Maji
2 Novemba 2023, 5:42 um
Shida ya maji, fisi vyawatesa wakazi kijiji cha Lubando
Ukosefu wa huduma ya maji safi na salama, tishio la fisi vijijini katika wilaya ya Nyang’hwale umeendelea kuwapa changamoto wananchi wanaoishi maeneo hayo ambao huchangia maji na mifugo huku wakitembea umbali wa kilomita 20 kufuata maji. Na Mrisho Sadick –…
2 Novemba 2023, 11:51
Mkuu wa wilaya Kongwa awabana watendaji wa maji Mtanana
Hivi karibuni kikao hicho kilifanyika katika kata ya mtanana hii ni baada ya kubaini uwepo wa harufu ya Ubadhilifu wa Mapato yanayokusanywa kupitia Miradi ya Maji katika Kata hiyo hali iliyopelekea kushamiri kwa matumizi ya fedha mbichi. Na Mariam Kasawa.…
1 Novemba 2023, 10:54
Uhaba wa maji wahatarisha familia na ndoa za wakazi wa Zepisa
Changamoto ya maji kwa Wakazi wa Zepisa B kata ya Hombolo Makulu imekuwepo tangu mwaka 1984 Hadi sasa 2023. Na Mindi Joseph. Wakazi wa Mtaa wa Zepisa B kata ya Hombolo Makulu Mkoani Dodoma wameomba kutatuliwa changamoto ya maji inayowakabili…
1 Novemba 2023, 9:24 mu
Wakazi 5000 kunufaika na mradi wa maji Manyamanyama, Mugaja
Zaidi ya wakazi 5000 kutoka kata ya Manyamanyama na maeneo jirani wanatarajia kunufaika na huduma ya maji kutoka mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Bunda BUWSSA. Na Adelinus Banenwa Zaidi ya wakazi 5000 kutoka kata ya Manyamanyama na…
24 Oktoba 2023, 14:16
Wizara ya Maji yasaini mkataba na SU-YAPI Engineering Consulting Inc
Mkataba umesainiwa 23 Oktoba, ikiwa ni awamu ya kwanza, mradi ambao utagharimu kiasi cha shilingi Bilioni 312 kwa ujenzi wa Bwawa lenye ujazo wa lita za maji milioni 440. Na Seleman Kodima Wizara ya Maji imesaini mkataba wa mwaka mmoja…
16 Oktoba 2023, 18:44
Wakazi wa Handali walalamika kukosa maji safi na salama
Wakala wa Majisafi na Usafi wa Mazingira Vijijini RUWASA wapo kwenye mpango wa bajeti katika kuhakikisha miundombinu ya maji katika kijiji cha Handali inafufuliwa. Na Mindi Joseph. Kusimama kwa Mradi wa Maji unaogharimu zaidi ya Milioni 600 katika kijiji cha…
16 Oktoba 2023, 2:18 um
Mtoto wa miaka 3 afa maji wilayani Sengerema
Ikumbukwe mwezi September watoto wanne walipoteza maisha kwa kuzama kwenye bwawa kata ya Katunguru na kufanya jumla ya watoto sita kufa maji maeneo tofauti tofauti wilayani Sengerema kwa mwaka huu 2023. Na;Emmanuel Twimanye. Mtoto wa kike mwenye umri wa miaka…
9 Oktoba 2023, 3:06 um
Chongolo amtaka Waziri wa maji kufika Karema na Ikola
Katibu mkuu wa chama cha mapinduzi taifa Daniel Chongolo amemtaka Waziri wa maji Juma Aweso kuhakikisha anafika kata za Karema na Ikola Kutatua changamoto ya maji Na John Benjamin – Tanganyika Katibu mkuu wa chama cha mapinduzi taifa Daniel Chongolo…
5 Oktoba 2023, 20:35
Bilioni 5 zawanufaisha wananchi ujenzi mradi wa maji Mbarali
Maji ambayo imekuwa ikitajwa kuleta migogoro ya kindoa, kwa ujumla kero hiyo imekuwa ikitatuliwa pindi ambapo mamlaka yenye wajibu wa kupeleka huduma inapopeleka eneo husika, huku wajibu wa kutunza mradi huo likibaki wa watumiaji ambao ni wananchi. Na mwandishi wetu…
4 Oktoba 2023, 7:29 um
Gilyoma: Bunda kutumia mita mpya za maji
Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Bunda BUWSSA inatarajia kufunga mita mpya takribani 6000 na kuondoa mita za zamani Na Catherine Msafiri Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya MajiSafi na Usafi wa Mazingira Bunda (BUWSSA) Bi. Esther Gilyoma, amesema…