Radio Tadio

Elimu

19 October 2023, 18:39

Wazazi na walezi msiwaachie walimu watoto wenu

Hivi karibu kumekuwa masuala ya kikatili ambayo yamekuwa Yakifanywa kwa wanafunzi na walimu wao,kitendo hicho kimekuwa kikwazo na kuondoa iman ya kuwaamini baadhi ya walimu. Na Daniel Simelta Wazazi na Walezi mkoani Songwe, wametakiwa kuimarisha malezi kwa watoto wao na…

19 October 2023, 11:46 am

TCRA: Ni kosa kutumia kitambulisho cha mtu mwingine

Bado kuna wimbi kubwa la wananchi ambao wanaendelea kutumia vitambulisho vya taifa vya watu wengine kusajili laini zao za simu jambo ambalo ni kinyume na sheria za nchi. Na Mrisho Sadick: Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA imetoa onyo kwa watu…

October 18, 2023, 12:46 am

Mchungaji wa kwanza Makete atunukiwa shahada ya juu ya heshima

Chuo Kikuu cha Iringa kimemtunuku Shahada ya Juu ya Heshima Hayati Mchungaji Dkt. Tupevilwe Lugano Sanga. Mchungaji Tupevilwe Lugavano Sanga aliyezaliwa 1898, ni Mchungaji wa mwanzoni kabisa katika jamii ya Wakinga aliyetoa maisha yake kumtumikia Mungu pamoja na kuhamasisha maendeleo…

17 October 2023, 2:26 pm

Wazazi washauriwa kuanzisha ujenzi wa hosteli

Shule ya sekondari Kijuka imeanzishwa mwaka 2012 kwa nguvu ya wananchi na serikali ambapo tangu kuanzishwa imekuwa ikifanya vibaya kitaaluma kutokana na wanafunzi kutembea umbali mrefu na kwa mwaka huu 2023 wamehitimu wanafunzi 42 kati ya wanafunzi 88 walioanza kidato…

17 October 2023, 11:05 am

Wanafunzi Esperanto sekondari sasa kusoma kidijitali

Shule ya sekondari Esperanto kufungiwa mfumo wa intarnet ili kusaidia ufundishaji na ujifunzaji kwa wanafunzi shuleni hapo. Na Avelina Sulus na Taro Michael Shule ya sekondari Esperanto kufungiwa mfumo wa intanet ili kusaidia ufundishaji na ujifunzaji kwa wanafunzi shuleni hapo.Hayo…

14 October 2023, 1:28 pm

Sekondari ya Nyiendo kuwekewa umeme vyumba sita vya madarasa

Eng. Kambarage Wasira kwa kushirikiana na mdau wa maendeleo ndugu Eng.Gasper Mchanga wameahidi kuweka umeme katika madarasa 6 shule ya Sekondari Nyiendo iliyopo Halmashauri ya Mji wa Bunda Mkoani Mara. Na Adelinus Banenwa Mfumo wa umeme utakaogharimu shilingi milioni mbili…