Habari za Jumla
31 May 2024, 19:16
RC Nawanda aagiza halmashauri kutenga bajeti ya michezo mashuleni
Utengaji wa bajeti ya ununuzi wa vifaa vya michezo mashuleni utaongeza wanamichezo hivyo kutengeneza ajira nyingi na kuongeza kipato cha mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla. Na.Daniel Manyanga Mkuu wa mkoa wa Simiyu Dkt.Yahaya Nawanda ameziagiza halmashauri zote mkoani…
31 May 2024, 5:19 pm
Wakulima wa pareto mkoa mbeya na songwe watakiwa kuzingatia ubora wa uzalishaji…
Pareto niĀ moja kati ya zao la kibiashara ambalo hulimwa mikoa sita tu nchini tanzania, zao hilo ni jamii ya maua hutumika kutengenezea dawa za kuuwa wadudu. Na Lameck Charles Highlands Fm Radio Serikali ya Wilaya ya Mbeya imesema itaendelea…
31 May 2024, 3:12 pm
Mifumo ya kuripoti vitendo vya rushwa ni rafiki kwa mwanamke
Mifumo ya kuripoti matukio ya rushwa ni njia ambazo mwananchi ama yule aliyefikwa na tatizo kuweza kufikisha mahala panapostahili. Mifumo hiyo ipo ya namna nyingi mfano kufika mwenyewe kwenye ofisi za takukuru lakini kupiga simu na kutumia ujumbe mfupi ila…
31 May 2024, 2:36 pm
Aliyefichwa kwa miaka 13 kisa ulemavu aibuliwa Ngorongoro
Jamii za kifugaji zinazo patikana katika wilaya ya Ngorongoro baadhi yao wanaamini mtu mwenye ulemavu kwenye familia ni laana au mkosi hivyo wengi wao uwaficha wasionekane katika jamii. Na Edward Shao. Shirika la Ngolac [Ngorongoro legal aid center] limefanikiwa kumuibua…
30 May 2024, 6:37 pm
Watumiaji wa soko la ndizi wanufaika Rungwe
Mwakilishi wa Mwaiteleke itika nkoba akikabidhi kwaniaba vifaa kwa viongozi wa soko kutokana na uwepo wa taarifa za magonjwa ya mlipuko jamii imeshauliwa kuchukua taadhari ili kuweza kuyaupuka RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Ili kukabialiana na magonjwa ya milipuko taasisi isiyo…
30 May 2024, 5:13 pm
Wananchi watakiwa kutoa malalamiko juu ya huduma za nishati na maji
Na Lameck Charles Wananchi wa nyanda za juu kusini wametakiwa kuendelea kutoa malalamiko yao wanayokabailiana nayo pale wanapopata huduma zinazohusishwa huduma za nishati na maji. Kauli hiyo imetolewa na Francis Mhina Afisa Huduma kwa wateja (Ewura) nyanda za juu kusini…
30 May 2024, 4:37 pm
Wananchi chunya waomba kutatuliwa changamoto ya maji
Na Pascal Ndambo Wananchi wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya wameiomba serikali kutatua changamoto ya maji ambayo wamedai kuwa imedumu kwa muda mrefu na kusababisha adha ya kufuata maji ya visima umbali mrefu ambayo sio safi na salama. Wakizungumza kwa nyakati…
30 May 2024, 1:43 pm
Waziri Jafo :Katavi tunzeni mazingira
picha na Site tv “uharibifu wa mazingira unaleta athari hasa ya mabadiliko ya tabianchi jamii inapaswa kuyatunza mazingira“ Na Betord Chove -Katavi Waziri wa Nchi (Muungano na Mazingira, Dkt.Selemani Saidi Jafo Amewaagiza wakuu wa Mikoa nchiniĀ kutekeleza mpango wa kuhamia…
30 May 2024, 12:47 pm
DED Ngorongoro awataka watumishi kushirikiana
Ilikufanikisha maendeleo ya wananchi kwa weledi watumishi wa Halmshauri wametakiwa kuwa na umoja na ushirikiano katika kutimiza majukumu yao. Na Saitoti Saringe Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro Bw. Murtallah Sadiki Mbillu amezungumza na Watumishi wa Wilaya ya Ngorongoro…
30 May 2024, 12:10 pm
Muuza Chips mbaroni kwa tuhuma mauaji
“Tunamshikilia huyu bwana kwa sababu tunafanya uchunguzi na walikuwa na kesi kuhusu hatima ya talaka yao ambayo ilitakiwa itolewe tarehe 28 mwezi huu wa tano hivyo tukikamilisha uchunguzi tutamfikisha mahakamani kwa hatua zaidi za kisheria” Na Neema Nkumbi-Huheso FM Jeshi…