Offline
Play internet radio

Recent posts

April 23, 2024, 4:25 pm

Wasichana 10114 wenye umri chini ya miaka 14 kupatiwa chanjo ya HPV

Wasichana 10114 wenye umri chini ya miaka 14 wilayani Ileje Mkoani Songwe wanatarajia kupatiwa chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi(HPV). Katika uzinduzi huo ambao umefanyika leo April 23,2024 katika shule ya sekondari Ileje na Mkuu wa wilaya hiyo Farida…

March 18, 2024, 4:33 pm

Viongozi wa dini hamasisheni waumini wajenge mwabweni ya shule

Denis Sinkonde, Songwe Ili kukabiliana na mimba kwa wanafunzi wilayani Ileje mkoani Songwe viongozi wa dini wametakiwa kuwahamasisha waumini wao kujitolea kujenga mabweni kwenye shule za sekondari ili kuwaondolea adha wanafunzi wa kike kufuata masomo umbali mrefu. Hayo yamesemwa jana…

November 9, 2023, 6:33 am

Wananchi Ileje waiangukia serikali ukamilishaji wa zahanati

Na Denis Sinkonde, Ileje Wananchi wa kijiji cha Mbembati kata ya Lubanda wilaya ya Ileje mkoani Songwe wamejenga zahanati ya Kijijini hapo kwa nguvu zao Ili kupunguza adha ya kusafiri umbali wa km 8 kufuata huduma katika kituo cha afya…

November 3, 2023, 9:19 am

DC Ileje aagiza wananchi waelimishwe matumizi sahihi ya vyandarua

Na Denis Sinkonde, Ileje Wataalam wa afya na viongozi wa serikali wilaya ya Ileje mkoa wa Songwe wameagizwa  kutoa elimu kwa wananchi juu  ya matumizi sahihi ya vyandarua vyenye dawa ili wajiepushe kutumia kutengenezea bustani za mbogamboga na kuvulia samaki.…

October 22, 2023, 7:40 am

Wananchi Ileje wajitolea kujenga nyumba ya mtoa huduma wa afya

Na Denis Sinkonde, Ileje Wananchi wa kijiji cha Izuba kata ya Isongole wilaya ya Ileje mkoa wa Songwe wanatarajia kumaliza ujenzi wa vyumba ya wahudumu wa zahanati ya Izuba ili kuwaondolea adha wahudumu wa zahanati hiyo kuishi mbali. Hayo yamebainishwa…

October 11, 2023, 4:55 pm

Viongozi wasiotatua changamoto za wananchi wajitathimini-DC Ileje

Na Denis Sinkonde, Songwe Viongozi wa kata na vijiji wilayani Ileje mkoa wa Songwe wametakiwa kutofanya kazi kwa mazoea pasipo kuwashirikisha wananchi  kupanga vipaumbele vya miradi ya maendeleo kwenye vijiji. Hayo yamebainishwa Oktoba 10, mwaka huu na mkuu wa wilaya…

October 11, 2023, 4:24 pm

Dc Ileje awapiga marufuku vijana kufanya mapenzi na wazee wao

Na Denis Sinkonde, Songwe Mkuu wa wilaya ya Ileje mkoa wa Songwe Farida Mgomi amewapiga marufuku wanawake watu wazima kujihusisha na mapenzi na vijana wa kiume wenye umri mdogo. Mgomi amesema hayo wakati wa mkutano wa kijiji Oktoba 10 mwaka…

October 7, 2023, 7:37 am

Dc Ileje awapongeza wananchi wa Itale kulinda Misitu

Na Denis Sinkonde, Ileje Mkuu wa Wilaya ya Ileje Mkoa wa Songwe Farida Mgomi amewapongeza wananchi wa Kijiji cha Itale Kata ya Itale wilayani humo Kwa kufuata sheria na kanuni za kulinda utunzaji wa mazingira hususani Msitu wa Itale na…

October 4, 2023, 7:15 am

Mliovamia hifadhi hekta 600 za hifadhi ondokeni haraka Dc Ileje

Na, Denis Sinkonde, Ileje Wananchi vijiji vya Ndapwa kata Ngulilo wilaya ya Ileje mkoa wa Songwe na Kijiji Cha Kiobo wilaya ya Rungwe mkoa wa Mbeya wametakiwa kuondoka na kuacha na uvamizi kwenye hifadhi ya  msitu Kihosa uliopo Kijiji Cha…

October 3, 2023, 6:01 am

DC Ileje aagiza machifu wapewe ushirikiano

Na Denis Sinkonde Mkuu wa wilaya ya Ileje mkoani Songwe Mhe.Farida Mgomi amewaagiza viongozi wa serikali wilayani humo kutoa ushirikiano na machifu kukemea matukio ya uvunjifu wa amani na uharibifu wa mazingira. Mgomi amesema hayo Oktoba 2,2023 ikiwa ni siku…

Ileje FM Radio Profile

“ILEJE FM” is a community radio, variety hits radio station transmitting from ITUMBA ILEJE, SONGWE. The radio is programmed with community, well-researched information, ethical advertisements, and promotions. The station employs competent individuals who are creative and professionally dedicated to satisfying our listeners’ and advertisers’ needs in the community.

The radio is owned by ILEJE DISTRICT, registered under the Tanzania Act of Companies on 31st October 2002 with certificate of incorporation No.112581 of 31st October 2002.

The main purpose for the establishment of ILEJE FM was to air to the community the important events, occurring in the country and outside of it, as well as, education, customs, tradition, science, health, agriculture, road traffic, household knowledge, and entertainment through to traditional and modern songs, opera, drama, music among others. This satisfies the need for information sharing and talent development.

 Location

ILEJE FM is located in the Songwe region, Ileje District though its broadcasting covers areas of neighbouringregions.Rukwa, Mbeya, Ruvuma, Njombe, and some parts of Northern regions of Zambia and Malawi. The maximum of listeners is 5,000,00.

Vision 

The Vision of ILEJE FM is to build community, a loyal and growing audience, and an engaged and educated citizenry by providing the highest quality of free-form programming that broadcasts entertainment, music, news, thoughts, sounds, ideas, and event listings that support free speech, diversity, and the interests of the local and global communities.

The ongoing ripple effect of sustaining ILEJE FM COMMUNITY RADIO is to expand a dedicated listener base who embrace and support ILEJE FM COMMUNITY RADIO because they feel their lives are enriched and improved, their communities strengthened, and the world is a better place.

Values

         Inclusion: We believe that the fabric of our community is stronger when all of its members have the opportunity to express their diverse interests, concerns, and points of view.

         Empowerment: We believe in providing educational opportunities that enable community members to build new skills and gain valuable experience. We promote an exchange of ideas that enriches people’s lives.

         Mutual Support: We believe in fostering connections among the people of Songwe region in order to strengthen appreciation for the community and support among neighbors. Communication and local self-sufficiency during an emergency are important in a small, remote community.

         Independence: We believe it is important that communities take responsibility for understanding the issues that affect them. Locally controlled media have the ability to provide viewpoints and information unavailable elsewhere.