Radio Tadio

Afya

29 September 2023, 14:17

Madaktari 24 kuweka kambi mkoani Kigoma

Wananchi zaidi ya 3000 mkoani Kigoma wanatarajiwa kupatiwa matibabu kutoka kwa madaktari bingwa wanaotarajia kuweka kambi hospitalini hapo. Na Josephine Kiravu Zaidi ya Madaktari bingwa 12 wanatarajia kuweka kambi Mkoani kigoma kwa muda wa siku tano kwa lengo la kutoa…

27 September 2023, 4:57 pm

Akinamama watakiwa kuzingatia muda wa kunyonyesha watoto

Wataalamu wa Afya hushauri mtoto kunyonyeshwa maziwa ya mama kwa muda stahiki hasa kwa miezi sita ili kuijenga afya ya mtoto pamoja na kumpatia baadhi ya vyakula kwa ajili ya afya bora kwa mtoto. Na Naima Chokela.           Ni muhimu…

25 September 2023, 17:52

Wananchi waishio mpakani waomba elimu zaidi chanjo ya polio

Baadhi ya wananchi waishio mipakani mwa Tanzania na Malawi wameiomba serikali kuendelea kutoa elimu ya chanjo ya polio kwani baadhi yao wameshindwa kuwapeleka watoto wao kupata chanjo hiyo. Na Samwel Mpogole Wananchi waishio mpakani mwa Tanzania na Malawi wameiomba serikali…

21 September 2023, 4:40 pm

Zaidi ya watoto elfu 86 kupata chanjo ya polio Rungwe

Halmashauri ya wilaya ya Rungwe inatarajia kuwafikia watoto zaidi ya elfu themanini na sita na kuwapatia chanjo ya polio ambayo imezinduliwa rasmi hii leo katika mikoa sita yenye hatari ya kupata ugonjwa huo hapa nchini. Na Sabina martin – RungweJamii…

21 September 2023, 4:38 pm

Wajawazito watakiwa kufanya maandalizi mapema

Wataalamu wa Afya wanashauri kuwa mama mjamzito anatakiwa kuwa na maandalizi kabla ya kujifungua kwani kuna umuhimu wa kufanya hivyo ili kuepukana na madhara mbalimbali yanayoweza kutokea. Na Naima Chokela.          Ushauri Umetolewa kwa Wajawazito  kuhakikisha wanafanya maandalizi kabla ya kujifungua…