Maji
15 Agosti 2023, 09:55
Mabadiliko ya bei kuongeza upatikanaji wa maji Dodoma
Ongezeko hilo la bei za maji limechangiwa kwa kiasi kikubwa na mabadiliko ya kiuchumi duniani. Na Selemani Kodima. Baada ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) Kuweka wazi mabadiliko ya bei za huduma za maji zitakazoanza kutumika…
8 Agosti 2023, 15:22
Wananchi waelimishwa utunzaji wa vyanzo vyanzo vya maji
Licha ya kuwepo kwa Sheria za Usimamizi wa vyanzo vya maji bado umekuwepo uharibifu wa vyanzo vya maji kutokana na kuwepo kwa shughuli za kibinadamu zinazofanyika pasipo kuzingatia Sheria zinazosimamia mazingira na rasilimali maji. Na Mindi Joseph. Mamlaka ya Maji…
7 Agosti 2023, 12:34
Hali ya upatikanaji wa maji Dodoma kubadilika ifikapo Septemba
Mradi wa maji Nzuguni unatarajiwa kuongeza uzalishaji wa maji kutoka wastani wa lita mlioni 68.7 mpaka milioni 76.3 kwa siku sawa na ongezeko la 11.4% ya uzalishaji wa sasa, na litapunguza mahitaji kwa 11.7% ya mahitaji ya sasa ya lita…
2 Agosti 2023, 14:59
Mlimwa walalamikia upungufu wa huduma ya maji
Ngulelo amesema kuwa hali hiyo inawalazimu kutumia maji ambayo si safi na salama na kuiomba Serikali kuingili kati suala hilo. Na Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha Mlimwa wilayani Chamwino wamelalamikia changamoto ya upungufu wa huduma ya maji hali inayowapa…
1 Agosti 2023, 16:17
Mwananchi Mpendo anusuru vitongoji vitatu adha ya maji
Waswahili wanasema penye nia pana njia hivyo ndivyo Leonard Daudi amesaidia kutatua changamoto kubwa ya maji katika eneo lake. Na Mindi Joseph. Mwananchi mmoja katika kijiji cha Hamia kata ya Mpendo wilayani Chemba mkoani Dodoma amejitolea kuchimba kisima cha maji na…
28 Julai 2023, 17:07
Fahamu shughuli zinazofanyika bwawa la Hombolo
Je bwawa hili linawanufaisha vipi wakazi wa Hombolo hususani katika shughuli mbalimbali kama kilimo na uvuvi? Na Yussuph Hassan. Bwawa la Hombolo limekuwa likitumika na wakazi wa eneo hilo kwa ajili ya uvuvi wa samaki aina ya perege na wengine…
28 Julai 2023, 16:48
Mradi wa maji Nzuguni sio porojo, wafika asilimia 76
Mradi wa Nzuguni unatarajiwa kuongeza uzalishaji wa maji kutoka wastani wa lita mlioni 68.7 mpaka milioni 76.3 kwa siku sawa na ongezeko la 11.4% ya uzalishaji wa sasa, na litapunguza mahitaji kwa 11.7% ya mahitaji ya sasa ya lita 133.4…
28 Julai 2023, 4:15 um
Wananchi Kapalala walia na maji safi, salama
KATAVI Baadhi ya wananchi wa vitongoji vya kata ya Kapalala halmashauri ya Nsimbo mkoani Katavi wameiomba serikali kuwaongezea mtandao wa upatikanaji wa maji safi na salama katika kata yao. Wakizungumza na Mpanda Radio FM wamesema baadhi ya maeneo ya kata…
28 Julai 2023, 15:50
Ifahamu historia ya bwawa la Hombolo
Wananchi katika vijiji vingi vya jirani walikimbia makazi yao na kuhamia vijiji vingine wakati wa ujenzi wa bwawa hilo, ikiwa ni pamoja na Zepisa. Na Yussuph Hassan. Bwawa la Hombolo lilijengwa ili kuunda bwawa lililopo katika kijiji cha Hombolo Bwawani. Bwawa hilo lilijengwa na serikali ya kikoloni…
21 Julai 2023, 09:16
Aweso amwagiza DC Kibondo kumchukulia hatua mkandarasi
Mkandarasi anayetekeleza mradi wa uchimbaji wa visima vya maji Wilayani Kibondo ametakiwa kukamilisha mradi huo kwa haraka baada ya kutelekeza mradi huo kwa kipindi kirefu na kusababisha wananchi kukosa hudum ya maji. Na, Kadislaus Ezekiel Waziri wa maji Jumaa Aweso…