Afya
18/12/2023, 21:43
Magonjwa yasiyoambukiza huchangia asilimia 33 ya vifo nchini-WHO
Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo wananchi huathirika zaidi na magonjwa yasiyoambukiza. Na Fred Cheti. Kwa mujibu wa takwimu kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO) zinaeleza kuwa magonjwa yasiyoambukiza yanachangia takribani asilimia 33 ya vifo vyote nchini huku takwimu hizo…
16 Disemba 2023, 16:26
‘Jizingatie’ kuwanusuru vijana na maambukizi ya Ukimwi
Na Prince Fungo Mwandishi wa Habari Highlands Fm radio Tanzania inaweza kufikia lengo la kuondokana na maambukizi mapya ya virusi vya ukimwi ifikapo mwaka 2030 ikiwa wananchi watatambua umuhimu wa kupima afya zao. Pia wamesisitizwa ili kufikia lengo hilo la…
16/12/2023, 11:40
Mwalusangani awalilia wadau kukamilisha ujenzi zahanati ya Nkuyu
Wadau wa maendeleo wilayani Kyela wameombwa kusaidia ujenzi wa zahanati ya Nkuyu iliyokwama kumalizika kutokana na ufinyu wa bajeti. Na James Mwakyembe Baada ujenzi wa zahanati ya Nkuyu kukwama kumalizika kwa wakati uliopangwa diwani wa kata ya Nkuyu Hezron Mwalusangani…
16 Disemba 2023, 12:15 mu
Wananchi watoa maoni mseto kwa wavaa miwani bila kupima
Wananchi mkoani Katavi watoa maoni juu ya madhara ya kuvaa miwani bila kuzingatia ushauri wa madktari wa macho. Na Lilian Vincent – Katavi Wananchi Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametoa maoni juu ya madhara yanayoweza kumpata mtu anaevaa miwani bila…
15 Disemba 2023, 9:45 um
Wananchi Siha wahimizwa kujitokeza kupata huduma za kibingwa
Wananchi wilayani Siha Mkoani Kilimanjaro wahimizwa kujitokeza kwa wingi kupata huduma za kibingwa na matibabu ya ugonjwa wa moyo . Na Elizabeth Mafie Mganga mfawidhi wa hospitali ya wilaya ya Siha Dkt Nsubili Mwakapeje amewataka wananchi na wakaazi wa wilaya…
14 Disemba 2023, 6:04 um
Ukosefu wa eneo maalum la kuchomea taka baadhi ya vituo vya afya kuathiri wana…
Vituo vya afya viingi kisiwani Pemba havina maeneo maalumu ya kuchomea taka ambazp zinatokana baada ya m,abaki wanayotumia baada ya kutoa huduma kwa wagonjwa na wananchi kuwa na ghofu kupata maradhi wanaishi karibu na vituo hivyo. Na Khadija Ali SERA…
12 Disemba 2023, 16:59
Mahundi achangia tani mbili za saruji zahanati ya Tiringati
Mhe Naibu waziri wa maji Maryprisca Mahundi amechangia tani mbili za saruji katika zahanati ya Kijiji Cha Tiring’ati. Na Adelinus Banenwa Mhe Naibu Waziri wa Maji Maryprisca Mahundi amechangia tani mbili za saruji katika zahanati ya kijiji cha Tiring’ati ikiwa…
9 Disemba 2023, 5:07 um
Wanawake wilayani wakomesha ukatili
kufuatia na kuwepo kwa vitendo vya ukatili kwenye jamii wanawake wanatakiwa kuwa mstari wa mbele kuripoti kwenye vyombo vya sheria. RUNGWE-MBEYA Na Lethicia Shimbi Ikiwa bado ni Mwendelezo wa kampeni za kupinga ukatili wa kinjinsia Duniani Wanawake Wilayani Rungwe Mkoani…
8 Disemba 2023, 4:40 um
Jamii wahimizwa kujitokeza kuchanjwa chanjo ya UVIKO-19
Jamii wametakiwa kujitokeza kuchanjwa chanjo ya UVIKO19 ili kukabiliana na Maambukizi ya Ugonjwa wa Virusi vya Korona. Na Baraka David Ole Maika Wito huo umetolewa na Mratibu wa Chanjo Wilaya ya Simanjiro Bw Hassan Bakari Keya alipofanya mahojiano na Orkonerei…
8 Disemba 2023, 11:42 mu
Makala: Kwanini hospitali ya jiji la Arusha haijakamilika?
Kwa mujibu wa ripoti ya ukaguzi wa ofisi ya Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali CAG jengo hilo lilitengewa shilingi Bilioni 3.9 Na Joel Headman Msikilizaji ukisoma muundo wa Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa wa wa…