Mazingira
2 August 2023, 3:43 pm
Wakazi wa Fatina walalamika maji taka kutiririka mtaani
Hivi karibuni kumekuwa na changamoto ya kuzibuka kwa chemba za maji taka na kutiririsha maji katika mtaa wa Fatina, ambapo kwa mujibu wakazi wa eneo hilo chemba hizo huchukuwa takribani hadi muda wa siku 10 katika kuzibuliwa. Na Mariam Msagati.…
28 July 2023, 1:11 pm
Wadau wa mazingira watakiwa kuanza kuandaa vitalu vya miti
Ama kweli penye nia pana njia haijalishi ni kianganzi ama masika lakini zoezi la upandaji miti limeendelea kufanyika. Na Mindi Joseph. Mkuu wa wilaya ya Dodoma Jabiri Shekimweri amewaomba wadau wa mazingira kuanza kuandaa vitalu vya upandaji miti kwa msimu…
26 July 2023, 08:06 am
Waziri Jafo ataka tathmini ya Mazingira ifanyike
Mamlaka ya bandari imepewa miezi mitatu ili kufanya ukaguzi wa mazingira (Environmental Audit) ili kuhakikisha Kuna ubora wa biashara ya makaa ya mawe Na Grace Hamisi Waziri wa nchi ofisi ya makamu wa Rais muungano na mazingira Mh. Selemani Jafo,…
23 July 2023, 11:37 am
Kilele cha wiki ya wananchi Kilosa, Yanga wafanya usafi kliniki ya mama na mtoto
Na Asha Madohola Katika kusherekea kilele cha wiki ya wananchi Julai 22 wanachama na mashabiki wa Tawi la Yanga Kilosa Mjini wamejitokeza kufanya usafi wa mazingira katika Kliniki ya Mama na Mtoto Kilosa. Wananchi hao wa jangwani waliamua kuungana kwa…
14 July 2023, 1:04 pm
Nyatwali: Miti yakatwa, nyaraka za tathmini ya fidia zachukuliwa mikopo kisa ugu…
Baadhi ya wakaazi wa Nyatwali waanza kutumia nyaraka zao za tathmini ya fidia kuchukulia mikopo kwa ahadi ya kurejesha watakapolipwa huku wengine wakikata miti kwa ajili ya mkaa na kuuza ikielezwa ni kutokana na ugumu wa maisha. Na Edward Lucas…
30 June 2023, 10:07 am
Mpimbwe: Juhudi ziongezwe uhifadhi mazingira
MLELE Jamii katika halmashauri ya Mpimbwe wilaya ya Mlele mkoani Katavi imeaswa kuongeza juhudi katika kuhifadhi mazingira. Akifungua mkutano wa mwaka wa Jumuiya za watumia maji ngazi ya Jamii zilizo chini ya wakala wa usambazaji Maji na usafi na mazingira…
26 June 2023, 1:37 pm
NEMC, TBS zakutana kujadili katazo vifungashio vya plastiki
Vifungashio visivyo kidhi ubora vinatajwa kuleta athari katika mazingira. Na Fred Cheti. Baraza la uhifadhi na usimamizi wa mazingira (NEMC) limekutana na shirika la viwango nchini (TBS) na kufanya kikao kazi kwa lengo la utekelezaji wa katazo la matumizi ya…
24 June 2023, 9:38 am
Mafinga Mji wagawa vifaa vya usafi
Na Sima Bingileki Halmashauri ya Mji Mafinga imekabidhi vifaa 11 vya kutunzia taka kwa uongozi wa Stendi Kuu ya mabasi Mafinga na Stendi ya Matanana lengo likiwa ni Kuimarisha Usafi wa Mazingira na uhifadhi mzuri wa taka hasa katika maeneo…
June 23, 2023, 7:40 am
Mwenyekiti wa kitongoji akabidhiwa bendera nyekundu kitongoji chake kuwa kichafu
Mwenyekiti wa Kitongoji akikabidhiwa Bendera nyekundu inayoaashiria uchafu na alama ya hatari katika Kitongoji chake
13 June 2023, 12:39 pm
Serikali yataka mapendekezo sheria ya sauti zinazozidi katika nyumba za ibada
Kongamano hilo lina lengo la kujadili na kuwajengea uelewa viongozi wa madhehebu ya dini nchini juu ya kufahama athari zinazoweza kutokana na kelele na mitetemo katika nyumba za ibada ili wakawe mabalozi kwa waumini wao. Na Fred Cheti. Serikali imewataka…