Recent posts
April 23, 2024, 4:25 pm
Wasichana 10114 wenye umri chini ya miaka 14 kupatiwa chanjo ya HPV
Wasichana 10114 wenye umri chini ya miaka 14 wilayani Ileje Mkoani Songwe wanatarajia kupatiwa chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi(HPV). Katika uzinduzi huo ambao umefanyika leo April 23,2024 katika shule ya sekondari Ileje na Mkuu wa wilaya hiyo Farida…
March 18, 2024, 4:33 pm
Viongozi wa dini hamasisheni waumini wajenge mwabweni ya shule
Denis Sinkonde, Songwe Ili kukabiliana na mimba kwa wanafunzi wilayani Ileje mkoani Songwe viongozi wa dini wametakiwa kuwahamasisha waumini wao kujitolea kujenga mabweni kwenye shule za sekondari ili kuwaondolea adha wanafunzi wa kike kufuata masomo umbali mrefu. Hayo yamesemwa jana…
November 9, 2023, 6:33 am
Wananchi Ileje waiangukia serikali ukamilishaji wa zahanati
Na Denis Sinkonde, Ileje Wananchi wa kijiji cha Mbembati kata ya Lubanda wilaya ya Ileje mkoani Songwe wamejenga zahanati ya Kijijini hapo kwa nguvu zao Ili kupunguza adha ya kusafiri umbali wa km 8 kufuata huduma katika kituo cha afya…
November 3, 2023, 9:19 am
DC Ileje aagiza wananchi waelimishwe matumizi sahihi ya vyandarua
Na Denis Sinkonde, Ileje Wataalam wa afya na viongozi wa serikali wilaya ya Ileje mkoa wa Songwe wameagizwa kutoa elimu kwa wananchi juu ya matumizi sahihi ya vyandarua vyenye dawa ili wajiepushe kutumia kutengenezea bustani za mbogamboga na kuvulia samaki.…
October 22, 2023, 7:40 am
Wananchi Ileje wajitolea kujenga nyumba ya mtoa huduma wa afya
Na Denis Sinkonde, Ileje Wananchi wa kijiji cha Izuba kata ya Isongole wilaya ya Ileje mkoa wa Songwe wanatarajia kumaliza ujenzi wa vyumba ya wahudumu wa zahanati ya Izuba ili kuwaondolea adha wahudumu wa zahanati hiyo kuishi mbali. Hayo yamebainishwa…
October 11, 2023, 4:55 pm
Viongozi wasiotatua changamoto za wananchi wajitathimini-DC Ileje
Na Denis Sinkonde, Songwe Viongozi wa kata na vijiji wilayani Ileje mkoa wa Songwe wametakiwa kutofanya kazi kwa mazoea pasipo kuwashirikisha wananchi kupanga vipaumbele vya miradi ya maendeleo kwenye vijiji. Hayo yamebainishwa Oktoba 10, mwaka huu na mkuu wa wilaya…
October 11, 2023, 4:24 pm
Dc Ileje awapiga marufuku vijana kufanya mapenzi na wazee wao
Na Denis Sinkonde, Songwe Mkuu wa wilaya ya Ileje mkoa wa Songwe Farida Mgomi amewapiga marufuku wanawake watu wazima kujihusisha na mapenzi na vijana wa kiume wenye umri mdogo. Mgomi amesema hayo wakati wa mkutano wa kijiji Oktoba 10 mwaka…
October 7, 2023, 7:37 am
Dc Ileje awapongeza wananchi wa Itale kulinda Misitu
Na Denis Sinkonde, Ileje Mkuu wa Wilaya ya Ileje Mkoa wa Songwe Farida Mgomi amewapongeza wananchi wa Kijiji cha Itale Kata ya Itale wilayani humo Kwa kufuata sheria na kanuni za kulinda utunzaji wa mazingira hususani Msitu wa Itale na…
October 4, 2023, 7:15 am
Mliovamia hifadhi hekta 600 za hifadhi ondokeni haraka Dc Ileje
Na, Denis Sinkonde, Ileje Wananchi vijiji vya Ndapwa kata Ngulilo wilaya ya Ileje mkoa wa Songwe na Kijiji Cha Kiobo wilaya ya Rungwe mkoa wa Mbeya wametakiwa kuondoka na kuacha na uvamizi kwenye hifadhi ya msitu Kihosa uliopo Kijiji Cha…
October 3, 2023, 6:01 am
DC Ileje aagiza machifu wapewe ushirikiano
Na Denis Sinkonde Mkuu wa wilaya ya Ileje mkoani Songwe Mhe.Farida Mgomi amewaagiza viongozi wa serikali wilayani humo kutoa ushirikiano na machifu kukemea matukio ya uvunjifu wa amani na uharibifu wa mazingira. Mgomi amesema hayo Oktoba 2,2023 ikiwa ni siku…