Habari za Jumla
30 May 2024, 1:43 pm
Waziri Jafo :Katavi tunzeni mazingira
picha na Site tv “uharibifu wa mazingira unaleta athari hasa ya mabadiliko ya tabianchi jamii inapaswa kuyatunza mazingira“ Na Betord Chove -Katavi Waziri wa Nchi (Muungano na Mazingira, Dkt.Selemani Saidi Jafo Amewaagiza wakuu wa Mikoa nchiniĀ kutekeleza mpango wa kuhamia…
30 May 2024, 12:47 pm
DED Ngorongoro awataka watumishi kushirikiana
Ilikufanikisha maendeleo ya wananchi kwa weledi watumishi wa Halmshauri wametakiwa kuwa na umoja na ushirikiano katika kutimiza majukumu yao. Na Saitoti Saringe Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro Bw. Murtallah Sadiki Mbillu amezungumza na Watumishi wa Wilaya ya Ngorongoro…
30 May 2024, 12:10 pm
Muuza Chips mbaroni kwa tuhuma mauaji
“Tunamshikilia huyu bwana kwa sababu tunafanya uchunguzi na walikuwa na kesi kuhusu hatima ya talaka yao ambayo ilitakiwa itolewe tarehe 28 mwezi huu wa tano hivyo tukikamilisha uchunguzi tutamfikisha mahakamani kwa hatua zaidi za kisheria” Na Neema Nkumbi-Huheso FM Jeshi…
30 May 2024, 12:03 pm
Wananchi kumlinda binti mwenye ulemavu dhidi ya mimba za utotoni
Viti mwendo sambamba na nyenzo zingine za kusaidia watu wenye ulemavu kutoka sehemu moja kwenda nyingine .picha na Mtandao “wasichana wenye ulemavu wana ndoto na wanapaswa kufikia malengo yao ,jamii inapaswa kuwalinda wasichana wenye ulemavu“ Na Ben Gadau- Katavi Wazazi…
30 May 2024, 11:46 am
Wananchi 4700 Iseche kunufaika na mradi wa maji safi
Na Denis Sinkonde,Songwe Wananchi wa kijiji cha Iseche kilichopo Wilayani Songwe Mkoani Songwe wameondokana na adha ya kutumia maji yasiyo safi na salama ambayo awali walikuwa wanayapata kutoka mto songwe na kusababisha kupata magonjwa ya tumbo kutokana na matumizi ya…
30 May 2024, 10:36 am
Magesa mbaroni kwa kumuua mtalaka wake
30 May 2024, 10:36 am
Misitu 30 kuboresha biashara ya Kaboni Katavi
Mkuu wa mkoa wa Katavi akiwa wilayani Tanganyika .picha na site tv “Halmashauri zote mkoani katavi zinapaswa kutunza mazingira ili kunufaika na biashara ya hewa ukaa na kukuwa kiuchumi“ Na Betold Chove- Katavi Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko…
30 May 2024, 10:06
Mwalimu mbaroni kujihusisha kimapenzi na mwanafunzi wake
Serikali imesema itaendelea kuwachukulia hatua za kisheria walimu na watu wote ambao wamekuwa wakijihusisha kimapenzi na wanafunzi wao kwani wanasababisha kwanafunzi kushindwa kufikia malengo yao. Na Kadislaus Ezekiel – Kibondo Jeshi la Polisi Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma, limemkamata Mwalimu wa…
29 May 2024, 15:04
TRA watoa siku 14 wafanyabiashara kuwa na mashine za EFD Maswa
Ukikwepa kulipa kodi maana yake umekubali kuliingizia hasara Taifa lako na kupelekea kudumaza shughuli za kimaendeleo tulipeni kodi kwa hiari kwa kutoa EFD mashine kwa waliokidhi vigezo. Na,Daniel Manyanga Mamlaka ya mapato nchini TRA wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imetoa…
29 May 2024, 09:55
Serikali yapongezwa udhibiti, ramli chonganishi
Serikali wilayani kasulu imesema iitaendelea kuhakikisha ulinzi na usalama unaimarishwa kwa kuwachukulia hatua wale wote watakaoonyesha vitendo vya uvunjifu wa amani kwenye jamii ikiwemo ramli chonganishi. Na Michael Mpunije – Kasulu Madiwani katika halmashauri ya wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma…