Mazingira
30 January 2023, 9:32 am
Jeshi la Polisi laongoza zoezi la usafi Kilosa
Mkuu wa Polisi Wilaya ya Kilosa (OCD) Hasani Selengu ameliongoza Jeshi la Polisi Wilaya ya Kilosa Katika Kufanya Usafi katika Hospitali ya Wilaya ya Kilosa leo Januari 27 Mwaka huu 2023 .. Wakati wakendelea kufanya usafi huo wa kufyeka nyasi…
17 January 2023, 9:15 AM
Wafanyabiashara Soko la Mkuti wilayani Masasi Mkoani Mtwara wofia ugonjwa wa mli…
MASASI. Baadhi ya Wafanyabiashara wanaofanya biashara zao katika Soko la Mkuti Halmashauri ya Mji wa Masasi, wameshauri eneo la kuifadhia taka kwa muda lililopo katika Soko hilo liboreshwe kwa kuwekwa miundominu rafiki ya kutunzia taka hizo au liondolewe kwa kutafuta…
14 January 2023, 7:55 am
TMA yatahadhari mvua kubwa mikoa sita
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imetoa angalizo la uwepo wa mvua kubwa zinazoweza kunyesha hii leo Jumamosi Januari 14, 2023 katika maeneo machache ya mikoa ya Morogoro, Singida, Dodoma, Iringa, Njombe na Ruvuma. TMA kupitia taarifa yake…
12 January 2023, 4:31 pm
Mkuu wa wilaya ya Maswa ,Aswege Kminyoge amezitaka taasisi zote za serikali wila…
Na mwandishi wetu,Daniel Manyanga. Mkuu wa wilaya ya Maswa, Aswege Kaminyoge ameziagiza taasisi zote za serikali wilayani hapo kuhakikisha zinatenga bajeti ya utunzaji wa mazingira wakati wa uandaaji wa bajeti kuu ya serikali kwa mwaka fedha 2023/2024 ili kuweza kukabiliana…
11 January 2023, 2:14 pm
Chamwino wajadili mustakabali wa utunzaji Mazingira
Na; Mariam Kasawa. Mkuu wa Wilaya ya Chamwino, Pamoja na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Chamwino jana amekutana na Wadau wa Mazingira, watendaji wa Kata, Viongozi wa Taasisi za Umma na Wahe. Madiwani kwa ajili ya kujadili masuala mbali mbali…
18 December 2022, 12:41 pm
Iringa yapaa Kimataifa uhifadhi wa Mazingira
Meya wa Manispaa ya Iringa, Ibrahim Ngwada amesema Tanzania imepaa tena kimataifa baada ya mji wa Iringa kuorodheshwa kuwa ni mojawapo kati ya miji 15 Duniani, ambayo inazingatia usafi na utunzaji wa Mazingira. Ngwada ameyasema hayo wakati akiongea na waandishi…
15 December 2022, 9:56 pm
Majaliwa agawa nyumba kwa watumishi wa serikali Mlele
MLELE Waziri Mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania amezigawa nyumba Kwa watumishi wa serikali katika halmashauri ya wilaya ya Mlele kutokana na kutokaliwa na watu na kuharibika. Ameyasema hayo wakati akizungumza na watumishi wa umma wa halmashauri hiyo ambapo…
25 November 2022, 4:37 am
Wakuu wa Wilaya wapewa maagizo ya kuwaondoa wananchi waliovamia hifadhi pamoja n…
MPANDA Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua hoza Mrindoko amewaagiza wakuu wa wilaya , kuhakikisha wananchi wote waliovamia maeneo ya hifadhi pamoja na vyanzo vya maji wanaondoka katika maeneo hayo. Agizo hilo amelitoa katika kikao cha 19 cha kamati ya…
23 November 2022, 6:38 pm
Wafugaji wametakiwa kuondoa mifugo yao katikati ya mji
MPANDA Wafugaji kata ya Kashaulili Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kuondoa mifugo yao na kufugia nje ya mji. Katazo hilo limetolewa na Afisa mtendaji wa kata ya Kashaulili Merry Ngomarufu ambapo amesema wafugaji wote wenye mifugo iliyopo katika kata…
23 November 2022, 6:19 pm
Kukosekana Kwa gari ya kuzolea taka kata ya Nsemlwa ni chanzo cha taka kutupwa k…
NSEMLWA Imeelezwa kuwa kukosekana kwa gari la kuzolea taka katika kata ya Nsemlwa Halmashauri Manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi kunachangia baadhi ya wanchi kutupa takataka kwenye mitaro ya kupitishia maji. Hayo yameelezwa na baadhi ya wananchi wa kata hiyo…