Radio Tadio

Habari za Jumla

22 Aprili 2024, 09:02

Udamavu kwa watoto kigoma pasua kichwa

Viongozi Mkoani Kigoma wametakiwa kusimamia huduma za afya na lishe kwa usahihi ili kunusuru watoto kuandamwa na tatizo la udumavu licha kuwa ni mkoa unazalisha vyakula vya kutosha Na Kadislaus Ezekeil – Kigoma Nchi za Tanzania na Marekani zimezindua mradi…

21 Aprili 2024, 2:09 um

Mbunge Nsimbo akabidhi msaada kwa waathirika wa mafuriko

“Wananchi wanatakiwa kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya mvua ambazo tayari zimeonyesha kuwa na athari ya mafuriko katika jamii” Na Ben Gadau -Katavi Mbunge wa Jimbo la Nsimbo Anna Lupembe amekabidhi msaada kwa wahanga wa mafuriko katika vijiji vya kaburonge A…

21 Aprili 2024, 1:05 um

Katibu mkuu BAVICHA alia na wazee

Changamoto kubwa inayowafanya vijana washindwe kuwania nafasi za uongozi ” ni wazee kutowaamini vijana, vijana wengi hawaaminiwi na wazee” Na Edward Lucas Katibu mkuu wa Baraza la Vijana Chadema Tanzania Bara, Yohana Kaunya amesema wazee kutowaamini vijana na ushirikishwaji mdogo…

Aprili 20, 2024, 12:01 um

Unyanja fm yapewa tahadhari kuelekea uchaguzi

Ruhundwa amesema vitendo vya upendeleo wakati wa kuwahoji viongozi au wanachama wa vyama vya siasa hususan nyakati za uchaguzi zinaweza kuleta chuki na kusababisha migogoro mikubwa na hata ugomvi kati ya Waandishi au watoa maadhui na wanasiasa au wafuasi wa…

19 Aprili 2024, 11:41 um

Rais wa chemba ya wafanyabiashara nchini azitaka taasisi binafsi kuungana

Rais wa chemba  ya wafanyabiashara Tanzania [TCCIA] Vicent Bruno Minja akizungumza na wafanyabiashara mkoani Katavi.Picha na Veronika Mabwile “changamoto zinashindwa kutatuliwa kutokana na wafanyabiashara wenyewe kutokuwa na umoja“ Na Veronika Mabwile -Katavi Rais wa chemba  ya wafanyabiashara Tanzania [TCCIA] Vicent…