Radio Tadio

Habari za Jumla

31 May 2024, 23:54

Doria zaimarisha uhai wa misitu Muheza

Watu wameacha kuharibu misitu kutokana na sheria tulizoweka pamoja na doria, kwa sasa hata kama ni baba au ndugu yako akiharibu msitu utampeleka mbele ya sheria. Na Hamisi Makungu Doria za mara kwa mara katika hifadhi ya misitu wilayani Muheza…

31 May 2024, 23:37

Wenza msiwekeane vikwazo kufanya kazi

Migogoro mingi imekuwa ikiibuka kutokana na changamoto ya wenza wa kike wanapopangiwa zamu za kulinda usiku katika kampuni ya mkonge. Na Saa Zumo Jamii ya Kijiji cha Mtango Wilayani Pangani mkoani Tanga imetakiwa kuona umuhimu wa wenza wao kufanya kazi…

31 May 2024, 2:36 pm

Aliyefichwa kwa miaka 13 kisa ulemavu aibuliwa Ngorongoro

Jamii za kifugaji zinazo patikana katika wilaya ya Ngorongoro baadhi yao wanaamini mtu mwenye ulemavu kwenye familia ni laana au mkosi hivyo wengi wao uwaficha wasionekane katika jamii. Na Edward Shao. Shirika la Ngolac [Ngorongoro legal aid center] limefanikiwa kumuibua…

30 May 2024, 6:37 pm

Watumiaji wa soko la ndizi wanufaika Rungwe

Mwakilishi wa Mwaiteleke itika nkoba akikabidhi kwaniaba vifaa kwa viongozi wa soko kutokana na uwepo wa taarifa za magonjwa ya mlipuko jamii imeshauliwa kuchukua taadhari ili kuweza kuyaupuka RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Ili kukabialiana na magonjwa ya milipuko taasisi isiyo…

30 May 2024, 4:37 pm

Wananchi chunya waomba kutatuliwa changamoto ya maji

Na Pascal Ndambo Wananchi  wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya wameiomba serikali kutatua changamoto ya maji ambayo wamedai kuwa imedumu kwa muda mrefu na kusababisha adha ya kufuata maji ya visima umbali mrefu ambayo sio safi na salama. Wakizungumza kwa nyakati…