Elimu
11 Disemba 2023, 4:17 um
Mwangungulu:Wazazi wapelekeni watoto wenye ulemavu shuleni 2024
Wakati dirisha la uandikishwa kwa watoto walio na umri wa kuanza shule kwa darasa la kwanza likifunguliwa jamii wilayani kyela imetakiwa kuwapeleka watoto wao kujiandisha ili kutimiza haki yao ya msingi ya kupata elimu. Na Masoud Maulid Wito umetoletewa kwa…
9 Disemba 2023, 09:34
Kanisa kushirikiana na serikali kutoa elimu ya vyuo,kupunguza uhaba wa ajira kwa…
Na Hobokela Lwinga Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi limesema nia yake ni kuiunga Serikali katika utoaji wa huduma bora hasa katika sekta ya elimu. Hayo yamesemwa na askofu mteule na mwenyekiti wa kanisa la Moravian Tanzania Jimbo…
8 Disemba 2023, 11:16 um
Wanachama TADIO wanufaika na mafunzo ya kusimamia mitandao
Mabadiliko ya teknolojia yanakua kwa kasi hivyo TADIO inalazimika kutoa mafunzo mara kwa mara ili kubabiliana na mabadiliko hayo Na Joel Headman Arusha Muunganiko wa redio jamii Tanzania TADIO umekamilisha mafunzo ya siku mbili kwa wadau wa redio wanachama wa…
8 Disemba 2023, 17:10
Ucsaf yafadhili wanafunzi Wasichana katika Fani ya Sayansi
8 Disemba 2023, 8:43 mu
Tyc yaendeleza mafunzo kwa vijana Kilimanjaro
Vijana ambao ni wanufaika wa mradi wa boresha maisha kwa vijana wakiwa katika mafunzo. Vijana zaidi ya ishirini katika mkoa wa Kilimanjaro wamepatiwa mafunzo na shirika lisilo la serekali lijulikanalo kama Tanzania Youth Coalition linalotekeleza mradi wa boresha maisha kwa…
7 Disemba 2023, 20:59
Nguvu iongezwe katika elimu dhidi ya ukatili kwa watoto
Bado tupo katika siku 16 za kupinga ukatili na leo tutaangazia yafuatayo. Na Mariam Matundu. Ikiwa bado maadhimisho ya siku 16 yanaendelea ,imeshauriwa kuwa nguvu kubwa iongozwe katika kutoa elimu ya ukatili kwa watoto ili kuwajengea uwezo wa kutambua na…
6 Disemba 2023, 12:20
Dodoma watakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya mvua zinazoendelea
Mvua zinazoendelea kunyesha nchini zinatajwa kusababisha madhara mbalimbali ikiwemo vifo vya watu 63 vilivyotokea katika wilaya ya hanag mkoani manyara usiku wa kuamkia jumapili ya nov. 03 mwaka huu. Na Thadei Tesha. Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na kusababisha mafuriko…
4 Disemba 2023, 16:57
Makala: Ushirikiano wa wazazi na walimu katika maendeleo ya mtoto shuleni
Na Mariam Matundu. Mwandishi wetu Mariam Matundu amezungumza na Kamishna wa Elimu Tanzania, Dk. Lyambwene Mutahabwa na hapa anaelezea umuhimu wa ushiriki wa wazazi na walimu katika Maendeleo ya Mtoto.
28 Novemba 2023, 14:55
Maswa: Wazazi waaswa kuwasomesha watoto elimu ya ufundi
Wazazi waaswa kuwasomesha Watoto wao Elimu ya Ufundi ili kukabiliana na obwe la ukosefu wa ajira uliopo Serikalini kwa hivi sasa. Na,Alex Sayi. Mbunge wa Jimbo la Maswa Magharibi Mashimba Ndaki amewaasa wazazi/walezi kuwasomesha watoto wao Elimu ya Ufundi ili…
27 Novemba 2023, 7:24 um
Kamishna msaidizi, mkuu wa hifadhi ya Kitulo kuchangia mifuko 10 ya saruji Veta…
kutokana na jitihada za serikali kuendelea kujenga vyuo vya veta nchini imekuwa ni chachu kwa vijana kunufaika na mafunzo hayo katika kujiinua kiuchumi na shafii Kamishna msaidizi na mkuu wa hifadhi ya kitulo ambaye pia alikuwa mgeni rasmi katika maafali…