Radio Tadio

Mazingira

4 October 2022, 12:25 pm

Sheria ndogo ndogo zapelekea wananchi kujenga vyoo bora Chemba

Na; Benard Filbert. Uwepo wa Sheria ndogo ndogo  katika Halmashauri ya wilaya ya chemba umetajwa kusaidia wananchi kujenga vyoo bora Katika kutekeleza na kusimamizi  sheria hizo ,wenyeviti wa vijiji wamepewa jukumu la kuhakikisha wananchi katika vijiji vyao wanajenga vyoo bora.…

7 September 2022, 11:03 am

Wananchi Walalamikia TOZO ya Taka

MAJENGO-MPANDA Wananchi wa kata ya Majengo Manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi wamelalamikia tozo ya taka kuwa kubwa na kusema kuwa hata utolewaji wa taka hizo ni wa kusuasua. Akizungumza kwa niaba ya wananchi wengine Sarafina Paul amesema tozo ya…

29 June 2022, 2:34 pm

Hali ngumu ya maisha yachangia uharibifu wa mazingira

Na; Victor Chigwada. Hali ngumu ya maisha imetajwa kuwa  sababu ya watu kuendelea kuharibu mazingira ikiwa Ni pamoja na ukataji wa misitu ovyo hususani maeneo ya milimani na vijijini Diwani wa Kata ya Chipanga Bw.Masumbuko Aloyce amekiri kuwa changamoto kubwa…

9 June 2022, 3:41 pm

Serikali yaendelea kukemea uharibifu wa mazingira

Na ;Victor Chigwada. Pamoja na wimbi la uharibifu wa mazingira unao kua kwa kasi kutokana na matumizi ya nishati ya mkaa na kuni Serikali umeendelea kukemea suala hili ili kulinda uoto wa asili Mwenyekiti wa Kijiji Cha Kazania Bw.Mganga Kuhoga…

31 May 2022, 1:16 pm

Halmashauri ya jiji la Dodoma yaanzisha mpango wa kufanya usafi

Na; Fred  Cheti    Katika kuendelea kuimarisha usafi wa mazingira jijini hapa halmsahauri ya jiji la Dodoma kwa kushirikiana na wadau mabalimbali wa mazingira imeanzisha mpango wa kufanya usafi  siku ya jumamosi katika kata mabalimbali zilizopo jijini hapa. Afisa Mazingira jiji…

30 May 2022, 4:45 pm

Waziri Jafo ahimiza utunzaji wa msitu wa Iyumbu Park

Na;Mindi Joseph .    Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Dkt. Seleman Jafo amesema eneo  la msitu la Iyumbu Park likihifadhiwa ipasavyo linaweza kuwa chanzo cha utalii. Eneo hilo lina zaidi ya hekari 3000 limekuwa eneo maalum…