Mazingira
22 February 2023, 12:54 pm
Agizo,DC Iringa Upandaji wa Miti
Kulingana na jiografia ya mkoa wa Iringa kupandwa Kwa miti hiyo Kando ya barabara kutachochea utunzaji wa mazingira pia itasaidia kupunguza athari za ajali hasa katika maeneo yenye milima na maporomoko. Na Hawa Mohammed. Serikali ya Wilaya ya Iringa imeagiza…
19 February 2023, 4:13 pm
Andaeni mikakati ya usafi ili itekelezwe
Na Rifati Jumanne Katika kuhakikisha Halmashauri ya Mji wa Ifakara inarejea katika usafi wa mazingira,mashirika yasiyo ya kiserikali Wilayani Kilombero imewaomba Halmashauri ya Wilaya kuandaa mikakati maalumu ili wao waitekeleze kama ilivyo azma yao ya kusaidiana na serikali katika kila…
18 February 2023, 09:24 am
Makala: Uhamasishaji wa kutunza bahari kwa manufaa ya baadae
By Musa Mtepa Ni mkala inayohusisha tasisi ya kiraia ya jumuia ya umoja wa wavuvi wa Jodari nchini Tanzania maarufu TUNA ALLIANCE ambao walifanya utafiti wa mazingira ya Bahari ya Hindi kutoka visiwani Zanzibar hadi mikoa ya Lindi na Mtwara.…
11 February 2023, 4:14 pm
Mikakati ya kuondokana na uchafu wa mazingira yaanza kutekelezwa-Ifakara
Na Elias Maganga Wananchi wa Halmashauri ya Mji wa Ifakara Wilayani Kilombero wameshauriwa kuunga mkono kampeni ya usafi wa mazingira inayojulikana Usafi wangu mita tano na mita tano usafi wangu,kwa kufanya hivyo watakuwa wanajikinga dhidi ya magonjwa mbalimbali ya maambukizi.…
10 February 2023, 10:37 am
Suluhisho la migogoro ya Ardhi na uharibifu wa mazingira Pangani
Katika ngazi ya kijiji mamlaka inayohusika na maandalizi ya mpango wa matumizi ya ardhi ya kijiji ni halmashauri ya Kijiji ambayo inaweza kufanya utekelezaji wake kupitia kamati ya usimamizi na matumizi ya ardhi. Na Erick Mallya Serikali ya kijiji cha…
8 February 2023, 2:37 pm
Ufugaji wa Nyuki huzuia uharibifu wa rasilimali Misitu na Mazingira
Na Katalina Liombechi Ufugaji Nyuki Wilayani Kilmbero imetajwa kuwa shughuli Mojawapo rafiki kwa uhifadhi endelevu wa Rasilimali za Misitu na Mazingira kwa Ujumla. Afisa Nyuki Halmashauri ya Mlimba Wilayani Kilombero bwana John Mlulu ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa…
31 January 2023, 12:07 pm
Rc Mwasa azuia utolewaji wa vibali vya uchomaji wa mkaa
“Kutokana na mabadiliko ya tabianchi ambayo inaikumba nchi yetu na Dunia kwa ujamla Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Bi Fatma Mwasa amepiga marufuku uchomaji wa mkaa na kuwataka wanaofanya shughuli hizo ,watafute shughuli zingine za kufanya” By Elias Maganga/Isdory Mtunda…
31 January 2023, 12:02 pm
Wananchi Bahi watakiwa kupanda miti ili kulinda vyanzo vya maji
Wananchi wilayani Bahi wametakiwa kuboresha mazingira na kutunza vyanzo vya maji kwa kuhakikisha wanapanda miti kwa wingi na kuilinda ili kutunza mazingira na vyanzo vya maji. Na Bernad Magawa Wito umetolewa kwa wananchi Wilayani Bahi kupanda miti kwa wingi na…
31 January 2023, 12:02 pm
Balozi afafanua juu ya Miundombinu ya Maji taka
Balozi wa mtaa wa Bahiroad mariamu omary amelazimika kutoa ufafanuzi juu ya miundombinu ya maji taka. Na Leonard Mwacha Alitoa ufafanuzi huo juu ya shutuma zinazoelekezwa kwa wenye nyumba juu ya kuhusika na uharibifu wa miundombinu ya maji taka. Kwa…
30 January 2023, 12:29 pm
Wakulima Pangani wanavyotumia redio kustahimili mabadiliko ya tabianchi
Mabadiliko ya tabianchi yameleta changamoto nyingi katika mifumo ya uzalishaji na hata maisha ya kila siku. Hali hii inafanya upatikanaji wa taarifa na huduma za hali ya hewa kuwa suala la msingi na la dharura. Na Erick Mallya Wataalamu wamethibitisha…