Radio Tadio

Habari za Jumla

15 May 2024, 12:59

Watumishi wa serikali watakiwa kusimamia ukusanyaji mapato

Serikali wilayani kasulu mkoani kigoma imesema itandelea kushirikiana na viongozi wote ngazi za chini katika kusimamia ukusanyaji wa mapato ili yaweze kusaidia katika utelekezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo. Na Hagai Ruyagila – Michael Mpunije Mkuu wa wilaya ya Kasulu…

15 May 2024, 12:30

Viongozi watakiwa kutoa taarifa za miradi kwa wanahabari

Viongozi wa ngazi mbalimbali mkoani kigoma wametakiwa kuwa karibu na wanahabari ili kufahamu miradi mbalimbali inayotekelezwa kwenye maeneo yao. Na Lucas Hoha – Kigoma Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kamishna Jenerali mstaafu wa jeshi la zimamoto na uokoaji Thobias Andengenye…

15 May 2024, 11:17 am

Mkoa wa Shinyanga watajwa kuongoza kwa ukatili

Vitendo vya ukatili kwa watoto hasa ulawiti wa watoto wa kiume zimeendelea kushamiri huku akina mama wakitajwa kutochukua hatua ya kuwalinda watoto. Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Chama Cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Shinyanga, Grace Bizulu amewataka wazazi na walezi…

15 May 2024, 09:40

Migogoro ya kifamilia huathiri malezi na makuzi ya watoto

Serikali ya mkoa wa Kigoma imesema kuwa wazazi kwa kushirikiana na jamii hawana budi kukaa na kutatua migogoro ya familia ili iwe suluhisho la watoto kukua katika maadili na malezi bora. Na Josephine Kiravu – Kigoma Katibu tawala mkoani Kigoma…

14 May 2024, 17:30

Roundabout kumaliza ajali za barabarani Lamadi

Barabara ya mzunguko ilichelewa sana kuwepo na huenda ajali za barabarani zisingekuwepo au kuwepo lakini kwa kiwango cha chini tofauti na hivi sasa. Na, Daniel Manyanga  Kukamilika kwa barabara ya mzunguko  (roundabout) inayounganisha barabara za Lamadi Bariadi,Mwanza na Mara kunatajwa…

14 May 2024, 09:34

Bei ya pamba haina tija kwa wakulima wa Bariadi

Kutokana na bei ya pamba kuwa ndogo katika msimu wa kilimo wa mwaka 2024/25 iliyotangazwa mkoani Shinyanga wakulima wameanza kuangalia namna ya kuachana na kilimo hicho. Na, Daniel Manyanga Baraza la Madiwani la halmashauri ya wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu…