Radio Tadio

Afya

3 Oktoba 2023, 19:09

Umuhimu wa kutunza macho yako ukiwa kazini

Katika maisha yetu ya kila siku tunashauriwa kutunza macho yetu kwa kupunguza matumizi ya simu pamoja na komputa hasa ukiwa kazini. Na Mpoki Japheth Wananchi mkoani Mbeya wameshauriwa kutunza macho yao ili kuepukana na changamoto ya tatizo la uoni hafifu.…

Oktoba 2, 2023, 8:53 mu

Serikali yatoa fedha ukarabati wa hospitali ya wilaya Makete

Kupitia uchakavu wa Hospitali ya wilaya ya Makete serikali umetoa fedha zaidi ya shilingi milioni miatisa (900) kukarabati miundombinu ikiwemo Majengo Majengo makubwa matano (5) yamejengwa Hospitali ya Wilaya ya Makete kwa fedha za Serikali zaidi ya shilingi Milioni 900…

1 Oktoba 2023, 6:26 um

Uelewa mdogo juu ya kansa ya matiti kwa wananchi Katavi

Wananchi mkoani Katavi wametakiwa kuelewa sababu zinazo sababisha   tatizo la kansa ya matiti Katavi Wananchi mkoani Katavi wametakiwa kuelewa sababu zinazosababisha tatizo la kansa ya matiti kwa wanawake ili kupata ufumbuzi wa haraka kipindi dalili zinapojitokeza. Mganga Mkuu manispaa ya…

29 Septemba 2023, 14:17

Madaktari 24 kuweka kambi mkoani Kigoma

Wananchi zaidi ya 3000 mkoani Kigoma wanatarajiwa kupatiwa matibabu kutoka kwa madaktari bingwa wanaotarajia kuweka kambi hospitalini hapo. Na Josephine Kiravu Zaidi ya Madaktari bingwa 12 wanatarajia kuweka kambi Mkoani kigoma kwa muda wa siku tano kwa lengo la kutoa…

27 Septemba 2023, 4:57 um

Akinamama watakiwa kuzingatia muda wa kunyonyesha watoto

Wataalamu wa Afya hushauri mtoto kunyonyeshwa maziwa ya mama kwa muda stahiki hasa kwa miezi sita ili kuijenga afya ya mtoto pamoja na kumpatia baadhi ya vyakula kwa ajili ya afya bora kwa mtoto. Na Naima Chokela.           Ni muhimu…

25 Septemba 2023, 17:52

Wananchi waishio mpakani waomba elimu zaidi chanjo ya polio

Baadhi ya wananchi waishio mipakani mwa Tanzania na Malawi wameiomba serikali kuendelea kutoa elimu ya chanjo ya polio kwani baadhi yao wameshindwa kuwapeleka watoto wao kupata chanjo hiyo. Na Samwel Mpogole Wananchi waishio mpakani mwa Tanzania na Malawi wameiomba serikali…