Habari za Jumla
2 April 2024, 07:30
Polisi Mbeya kuwasaka watuhumiwa mauaji ya mwalimu, mwanafunzi Chunya
Mwili wa mwalimu aliyeuawa wilaya ya Chunya mkoani Mbeya utasafirishwa kwenda kufanyiwa mazishi mkoa wa Iringa. Na Ezekiel Kamanga Mwili wa aliyekuwa mwalimu wa shule ya msingi Mbugani Herieth Lupembe (37) aliyeuawa na watu wasiojulikana utasafirishwa kwenda mkoani lringa kwa…
1 April 2024, 19:25
Wakristo onesheni upendo kwa watu wote
Upendo ni sehemu ya maisha ya mwanadamu kila mtu anapaswa kuonesha upendo pasipo kujali rika rangi wala kabila. Na Deus Mellah Wakristo wa madhehebu mbalimbali mkoani Mbeya wametakiwa kuwa mstari wa mbele katika kuonesha upendo kwa watu wa makundi mbalimbali…
1 April 2024, 14:30
Wanusurika kifo baada ya nyumba yao kubomoka-Ifakara
“Hakuna kifo wala majeruhi kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha baada ya nyumba kubomoka ambayo imeacha familia ya watu watatu kukosa makazi,ambapo kwa sasa wamehifadhiwa katika Jengo la Ccm kata ya Kibaoni katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara“-Afisa Mtendaji wa…
1 April 2024, 13:28
Mwalimu wa kike, mwanafunzi wauawa Kiwanja Chunya
Mwalimu wa kike na mwanafunzi wameuawa wakati huo mtoto wa miaka miwili akijeruhiwa wilaya ya Chunya mkoani Mbeya. Na Ezekiel Kamanga Watu wawili jinsi ya kike wakazi wa Kiwanja kata ya Mbugani wilaya ya Chunya mkoani Mbeya wanadaiwa kuuawa na…
1 April 2024, 11:23 am
Mvua yasababisha majanga Rungwe
Moja ya nyumba iliyonusulika kubomoka [picha na Lennox Mwamakula] Richa ya kuwepo kwa sera mipango miji nchini jamii imewaomba wasimamizi kuendelea kufuatia na kuratibu ili kufanikisha suala hilo RUNGWE-MBEYA Lennox Mwamakula Kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini wananchi wilayani…
31 March 2024, 12:17
Baraka fm yapongezwa kwa urushaji wa matangazo yenye tija kwa jamii
Redio Baraka ni redio inayomilikiwa na Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi,redio hii ndiyo redio ya kwanza ya dini iliyoanza kurusha matangazo yake na tangu ianze kurusha matangazo kumekuwa na shuhuda mbalimbali kutoka kwa wasikilizaji wake namna vipindi…
31 March 2024, 10:35 am
Mkenda Super Cup 2024 yazinduliwa rasmi, wachezaji wapewa vifaa vya michezo
Mashindano ya Mkenda Super Cup ambayo yalianza rasmi mwaka 2022 katika Jimbo la Rombo yakidhaminiwa na Mbunge wa Jimbo hilo Profesa Adolf Mkenda yazinduliwa rasmi,timu za mpira wa miguu zipatazo 126 kuchuana vikali. Na Elizabeth Mafie Mashindano ya Mkenda Super…
30 March 2024, 19:19
Zimamoto Mbeya yaopoa mwili wa asiyefahamika mto Magege
Katika hali isiyo ya kawaida mwili wa mtu mmoja umekutwa katika mto Magege ukidhaniwa kutupwa na watu wasiojulikana baada ya kumfanyia kitendo kilichopelekea kupoteza maisha. Na Ezekiel Kamanga Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Mbeya limefanikiwa kuopoa mwili wa…
30 March 2024, 11:14 am
Matendo mema yawe endelevu na si wakati wa Kwaresma, mwezi Ramadhan tu
Waumini wakat wa neno
29 March 2024, 17:46
TFS yaombwa kutoa elimu ya huduma za misitu
Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) wameombwa kutembelea vijiji na kutoa Elimu kwa Wananchi ili wapate uelewa juu ya athari zinazo weza kujitokeza kutokana na matumizi mabaya ya Mazao ya Misitu Na Musa Mtepa Akizungumza na Jamii Fm Radio…