Radio Tadio

Habari za Jumla

12 June 2024, 3:17 pm

Madereva Tax Katavi watakiwa kufuata sheria za usalama barabarani

mkaguzi msaidizi Jofrey Brighton kutoka jeshi la Polisi kitengo cha usalama barabarani mkoani Katavi akiwa anafanya ukaguzi “baadhi ya madereva wamekuwa wakifanya makosa ya kuzidisha abiria, kupakia abiria pamoja na mizigo hatarishi“ Na John Benjamini-Katavi Madereva wa Tax maarufu probox…

6 June 2024, 10:12 am

Mwanafunzi wa darasa la nne ajinyonga marishoni Mufindi

Na Jumanne Bulali Mufindi Emmanuel Mikael Mwepelwa mwenye umuri wa miaka 10, Mwanafunzi wa shule ya msingi Njojo kata ya Nyololo wilayani Mufindi mkoani Iringa, amesadikika kufariki dunia kwa kujinyonga, sababu zikiwa hazijulikani hadi sasa. Kwa Undani Wa Habarii Tuungane…

3 June 2024, 17:34

Maswa:Ni matusi kuwaita watoto majina ya ujombani

“Migogoro ya ndoa na  mipalanganyiko yakimahusiano imeendelea kuwa na athari kwa malezi na makuzi ya mtoto nchini hali inayopelekea watoto wengi kukosa haki zao za msingi.” Na,Daniel Manyanga Wanawake na mabinti wametakiwa kuwaita watoto wao majina halisi ya baba zao…

3 June 2024, 4:14 pm

Kyela:Miti 150,0000,kupandwa Kyela

Katika kukabiliana na janga la mafuriko ambalo limekuwa likiisumbua wilaya ya Kyela mara kwa mara serikali imekusudia kupanda miti milioni moja na laki tano. Na James Mwakyembe Siku chache baada ya mvua kubwa kuikumba wilaya ya Kyela serikali imekusudia kupanda…

3 June 2024, 3:47 pm

Wadau wa maendeleo kuzinufaisha shule Rungwe

Mdau wa maendeleo wilayani Rungwe Ndg Aliko Mwaiteleke Wadau wa maendeleo wameendelea kuunga mkono juhudi za serikali ili kutatua changamoto kwenye jamii RUNGWE- MBEYA Na Noah Kibona Jumla ya Kompyuta 200 zinatarajia kuzinufaisha shule za sekondari 10 kutoka Shirika lisilo…