Elimu
25 October 2023, 12:18 pm
Wazazi shirikianeni katika malezi ya watoto wenu wapate elimu bora
Kila mmoja akisimama katika nafasi yake itapunguza wanafunzi kuzurura mitaani na kuacha utoro. Na Saa Zumo. Wazazi na walezi wameshauriwa kuwa na ushirikiano katika malezi na makuzi ya watoto ili kuwawezesha kusoma kwa bidii na kufikia malengo yao. Hayo yamejiri…
24 October 2023, 16:47
Sekondari ya Shisyete yakabiliwa na uhaba wa walimu, vifaa
Wakati mapambano ya kuhakikisha wanafunzi wanakuwa na mazingira mazuri hali hiyo si nzuri katika shule ya sekondari Shisyete iliyoko Mbeya Dc nakilio hicho kikitolewa na wanafunzi wa shule. Na josea sinkala Shule ya sekondari Shisyete kata ya Shizuvi wilayani Mbeya…
24 October 2023, 2:48 pm
UWT yawataka wazazi kutoa malezi bora kwa watoto wenye mahitaji maalumu
Shule ya Msingi Sengerema kitengo maalumu ilianzishwa Rasmi mwaka 2003 ambapo mpaka sasa inauwezo wa kuhudumia watoto wenye mahitaji maalumu Zaidi ya 247, na bweni inaweza hudumia watoto 104 , Wazazi wanapaswa kuwapa nafasi watoto hao ya kupata haki yao…
24 October 2023, 4:08 am
Dawati Katavi kusimama na wanafunzi
Dawati la jinsia na watoto Katavi laahidi Kuwalinda wanafunzi ili waweze kutimiza Ndoto Zao. KataviKitengo cha Dawati la jinsia na watoto Mkoani Katavi Kimewahakikishia Kuwalinda wanafunzi Dhidi ya mienendo Mibovu ili waweze kutimiza Ndoto Zao. Akizungumza na wanafunzi wa shule…
23 October 2023, 12:21 pm
Makala: Umuhimu wa vituo vya kulea watoto mchana (Day care centers)
Na Mwanahamisi Chikambu, Gregory Milanzi Usipoziba ufa utajenga ukuta, katika makala haya tunaangazia vituo vya kuelelea watoto maarufu kama day care ambapo watoto hujifunza, kula na kucheza pamoja huku wakijengwa katika masuala mbalimbali ya kielimu kulingana na umri wao. Hapa…
23 October 2023, 12:11 pm
Ukimwozesha binti kabla ya matokeo ya kidato cha nne kukiona cha moto
Kumekuwa na tabia kwa baadhi ya wazazi kuwaozesha watoto wao baada tu ya kuhitimu masomo yao ya Sekondari bila kujari matokeo yatakuwa je, na wengine kuwapeleka mjini kufanya kazi za ndani jambo linalozorotesha ndoto za kielimu kwa mtoto wa kike.…
21 October 2023, 6:47 pm
Wanahabari watakiwa kuripoti vitendo vya ukatili dhidi ya watoto
Wito umetolewa kwa waandishi habari kuripoti taarifa dhidi ya vitendo vya ukatili dhidi ya watoto na wanawake katika jamii. Na Fadhil Mramba Wito umetolewa kwa waandishi habari kuripoti taarifa dhidi ya vitendo vya ukatili dhidi ya watoto na wanawake katika…
20 October 2023, 10:36 pm
Kambarage awapiga jeki sekondari ya Sizaki
Kiasi Cha shilingi milioni 2 zimetolewa na Eng Kambarage Wasira Kwa ajili ya ukamilishaji wa choo shule ya Sekondari Sizaki. Na Adelinus Banenwa Kiasi cha shilingi milioni 2 zimetolewa na Injinia Kambarage Wasira kwa ajili ya ukamilishaji wa choo shule…
19 October 2023, 9:17 pm
Mabotto kuwasomesha wanafunzi watakaofaulu kwa daraja la kwanza
Mbunge Robert Maboto ameahidi kuwafadhili vifaa vya shule wakati wa kujiunga na kidato cha Tano wanafunzi wote shule ya Sekondari Wariku na Dr. Nchimbi watakaopata daraja la kwanza katika matokeo ya kidato cha nne kwenye mtihani wa taifa unaotarajiwa kifanyika…
19 October 2023, 8:42 pm
Kulwa Kahabi : Nitatoa milioni 17 ujenzi jiko la kupikia
Zaidi ya shilingi milioni kumi na saba zimeahidiwa kutolewa na mdau wa maendeleo ambae pia ni mjumbe wa mkutano mkuu wa ccm taifa Kulwa Kahabi ili kusaidia ujenzi wa jiko la kupikia chakula cha wanafunzi katika shule ya sekondari Sazira…