Radio Tadio

Mazingira

22 February 2023, 12:54 pm

Agizo,DC Iringa Upandaji wa Miti

Kulingana na jiografia ya mkoa wa Iringa kupandwa Kwa miti hiyo Kando ya barabara kutachochea utunzaji wa mazingira pia itasaidia kupunguza athari za ajali hasa katika maeneo yenye milima na maporomoko. Na Hawa Mohammed. Serikali ya Wilaya ya Iringa imeagiza…

19 February 2023, 4:13 pm

Andaeni mikakati ya usafi ili itekelezwe

Na Rifati Jumanne Katika kuhakikisha Halmashauri ya Mji wa Ifakara inarejea katika usafi wa mazingira,mashirika yasiyo ya kiserikali Wilayani Kilombero imewaomba Halmashauri ya Wilaya kuandaa mikakati maalumu ili wao waitekeleze kama ilivyo azma yao ya kusaidiana na serikali katika kila…

31 January 2023, 12:02 pm

Balozi afafanua juu ya Miundombinu ya Maji taka

Balozi wa mtaa wa Bahiroad mariamu omary amelazimika kutoa ufafanuzi juu ya miundombinu ya maji taka. Na Leonard Mwacha Alitoa ufafanuzi huo juu ya shutuma zinazoelekezwa kwa wenye nyumba juu ya kuhusika na uharibifu wa miundombinu ya maji taka. Kwa…