Afya
31 October 2023, 15:37
Vyoo vyatajwa kuwa sababu ya chanzo cha polio
Mgonjwa mmoja wa polio kwa mjibu wa wataalumu wa afya anapobainika kupata maambukizi anatajwa kuweza kuambukiza watu Zaidi ya 200 kwa wakati mmoja. Na Hobokela Lwinga Serikali inatarajia kutoa chanjo ya awamu ya pili ya polio katika mikoa sita ya…
30 October 2023, 9:33 am
Rungwe yazindua programu jumuishi kupuguza tatizo la afya ya akili
Matatizo mengi ya afya ya akili ni matokeo ya kutozingatia malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto katika hatua zake za ukuaji kwa kipindi cha kuanzia mwaka 0-8. Na Sabina Martin – Rungwe Utekelezaji madhubuti wa programu jumuishi ya…
29 October 2023, 16:03
Jamii Tanga yaaswa kuzingatia lishe, kujenga afya bora
“kuanzia miaka 10 hadi 19 ni umri wenye tabia za ulaji wa vyakula vyenye mafuta,sukari na chumvi na kutokula mboga mboga na matunda” Halmashauri ya Wilaya ya Pangani mkoani Tanga imeadhimisha siku ya lishe katika ofisi ya kata ya Pangani…
29 October 2023, 2:03 pm
Taasisi ya mtetezi wa mama yawataka wajawazito kuacha kukimbilia kwa waganga wa…
Imani potofu kwa wanawake wajawazito katika maeneo mengi ya vijijini wilayani Geita imetajwa kuwa sababu ya vifo vya mama na mtoto. Na Mrisho Sadick: Baadhi ya wanawake wajawazito katika Kata ya Nzera wilayani Geita wametakiwa kuachana na Imani potofu za…
27 October 2023, 7:29 pm
Usafiri wa haraka kikwazo kwa mama na mtoto kupata humduma za afya Pemba
Huduma za mama na mtoto bado ni changamoto kwa baaddi ya vijiji kisiwani Pemba kwa kukosa usafiri wa haraka wanapohitaji kuelekea kituo cha afya kwa ajili ya kupata huduma za afya. Na Khadija Ali WAUGUZI wanaotoa huduma za Mama na…
26 October 2023, 10:21 am
Utafiti maskulini wagundua lishe za wanafunzi ziko chini masheha wapewa kazi…
Wizara ya elimu na mafunzo ya amali Zanzibar kwa kushirikiana na wizara ya afya watatoa virutubisho vya lishe kwa wanafunzi kwa lengo la kuimarisha afya zao. Na Amina Masoud Masheha kisiwani Pemba wametakiwa kutoa mashirikiano katika kampeni ya utoaji wa…
25 October 2023, 6:54 pm
Taka zazua taharuki kwa wakazi wa Mission Sengerema
Kwa muda mrefu sasa Halmashauri ya Sengerema imekuwa ikikabiliwa na changamoto la murundikano wa taka kwenye vizimba vya taka vilivyopo maeneo mbalimbali mjini, jambo hili limepelekea baadhi ya wafanya usafi kuzoa kwenye vizimba na kwenda kuzitelekeza kwenye makazi ya waatu…
25 October 2023, 16:07
Sababu ya kutoa chanjo ya polio watoto chini ya miaka 8 yabainishwa
Zaidi ya watoto Laki tatu na elfu hamsini wenye umri chini ya miaka 8 Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma wanatarajiwa kupatiwa chanjo ya polio awamu ya pili ili kuwakinga na ugonjwa wa polio. Na, Hagai Ruyagila Hayo yamebainishwa na katibu…
25 October 2023, 10:06 am
Rungwe yakabiliwa na udumavu kwa asilimia 26.5
Ulaji wa chakula usiozingatia lishe bora umetajwa kuwa sababu inayochangia udumavu kwa watoto wengi wilayani Rungwe. Na Lennox Mwamakula, Rungwe Imeelezwa kuwa halmashauri ya wilaya ya Rungwe inakabiliwa na kiwango cha udumavu kwa asilimia 26.5 huku sababu ikitajwa kuwa ni…
25 October 2023, 09:11
Zaidi ya 100% ya watoto wapata chanjo ya polio Kigoma
Serikali kupitia idara ya afya Mkoa wa Kigoma imesema imefanikiwa kutoa chanjo ya polio kwa zaidi ya asiliamia 100 kwa watoto. Na, Josephine Kiravu Zaidi ya asilimia 100 ya watoto walio chini ya miaka minane wamepata chanjo ya polio katika…