Radio Tadio

Habari za Jumla

15 June 2024, 11:15 am

Wazazi Katavi waaswa kutowaozesha mabinti katika umri mdogo

“Wazazi wanachangia mimba za utotoni kwa watoto wao kutokana na kuruhusu watoto hao kuwa na mahusiano katika umri mdogo“ Na Lilian Vicent -Katavi Kuelekea maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika ambayo hufanyika kila  tarehe 16 Juni kila mwaka, halmashauri…

14 June 2024, 9:07 am

Dc Ngorongoro:Tatueni migogoro kwenye kata zenu

Na Zacharia James Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro Mhe.kanali Wilson Sakulo amewataka waheshimiwa madiwani kushiriki kikamilifu kusaidia kutatua migogoro yote iliyopo katika maeneo ya kata zao kwani wao wananguvu kubwa na imani ya Wananchi wao. Ameyasema hayo katika mkutano wa…

12 June 2024, 3:17 pm

Madereva Tax Katavi watakiwa kufuata sheria za usalama barabarani

mkaguzi msaidizi Jofrey Brighton kutoka jeshi la Polisi kitengo cha usalama barabarani mkoani Katavi akiwa anafanya ukaguzi “baadhi ya madereva wamekuwa wakifanya makosa ya kuzidisha abiria, kupakia abiria pamoja na mizigo hatarishi“ Na John Benjamini-Katavi Madereva wa Tax maarufu probox…

6 June 2024, 10:12 am

Mwanafunzi wa darasa la nne ajinyonga marishoni Mufindi

Na Jumanne Bulali Mufindi Emmanuel Mikael Mwepelwa mwenye umuri wa miaka 10, Mwanafunzi wa shule ya msingi Njojo kata ya Nyololo wilayani Mufindi mkoani Iringa, amesadikika kufariki dunia kwa kujinyonga, sababu zikiwa hazijulikani hadi sasa. Kwa Undani Wa Habarii Tuungane…