Radio Tadio

Habari za Jumla

3 May 2024, 14:35

Ajiua kwa kujirusha kwenye tairi la fuso Mbeya

Maisha ya binadamu yanapopatwa na msongo wa mawazo yamekuwa yakisababisha wengine kuchukua maamzi magumu ya Kujiondoa uhai kwa baadhi ya watu wanaokuwa wanaukosa kutoka kwa watu wao wa karibu. Na Yuda Joseph Mtu mmoja ambaye jina lake halijafamika amefariki dunia…

3 May 2024, 14:00

RC Kigoma awataka vijana kutumika kimaendeleo

Mkuu wa mkoa wa Kigoma Kamishna Jenerali mstaafu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Thobias Andengenye ameiasa jamii kutumia nguvu kazi ya vijana katika shughuli za Kimaendeleo ili kuongeza uchumi wa taifa na jamii kwa ujumla. Ametoa wito huo wakati…

3 May 2024, 12:06

Wahudumu wa afya acheni lugha chafu kwa wagonjwa

Mkuu wa wilaya Kigoma Mkoani kigoma amesema serikali itaendelea kuwachukulia hatua kali wahudumu wa afya wanaokiuka madili ya kazi zao kwa kutumia lugha chafu kwa wagonjwa ikiwmo kuwasimamisha kazi. Na Orida Sayon – Kigoma Wahudumu wa vituo vya Afya na…

3 May 2024, 7:28 am

CWT Songwe yawanyima sare walimu siku ya Mei Mosi

Na Denis Sinkonde,Songwe Zaidi ya walimu 5000 wa Chama cha Walimu (CWT) Mkoa wa Songwe wamelalamikia uongozi wa chama hicho taifa kushindwa kuwanunulia sare kwa ajili ya maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) ambayo mkoani Songwe yamefanyika wilayani…

3 May 2024, 00:27

Kikokotoo  bado fumbo kwa watumishi wastaafu

Bango la shirika la Posta katika maandamano ya Mei Mosi – Picha na Isidory Matandula Mishahara duni, miundo mbinu mibovu, mikataba mibovu ya ajira, kuchelewa posho za uhamisho na kikokotoo cha wastaafu ni msalaba unaowaelemea watumishi . Na: Isidory Matandula…

2 May 2024, 19:23

Ujangili unakuingiza kwenye makosa ya jinai-Kipindi

Jamii katika Bonde la Kilombero imetakiwa kufuata sheria zilizowekwa katika kuvuna rasilimali mbalimbali badala ya kufanya ujangili hali ambayo watajikuta wakiangukia kwenye makosa ya jinai. Mhifadhi Pori la Akiba Kilombero Kamanda Bigilamungu Kagoma amesema ili mtu aweze kuvuna rasilimali zinazosimamiwa…