Radio Tadio

Afya

21 November 2023, 10:34 pm

Mbunge Kakoso awakataa madereva walevi

Mbunge Kakoso ameshauri halmashauri hiyo kufanya marekebisho ya magari yaliyoharibika ili yaweze kuendelea kutoa huduma. Na Anna Milanzi -Katavi Mbunge wa jimbo la Mpanda Vijijini mkoani Katavi amekabidhi gari mpya ya wagonjwa  kwa halmashauri ya wilaya ya Tanganyika huku akisisitiza…

18 November 2023, 3:38 pm

Magonjwa yasiyo ya kuambukiza tishio wilayani Geita

Magonjwa yasiyo ya kuambukiza yameendelea kuwa tatizo miongoni mwa wakazi wa Mkoa wa Geita huku mtindo wa maisha ukitajwa kuwa sababu. Na Mrisho Sadick – Geita Idadi ya wagonjwa wanaosumbuliwa na Magonjwa yasiyo ya kuambukiza ikiwemo  kisukari katika kituo cha…