Habari za Jumla
1 Juni 2023, 10:18 mu
Sauti ya Katavi (Matukio)
MPANDA Chama cha ACT Wazalendo kimewataka wananchi wa Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi kufanya mabadiliko ya kiuongozi ifikapo mwaka 2025 ili kuepukana na changamoto mbalimbali za kimaisha ambazo wamekuwa wakikutana nazo. Hayo yamezungumzwa na uongozi wa chama cha ACT katika…
30 Mei 2023, 10:19 mu
Sauti ya Katavi (Matukio)
MPANDA Wafanyabiashara wilaya Mpanda mkoani Katavi wameishutumu Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA mkoa wa Katavi kuwa ni moja ya chanzo cha kufirisika kwa mitaji yao. Wafanyabiashara hao wamebainisha hayo katika kikao kilichoandaliwa na mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza…
27 Mei 2023, 12:03 um
Tembo wachangia maendeleo -Ifakara
Kutokana na wananchi wa Kijiji cha Sole kata ya Mkula Halmashauri ya Mji wa Ifakara kutembea umbali mrefu kufuata huduma za Afya,STEP,imekabidhi hundi ya kiasi cha Shilingi Mil 10 ,kwa ajili ya Ujenzi wa Zahanati ya Kijiji hicho hali itakayosaidia…
26 Mei 2023, 10:57 mu
Sauti ya Katavi (Matukio)
MPANDA Wadau wanaozalisha mazao yatokanayo na mifugo Mkoa wa Katavi, wametakiwa kufuata sheria, ikiwemo kuboresha usafi katika mabucha, na kuepuka matumizi ya magogo na vyuma vyenye kutu ili kulinda afya ya walaji. Afisa Mfawidhi wa Bodi ya Nyama Kanda ya…
25 Mei 2023, 4:37 um
SUMA JKT yazindua mitambo mikubwa ya kuzalisha na kusafirisha zege
Amewaagiza watendaji wa SUMA JKT kuhakikisha wanasimamia mitambo hiyo ili ilete tija iliyokusudiwa katika kuongeza ufanisi wa SUMA JKT. Na Alfred Bulahya. Jeshi la Kujenga Taifa kupitia SUMMA JKT, limezindua rasmi mitambo mikubwa ya kuzalisha na kusafirisha zege yenye thamani…
23 Mei 2023, 8:02 um
Sauti ya Katavi (Matukio)
MPANDA Wananchi wa Manispaa ya Mpanda Mkoani hapa Katavi wameshauriwa kubadilisha mfumo wa maisha katika vyakula wanavyokula ikiwa ni pamoja na kujenga desturi ya kufanya mazoezi ili kujiepusha na magonjwa yasiyo ya kuambukiza Dr Paulo Swakala ambaye ni Mganga Mkuu…
23 Mei 2023, 10:38 mu
Sauti ya Katavi (Matukio)
KATAVI Jeshi la Polisi Mkoani hapa Katavi kwa kushirikiana na Askari wa Hifadhi ya Taifa ya Katavi wamewakamata watu wanne wakiwa na meno ya Tembo vipande 13 yenye thamani ya zaidi ya shilingi Milioni 247. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Katavi…
22 Mei 2023, 12:30 um
Halmashauri Kuu CCM wilaya Maswa yaridhishwa utekelezaji ilani ya cham…
Halmashauri Kuu ya CCM wilaya ya Maswa imeridhishwa na utekelezaji wa ilani ya CCM ya mwaka 2020-2025. Akitoa taarifa kwa wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, mkuu wa wilaya ya Maswa Mhe, Aswege Kaminyoge amesema kuwa katika kutekeleza ilani ya …
20 Mei 2023, 5:29 um
Changamoto ya kukosa huduma ya afya yawaibua wakazi wa mtaa wa Mine-Bunda
Wananchi wa mtaa wa Mine kata ya Kabasa halmashauri ya jji wa Bunda mkoani Mara wameungana pamoja katika shughuli ya maendeleo kwa kujenga zahati ili kuondokana na changamoto ya huduma ya afya katika eneo hilo. Mwenyekiti wa kamati ya ujenzi…
19 Mei 2023, 8:16 um
Sauti ya Katavi (Matukio)
MPANDA Watu wawili wamenusurika kifo mara baada ya kung’atwa na mbwa anayesadikika kuwa na kichaa katika Mtaa wa Maridadi Kata ya Majengo Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi. Waliong’atwa na mbwa katika mtaa wa huo wa Maridadi ni Belta Baltazari mwenye…