Radio Tadio

Habari za Jumla

29 March 2024, 12:43

Wakristo wahimizwa kumtegemea Mungu kwenye maisha yao

Ijumaa Kuu kwa mkristo Ina nafasi kubwa kwani ni siku ambayo inatajwa kwenye Maandiko Matakatifu kuwa ndiyo ulimwengu ulipata wokovu na kibiblia kama mateso ya Yesu Kristo, kabla ya ufufuo wake wa siku Tatu. Na Rukia Chasanika Wakristo nchini wameshauriwa…

29 March 2024, 10:53

Madiwani watakiwa kusikiliza kero za wananchi Kasulu

Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi CCM wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma Mberwa Chidebwe amewaagiza madiwani wote wa halmashauri ya wilaya ya Kasulu kusikiliza kero za wananchi ili ziweze kutatuliwa na serikali kuliko kusubiri viongozi wa kitaifa. Ameyasema hayo wakati akizungumza…

28 March 2024, 19:39

Marufuku yapigwa uuzaji holela wa viuatilifu

Matumizi sahihi ya viuatilifu yanatajwa Zaidi kuwa sehemu bora ya uzalishaji wa mazao. Na Hobokela Lwinga Wasambaji na wakulima Nchini wametakiwa kutumia viutilifu vilivyosajiliwa sambamba na wenye maduka ya viutilifu kujisajili ili kuondoa wimbi la matumizi viutilifu visivyofaa. Wito huo…

28 March 2024, 6:54 pm

Jamii kuepuka majanga ya moto Rungwe

ili kuhakikisha majanga ya moto yanaepukika wananchi wanatakiwa kutoa taarifa juu ya majanga ya moto. RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Jeshi la polisi kwa kushirikiana na jeshi la zimamoto na uokoaji wilayani Rungwe mkoani Mbeya limewataka wananchi wa mtaa wa Igamba…

28 March 2024, 17:13

Uharibifu wa mazingira unavyogharimu maisha ya watu

‘‘Mnapojadiliana mikakati mtakayokuja nayo ni lazima, lazima nasema lazima ijibu hali ya umasikini sio kumwambia mtu asikate mti bila kumwambia afanye nini’’ Amesema Katibu Tawala Alhaj Mussa Ally Mussa Na Katalina Liombechi Imeelezwa kuwa Matokeo ya Uharibifu wa Mazingira katika…

28 March 2024, 11:55

wapiga ramli chonganishi kuchukuliwa hatua kali za kisheria

Baraza la Madiwani katika halmashauri ya wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma limeazimia kuchukua hatua kali za kisheria kwa wapiga ramli chonganishi maarufu kamchape kufuatia kufanya shughuli za uvunjifu wa amani ndani ya halmashauri hiyo. Na, hagai Ruyagila Katika kikao hicho…

28 March 2024, 10:19

LAAC yaipongeza Maswa kwa usimamizi mzuri wa miradi

Kamati  ya  Kudumu  ya  Bunge  ya  Hesabu  za  Serikali  za  Mitaa –  LAAC   imeipongeza  Halmashauri  ya  Wilaya  ya  Maswa  kwa  Usimamizi  Mzuri  wa  Fedha  za  Miradi  ya  Maendeleo zinazoletwa  Wilayani  hapo. Akitoa  Pongezi  hizo  mara  baada  ya  kutembelea  Jengo  la …

27 March 2024, 7:30 pm

Watakaoharibu uchaguzi serikali za mitaa kukiona

Kutokana na uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika mwaka huu,serikali yatoa onyo. Na Edwine Lamtey Serikali  imetoa onyo kwa vikundi vya watu,Taasisi ama vyama vya siasa vinavyojipanga kwa ajili ya kuharibu uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika baadaye…