi yao ili kuepusha migogoro itakayotokana na uchafuzi wa mazingira. Hayo yameelezwa na Bwn.…

3 May 2023, 1:59 pm

Wananchi Ng’ambi watakiwa kutunza mazingira

Amesema mazingira yakitunzwa vema yanaweza kutengeneza fursa mbalimbali kwa wananchi. Na Fred Cheti. Mkuu wa wilaya ya Mpwapwa Mhe. Sophia Kizigo amewataka wananchi wa kijiji cha Ng’hambi wilaya humo kuwa mabalozi wa utunzaji wa mazingira illi kutengeneza fursa nyingi za…

2 May 2023, 3:49 pm

Wakazi wa Msalato waomba mazingira ya mnada kuboreshwa

Mnada wa nyama msalato ni miongoni ma maeneo maarufu ya asili ambapo wananchi hufika kwa ajili ya kujipatia nyama choma . Na Thadei Tesha. Wakazi wa Msalato Jijini Dodoma wameiomba serikali  kuboresha mazingira ya  eneo la mnada wa msalato ambao…