Radio Tadio

Elimu

28 November 2023, 14:55

Maswa: Wazazi waaswa kuwasomesha watoto elimu ya ufundi

Wazazi waaswa kuwasomesha Watoto wao Elimu ya Ufundi ili kukabiliana na obwe la ukosefu wa ajira uliopo Serikalini kwa hivi sasa. Na,Alex Sayi. Mbunge wa Jimbo la Maswa Magharibi Mashimba Ndaki amewaasa wazazi/walezi kuwasomesha watoto wao Elimu ya Ufundi ili…

27 November 2023, 15:54

Jeshi la Polisi Zanzibar kutumia vifaa vya kidijitali

Na Omary Hassan Kamishna wa Polisi Zanzibar CP. Hamad Khamis Hamad amesema Utendaji wa kusimamia Sheria wa Jeshi la Polisi lazima ubadilike kwa kujikita katika matumizi ya taaluma na vifaa vya kisasa ili kukabiliana na mabadiliko ya Sayansi na Teknolojia yanaoendana na mabadiliko…

20 November 2023, 4:10 pm

Michango ya chakula mashuleni kuchochea ufaulu Rungwe

uwepo wa chakula mashuleni kunasaidia kuongeza ufaulu kwa mwanafunzi pia kuna mjengea uwezo wa uwelewa RUNGWE -MBEYA Na Lennox mwamakula Mkuu wa shule ya msingi Mabonde iliyopo wilayani Rungwe mkoani Mbeya  Christine Ndimbo amewaomba wazazi na walezi kujenga utamadudu wa…

17 November 2023, 21:21

Coplo Kinyaga:Mnaweza kuisaidia jamii kuwa salama na majanga

Na Sifael kyonjola Jeshi la zimamoto na uokoaji mkoa wa Mbeya limetoa mafunzo kwa waandishi wa habari jinsi ya kukabiliana na majanga ya moto yanapotokea katika jamii inayowazunguka. Mafunzo hayo yametolewa na afisa habari   zimamoto na uokoaji mkoa wa Mbeya…

17 November 2023, 09:55 am

Wanafunzi Masasi wahimizwa kupambana na vitendo vya ukatili

MASASI. Mwenyekiti wa kampeni ya kupinga vitendo vya ukatili idara ye elimu mkoa wa Mtwara Kristine Simo, ambaye pia ni mwenyekiti wa taasisi isiyo ya kiserikali ya Upendo Charity inayojishughulisha na kusaidia jamii yenye uhitaji iliyopo wilayani Masasi, amewataka wanafunzi…