Radio Tadio

Habari za Jumla

27 Febuari 2024, 16:47

Bilioni 52 zatekeleza miradi ya maendeleo kibondo

Serikali kwa kipindi cha miaka mitatu Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma imetekeleza miradi ya zaidi ya shilingi bilioni 52 na kuleta manufaa kwa wananchi. Na, James Jovin Zaidi ya shilingi bilioni 52 zimetumika kutekeleza miradi mbali mbali ya maendeleo katika wilaya…

25 Febuari 2024, 6:29 um

Takukuru Simiyu yaokoa zaidi ya shilingi milioni 70

Na Nicholaus Machunda Taasisi  ya  Kuzuia  na  Kupambana  na  Rushwa  mkoa  wa  Simiyu  imefanikiwa  kuokoa  fedha   zaidi  ya shilingi  milioni sabini  zilizotaka  kufanyiwa  ubadhirifu  katika  Chuo cha  Maafisa  Tabibu  wilayani  Maswa. Akitoa  taarifa  kwa  waandishi  wa  habari, Naibu Mkuu wa  Takukuru  mkoani …

25 Febuari 2024, 8:46 mu

DC Ngorongoro na ziara ya kwanza

Miradi mingi ya maendeleo wilayani Ngorongoro inayotekelezwa kupitia ufadhili wa benki ya maendeleo ya Ujerumani (KFW) imegusa karibu kila sekta muhimu ikiwepo Afya,barabara pamoja na sekta ya elimu. Na mwandishi wetu. Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro Kanal. Wilson Sakulo leo…

23 Febuari 2024, 6:43 um

Wanawake Kilosa watakiwa kuchangamkia fursa za uongozi

Uchaguzi wa serikali za mitaa\vitongoji na vijiji utakafanyika mwaka huu 2024 ili kuchagua viongozi katika nafasi hizo ambazo zitawapa fursa ya kwenda kuwaongoza wananchi katika kuwaletea maendeleo kwa kuzingatia sheria na miongozo. Na Asha Madohola Wanawake wametakiwa kuchangamkia fursa kipindi…

23 Febuari 2024, 16:03

KUWASA yabaini michezo michafu kwenye mita za maji

Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Manispaa ya Kigoma Ujiji KUWASA imekemea tabia ya baadhi ya wananchi wanaoharibu miundombinu ya maji kwa kukata mabomba ya maji na wengine kuiba mita za maji. Na, Lucas Hoha Akizungumza na Joy…

23 Febuari 2024, 15:37

Wananchi waipongeza serikali maboresho huduma za afya Kasulu

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kusogeza huduma za afya karibu na wananchi wa wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma kwa kuongeza idadi ya zahanati, vituo vya Alafya na kuboresha hospital ya wilaya ya Kasulu Mlimani kuhakikisha jamii inapata…