Afya
3 Oktoba 2023, 19:09
Umuhimu wa kutunza macho yako ukiwa kazini
Katika maisha yetu ya kila siku tunashauriwa kutunza macho yetu kwa kupunguza matumizi ya simu pamoja na komputa hasa ukiwa kazini. Na Mpoki Japheth Wananchi mkoani Mbeya wameshauriwa kutunza macho yao ili kuepukana na changamoto ya tatizo la uoni hafifu.…
Oktoba 2, 2023, 8:53 mu
Serikali yatoa fedha ukarabati wa hospitali ya wilaya Makete
Kupitia uchakavu wa Hospitali ya wilaya ya Makete serikali umetoa fedha zaidi ya shilingi milioni miatisa (900) kukarabati miundombinu ikiwemo Majengo Majengo makubwa matano (5) yamejengwa Hospitali ya Wilaya ya Makete kwa fedha za Serikali zaidi ya shilingi Milioni 900…
1 Oktoba 2023, 6:26 um
Uelewa mdogo juu ya kansa ya matiti kwa wananchi Katavi
Wananchi mkoani Katavi wametakiwa kuelewa sababu zinazo sababisha tatizo la kansa ya matiti Katavi Wananchi mkoani Katavi wametakiwa kuelewa sababu zinazosababisha tatizo la kansa ya matiti kwa wanawake ili kupata ufumbuzi wa haraka kipindi dalili zinapojitokeza. Mganga Mkuu manispaa ya…
30 Septemba 2023, 9:03 um
TMDA yaendelea kuelimisha wananchi matumizi sahihi ya dawa na vifaa tiba
Matumizi mabaya ya dawa na vifaa tiba bado imeonekana ni changamoto kwa baadhi ya maeneo kanda ya ziwa, hili limesababisha TMDA kuendelea kutoa elimu kwa wananchi juu ya matumizi sahihi ya dawa. Na Zubeda Handrish- Geita Meneja wa Mamlaka ya…
29 Septemba 2023, 14:17
Madaktari 24 kuweka kambi mkoani Kigoma
Wananchi zaidi ya 3000 mkoani Kigoma wanatarajiwa kupatiwa matibabu kutoka kwa madaktari bingwa wanaotarajia kuweka kambi hospitalini hapo. Na Josephine Kiravu Zaidi ya Madaktari bingwa 12 wanatarajia kuweka kambi Mkoani kigoma kwa muda wa siku tano kwa lengo la kutoa…
27 Septemba 2023, 4:57 um
Akinamama watakiwa kuzingatia muda wa kunyonyesha watoto
Wataalamu wa Afya hushauri mtoto kunyonyeshwa maziwa ya mama kwa muda stahiki hasa kwa miezi sita ili kuijenga afya ya mtoto pamoja na kumpatia baadhi ya vyakula kwa ajili ya afya bora kwa mtoto. Na Naima Chokela. Ni muhimu…
27 Septemba 2023, 12:20
Halmashauri ya Kasulu mji yafikia lengo la utoaji wa chanjo ya polio
Halmashauri ya mji Kasulu mkoani kigoma imefanikiwa kuvuka lengo kwa asilimia 128 katika utoaji wa chanjo ya polio ya matone kwa watoto wenye umri chini ya miaka 8 iliyoendeshwa kwa muda wa siku nne. Hayo yamebainishwa na Mratibu wa Chanjo halmashauri hiyo Itumbi…
25 Septemba 2023, 17:52
Wananchi waishio mpakani waomba elimu zaidi chanjo ya polio
Baadhi ya wananchi waishio mipakani mwa Tanzania na Malawi wameiomba serikali kuendelea kutoa elimu ya chanjo ya polio kwani baadhi yao wameshindwa kuwapeleka watoto wao kupata chanjo hiyo. Na Samwel Mpogole Wananchi waishio mpakani mwa Tanzania na Malawi wameiomba serikali…
25 Septemba 2023, 8:42 mu
Hospitali ya rufaa ya kanda Chato yarahisisha huduma kupitia maonesho ya 6 Geita
Ukaribu wa huduma ya afya kwa wananchi unarahisisha mwamko wa wananchi katika kuchunguza afya zao na kupatiwa matibabu kwa wakati, hilo limesababisha Hospitali ya Rufaa ya Kanda Chato kushiriki maonesho ya 6 ya kimataifa ya teknolojia ya madini. Na Zubeda…
22 Septemba 2023, 2:26 um
Kiwandani wajifungulia nyumbani, ukosefu huduma ya maji kituo cha afya watajwa
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kupitia Wizara ya Afya katika kuboresha huduma ya mama na mtoto miongoni mwao ni kuweka vituo vya afya lakini bado ni ndoto kwa wakaazi wa Wesha Kiwandani kwani kituo hicho hakina huduma ya maji jambo linalopelekea…