Mazingira
12 Septemba 2023, 12:39
Wananchi Mbeya washauriwa kutunza mazingira ili kuepukana na athali ya mabadilik…
Uharibifu wa mazingira duniani kote umekuwa na athali hasi zinazosababisha mabadiliko ya tabia ya nchi,na hivi karibuni tumeshuhudia athali hizo ikiwemo upungufu wa mvua Na Hobokela Lwinga Wananchi mkoani mbeya wameshauriwa kuwa mabalozi wazuri wa utunzaji wa mazingira ili kulinda…
Septemba 12, 2023, 7:51 mu
RUWASA Ileje walia na uharibifu wa mazingira
Na Denis Sinkonde, Songwe Wakala wa maji na usafi wa mazingira vijijini RUWASA wilayani Ileje mkoani Songwe walia na changamoto ya uharibifu wa vyanzo vya maji hali inayopelekea baadhi ya miradi kutotoa maji kama ilivyokusudiwa. Hayo yamebainishwa na mratibu wa…
Septemba 11, 2023, 1:12 um
Wananchi waliovamia ardhi Ileje watakiwa kuondoka
Wananchi waliovamia maeneo yaliyotengwa na wananchi katika kijiji cha Shinji wilayani Ileje mkoani Songwe watakiwa kuondoka Na Denis Sinkonde Agizo hilo limetolewa na mkuu wa wilaya hiyo Farida Mgomi wakati akizungumza na wananchi hao katika mkutano wa hadhara uliofanyika kijijini…
Septemba 11, 2023, 12:51 um
Wananchi waliovamia maeneo watakiwa kuondoka
Wananchi waliovamia maeneo yaliyotengwa na wananchi katika kijiji cha Shinji wilayani Ileje mkoani Songwe watakiwa kuondoka Na Denis Sinkonde, Songwe Agizo hilo limetolewa na mkuu wa wilaya hiyo Farida Mgomi wakati akizungumza na wananchi hao katika mkutano wa hadhara uliofanyika…
6 Septemba 2023, 13:07
Mkurugenzi Bunda Mji aonya uchafuzi wa mazingira
Mkurugenzi Mkongo amesema wameazimia kutoa maelekezo kwa wafanyabiashara wote hasa wenye maduka kuwa na vitunza taka katika maeneo yao huku wamiliki wa baa na hoteli kuwa na vitunza taka vya aina tatu kwa ajili ya taka ngumu, zinazooza na chupa.…
5 Septemba 2023, 14:40
Maji yakwamisha muitikio wa upandaji miti
Serikali pamoja na wadau mbalimbali wameendelea kuhamasisha jamii juu ya suala la upandaji wa miti ambapo kwa mujibu wa wataalam wanaeleza kuwa miti imekuwa na faida nyingi katika kutunza mazingira. Na Diana Masai. Pamoja najitihada mbalimbali za wadau wa mazingira…
4 Septemba 2023, 15:27
Wananchi watakiwa kuacha kutupa taka ovyo katika mazingira yao
Na Diana Masai. Ili kuondokana na uchafuzi wa mazingira jamii imeaswa kuacha kutupa taka ovyo zikiwemo taka za plastiki ambazo haziozi. Wito huo umetolewa na Mwenyekiti wa mtaa wa kitenge kata ya Majengo Jijini Dodoma Helswida Mhagama wakati akizungumza na…
01/09/2023, 16:25
Idara ya mazingira Geita yaja na mikakati ya kudhibiti taka
Uchafuzi wa mazingira na utupaji taka hovyo katika halmashauri ya mji wa Geita ambapo ndio kitovu cha mkoa, umepelekea idara ya mazingira kuja na mpango mkakati kudhibiti uchafuzi huo. Na Kale Chongela- Geita Idara ya Mazingira halmashauri ya mji wa…
31 Agosti 2023, 23:37
AWF yakabidhi vifaa vya kusaidia uhifadhi wa mazingira vyenye thamani ya zaidi y…
Meneja wa AWF Clarence Msafiri (kushoto) akikabidhi Vifaa hivyo na Mtendaji wa Kata ya Vidunda Peter Lezile akipokea (Picha Katalina Liombechi) Shirika linalojihusisha na uhifadhi wa Mazingira Afrika (AWF) limetoa vifaa hivyo ni katika Utekelezaji wa Mradi wa SUSTAIN_ECO Unaotekelezwa…
30 Agosti 2023, 17:25
DUWASA yaeleza mikakati yake ya kuboresha mfumo wa maji taka
DUWASA inasema tayari bajeti imekwisha tengwa kwaajili ya kuanza ikaranbati huo. Na Yussuph Hassan. Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Dodoma DUWASA, imeweka wazi mikakati yao katika kuhakikisha inaboresha mtandao wa maji taka ambapo tayari fedha imeshategwa kwa ajili…