Habari za Jumla
19 March 2024, 10:02
Shule ya wasichana Mkugwa yakabiliwa na upungufu wa nyumba za walimu, mabweni
Shule ya Sekondari ya wasichana Mkugwa iliyoko Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma inakabiliwa na changamoto mbali mbali ikiwemo upungufu wa nyumba za walimu, mabweni na madarasa hali inayozorotesha kiwango cha taaluma shuleni hapo. Hayo yamebainishwa na mkuu wa shule hiyo mwalimu…
18 March 2024, 19:51
Waziri mkuu,tumieni kiswahili kwenye shughuli zenu
Waziri Mkuu kassim Majaliwa amewataka watanzania kutumia fursa ya matumizi sahihi ya lugha ya kiswahili ili kujipatia ajira kutokana na mataifa mengine kuipokea lugha hiyo kwa kasi kubwa. Na Hobokela Lwinga Waziri mkuu ameagiza watanzania na ofisi za Serikali kuhakikisha…
18 March 2024, 4:33 pm
Viongozi wa dini hamasisheni waumini wajenge mwabweni ya shule
Denis Sinkonde, Songwe Ili kukabiliana na mimba kwa wanafunzi wilayani Ileje mkoani Songwe viongozi wa dini wametakiwa kuwahamasisha waumini wao kujitolea kujenga mabweni kwenye shule za sekondari ili kuwaondolea adha wanafunzi wa kike kufuata masomo umbali mrefu. Hayo yamesemwa jana…
18 March 2024, 13:50
Prof. Kabudi akagua miradi ya shule, ahimiza wazazi kuwasomesha watoto
Katika kuhakikisha elimu inawafikia watoto wote nchini serikali imewekeza kuhakikisha shule za awali, msingi na sekondari zinakuwepo za kutosha hususan vijijini ambapo ilikuwa inawalazimu watoto kutembea umbali mrefu kwenda shule. Na Asha Rashid Madohola Mbunge wa jimbo la Kilosa Prof.…
18 March 2024, 1:12 pm
Maandamano ya CHADEMA yanukia Kyela
Wanachama na makada wa CHADEMA wilaya ya Kyela wanajipanga kufanya maandamano makubwa ya amani kushinikiza serikali kuunda tume huru ya uchaguzi. Na James Mwakyembe Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA wilayani Kyela kupitia katibu wake mwenezi Donald Mwaisango kimesema kinajipanga…
18 March 2024, 12:24
Mradi wa Dream kuwanufaisha wasichana Mbeya, Songwe
Katika dunia ya sasa kundi la wasichana wanapaswa kulindwa na kupewa mazingira mazuri ambayo yatawafanya kuondokana na changamoto zinazowakabili. Na mwandishi wetu Shirika la kimataifa la HJFMRI limesema linatarajia kutoa Sh 500 milioni kuwezesha mabinti balehe na wasichana vijana kupitia…
18 March 2024, 12:08
PM Majaliwa kufungua kongamano la idhaa ya kiswahili jijini Mbeya
Kiswahili ni moja ya lugha ya mawasiliano ambayo inaendelea kukua kwa kasi ambapo kwa sasa mataifa mbalimbali duniani yamekuwa yakiitumia kuwasiliana. Na Hobokela Lwinga Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Kasim Majaliwa Majaliwa amewasili katika uwanja wa…
16 March 2024, 3:41 pm
Mdau wa maendeleo Hai akabidhi maabara kwa Dc Mkalipa
Katika kuendelea kuunga mkono serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, mdau wa maendeleo wilayani Hai amekabidhi maabara ya kisasa kwa DC Mkalipa. Na Edwine Lamtey Serikali wilayani Hai imesema kuwa itaendelea kushirikiana na wadau…
15 March 2024, 7:56 pm
Kamati ya kudumu ya bunge yaridhishwa na ujenzi wa shule ya sekondari Saashisha
15 March 2024, 3:18 pm
KATAVI,Waandishi Tumieni Kalamu kwa Weledi
“Wandishi wa habari Mkoani Katavi wametakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia miiko na maadili ili kuepusha sintofahamu kuelekea uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025″. Picha na Ben Gadau Na Ben Gadau-katavi Wandishi wa habari Mkoani Katavi wametakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia miiko…