Maji
13 Septemba 2023, 18:43
Umeme waleta mgao wa maji mkoani Mbeya
Maji ni uhai, viumbe wote hai wanategemea maji hata nje ya viumbe hai bado kumekuwa na uhitaji wa maji,nchi ya Tanzania imekuwa ikitegemea maji kuzalisha nishati ya umeme hivyo maji ni kila kitu kwenye shughuli yoyote ya binadamu. Na Hobokela…
13 Septemba 2023, 13:38
Wananchi Mbeya wahimizwa kutunza mazingira kuongeza uzalishaji wa maji
Maisha ya binadamu yeyote duniani kote yanategemea mazingira na mtunzaji wa mazingira ni binadamu mwenyewe hivyo basi ni wajibu kutunza mazingira ili kuepukana na athari za mabadiliko ya tabia ya nchi. Na Hobokela Lwinga Kiongozi wa mbio za Mwenge wa…
12 Septemba 2023, 5:10 um
WWF: Mto Mara ulindwe na utunzwe
Kupitia Maadhimisho ya 12 ya siku ya Mto Mara, Shirika la Kimataifa la Uhifadhi wa Mazingira WWF limeeleza mikakati linayoifanya kuulinda Mto Mara. Na Edward Lucas Wananchi mkoani Mara wametakiwa kuendelea kutunza rasilimali ya Mto Mara ili kuifanya kuwa endelevu.…
11 Septemba 2023, 5:25 um
BUWSSA: Wizi wa maji Bunda haukubaliki
Tatizo la wizi wa maji ndani ya mji wa Bunda lipo na wanaendelea kukamata watu wote wanaojihusisha na wizi huo pia mamlaka haipendezwi na tabia hizo. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wananchi wilayani Bunda mkoani Mara kuacha tabia ya…
8 Septemba 2023, 10:11 mu
Miradi yenye thamani ya zaidi ya shilingi bil 2.427 yapitiwa na Mwenge wa Uhuru…
RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Mkuu wa wilaya ya Rungwe Jafari Hanniu ametakiwa kusimamia vizuri mradi wa maji wa Ikuti –lyenje ili mradi huo ukamilike kwa muda ulioyo pangwa . Kauli hiyo imetolewa na kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru…
29 Agosti 2023, 17:11
Wananchi watakiwa kuzingatia unywaji wa maji kwa kiwango kinachohitajika
Hata hivyo, hii inaweza kutofautina kulingana na umri wako, jinsia na kiwango cha shughuli unayoifanya. Na Abraham Mtagwa. Imeelezwa kuwa kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa hasa uwepo wa jua kali nyakati za mchana, ni muhimu kwa wanajamii kuzingatia…
28 Agosti 2023, 1:52 um
Busanda waomba vituo vya kuchotea maji viongezwe
Serikali kupitia wakala wa maji safi na usafi wa mazingira vijijini RUWASA imeendelea kusogeza huduma hiyo hadi maeneo ya vijijini ambayo yalikuwa yakikabiliwa na changamoto ya maji safi. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa kijiji cha Busanda wilayani Geita wameiomba serikali…
24 Agosti 2023, 11:15
Wilaya ya Kilolo wasaini mradi wa maji wa bilioni 1.6
Na Frank Leonard WANANCHI katika Vijiji vitatu vya Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa, wanatarajiwa kunufaika na mradi wa maji wa Masalali, Masege na Kihesa Mgagao ambao ujenzi wake unatarajiwa kuanza hivi karibuni ukigharimu zaidi ya Sh Bilioni 1.6. Kukamilika kwa…
22 Agosti 2023, 3:21 um
Wakazi wa Balili Bunda walia na ukosefu wa maji safi na salama
Changamoto ya uwepo wa huduma ya uhakika ya maji safi na salama inavyowatesa wakazi wa Balili katika kata ya Balili halmashauri ya Mji wa Bunda. Na Mussa Matutu na Samweli Erastus Wakazi wa mtaa Balili Stoo kata ya Balili halmashauri…
22 Agosti 2023, 12:15 um
Ukosefu wa maji kuwanyima wanawake usingizi kijiji cha Mjini Kiuyu
Upatikanaji wa maji bado ni changamoto kubwa katika maeneo mengi Pemba hasa vijijini, jambo ambaolo linawakosesha wananchi kushiriki katika shughuli za maendeleo kikamilifu. Na Fatma Hamad. Ukosefu wa huduma za maji safi na salama bado ni kilio kikubwa kwa wananchi…