Radio Tadio

Afya

15 November 2023, 17:29

Mashamba ya shule yatumike kuimarisha lishe kwa wanafunzi

Na mwandishi wetu Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Momba, Bi. Regina Bieda amewaagiza wakuu wa shule na waalimu wakuu kuhakikisha wanatumia vizuri ardhi ya shule kwa kulima mazao mbalimbali ya kuimarisha lishe bora kwa wanafunzi. Bi. Regina Bieda…

14 November 2023, 16:12

Mradi wa USAIDS Kizazi Hodari wawafikia watoto 9000 Iringa na Njombe.

Na Denis Nyali Jumla Ya Watoto 9000  Walioambukizwa Virusi Vya Ukimwi Wamefikiwa Na Mradi Wa USAIDS Kizazi Hodari Unaotelelezwa Kwa Mkoa Wa Iringa Na Njombe Na Kuwaunganisha Na Vikundi Mbalimbali Katika Kuwawezesha Kupata Kiuchumi. Akizungumza  Na Nuru Fm Mkurugenzi Wa Mradi Huo Doroth…

12 November 2023, 11:16

Wanafunzi Tumbatu washauriwa kuchunguuza afya zao.

Picha ya wanafunzi wa skuli ya sekondari Tumbatu. Na Vuai Juma. Na Vuai Juma Wanafunzi Kisiwani Tumbatu wameshauriwa kuwa na tabia ya kuchunguuza afya zao mara kwa mara ili kuweza kufahamu mwenendo wao wa kiafya. Ushauri huo umetolewa na Daktari…