May 30, 2024, 11:46 am

Wananchi 4700 Iseche kunufaika na mradi wa maji safi

Na Denis Sinkonde,Songwe Wananchi wa kijiji cha Iseche kilichopo Wilayani Songwe Mkoani Songwe wameondokana na adha ya kutumia maji yasiyo safi na salama ambayo awali walikuwa wanayapata kutoka mto songwe na kusababisha kupata magonjwa ya tumbo kutokana na matumizi ya…

On air
Play internet radio

Recent posts

November 27, 2025, 6:22 pm

Diwani CCM afariki kwa kunywa maji ya betri

kwa mujibu wa mkuu wa wilaya ya Mbozi Hamad Mbega inadaiwa diwani huyo alifanya maamuzi ya kunywa maji ya betri kutokana na msongo wa mawazo. Na Denis Sinkonde,Mbozi Aliyekuwa diwani  mteule wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Shiwinga, Wilaya…

November 19, 2025, 12:40 pm

Takukuru yapiga stop wenyeviti vijiji, vitongoji kumiliki mihuri

Na Denis Sinkonde,Songwe Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Wilaya ya Songwe imewataka Wenyeviti wa Vitongoji na Vijiji kuacha mara moja tabia ya kumiliki mihuri ya Serikali, ikisema kuwa hatua hiyo ni kinyume cha sheria na imekuwa ikichochea…

November 19, 2025, 12:26 pm

Ileje wajipanga kukabiliana na udumavu

Na Denis Sinkonde, Ileje Mkuu wa Wilaya ya Ileje, Farida Mgomi, ametoa wito kwa kina baba kushiriki kikamilifu katika masuala ya lishe ili kuhakikisha familia zinakuwa na afya bora na kupunguza udumavu kwa watoto. Mgomi ametoa wito huo umetolewa Novemba…

November 9, 2025, 9:12 pm

COP30 kusaidia matumizi ya nishati safi mkoani Songwe

Na Denis Sinkonde, Karibu kusikiliza kipindi maalumu cha matumizi ya nishati safi kutoka Ileje FM kuelekea mkutano wa Cop 30 utakaofanyika nchini Brazili kuanzia Novemba 10 hadi 21 mwaka huu 2025

October 15, 2025, 9:44 am

Wakulima wapewa mbinu bora za uzalishaji kahawa Songwe

Na Anord Kimbulu, Songwe Katika kuhakikisha kuwa zao la kahawa aina ya Arabika kutoka Nyanda za juu Kusini linaendelea kufanya vizuri kwenye soko la kimataifa, wakulima wa kahawa wilayani Mbozi mkoani Songwe, wameanza kunufaika na mafunzo ya kitaalamu pamoja na…

October 1, 2025, 8:52 am

Mwenge kukagua miradi 43 yenye thamani ya Sh 20.5 bilioni Songwe

Na Ester Simbeye, Songwe Jumla ya miradi 43 ya maendeleo yenye thamani ya Sh 20.5 bilioni inatarajiwa kuzinduliwa, kutembelewa, kukaguliwa na kuweka mawe ya msingi na mbio za mwenge wa uhuru Mkoani Songwe kwa mwaka 2025. Mkuu wa Mkoa wa…

September 30, 2025, 8:08 am

Kamishna Jeshi la Zimamoto Tanzania atoa cheti cha pongezi Ileje FM

Na Denis Sinkonde,Ileje Kamishina Jenerali wa Jeshi la Zimamoto Tanzania CGF John William Masunga amekabidhi cheti cha pongezi kwa redio ya jamii Ileje FM iliyopo wilaya ya Ileje Mkoa wa Songwe kwa utoaji elimu kwa umma kuhusu majanga ya moto…

September 26, 2025, 7:32 am

TRA Songwe yaanzisha dawati maalum la uwezeshaji biasahara

Na Denis Sinkonde Songwe.Wafanyabiasahara na wananchi  Mkoani Songwe wameaswa kuacha vitendo vya kukwepa ulipaji kodi kupitia Mamlaka ya Mapato mkoani humo(TRA) huku  wakikumbushwa kuwa kodi ni muhimu kwa maendeleo ya taifa na wananchi. Wito huo umetolewa na Mkuu wa Mkoa…

September 18, 2025, 6:34 am

RC Songwe aridhishwa na ujenzi daraja la Msangano

Na Denis Sinkonde,Songwe Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Jabiri Omari Makame amepongeza maendeleo ya ujenzi wa Daraja la Msangano Chindi, daraja kubwa linalojengwa na Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa gharama ya takribani shilingi bilioni 2.99. Daraja…

September 18, 2025, 6:20 am

Auwawa kisa ushabiki wa Simba na Yanga Songwe

Na Denis Sinkonde,Songwe Jeshi la Polisi mkoani Songwe linamtafuta Evacery Mwaweza mkazi wa Kitongoji cha Ululu kiijiji cha Idiwili kata ya Idiwili wilayani Mbozi mkoani Songwe kwa tuhuma za kusababisha kifo cha Zabroni Mwambogolo (28) mkazi wa kitongoji hicho wakati…

Ileje FM Radio Profile

“ILEJE FM” is a community radio, variety hits radio station transmitting from ITUMBA ILEJE, SONGWE. The radio is programmed with community, well-researched information, ethical advertisements, and promotions. The station employs competent individuals who are creative and professionally dedicated to satisfying our listeners’ and advertisers’ needs in the community.

The radio is owned by ILEJE DISTRICT, registered under the Tanzania Act of Companies on 31st October 2002 with certificate of incorporation No.112581 of 31st October 2002.

The main purpose for the establishment of ILEJE FM was to air to the community the important events, occurring in the country and outside of it, as well as, education, customs, tradition, science, health, agriculture, road traffic, household knowledge, and entertainment through to traditional and modern songs, opera, drama, music among others. This satisfies the need for information sharing and talent development.

 Location

ILEJE FM is located in the Songwe region, Ileje District though its broadcasting covers areas of neighbouringregions.Rukwa, Mbeya, Ruvuma, Njombe, and some parts of Northern regions of Zambia and Malawi. The maximum of listeners is 5,000,00.

Vision 

The Vision of ILEJE FM is to build community, a loyal and growing audience, and an engaged and educated citizenry by providing the highest quality of free-form programming that broadcasts entertainment, music, news, thoughts, sounds, ideas, and event listings that support free speech, diversity, and the interests of the local and global communities.

The ongoing ripple effect of sustaining ILEJE FM COMMUNITY RADIO is to expand a dedicated listener base who embrace and support ILEJE FM COMMUNITY RADIO because they feel their lives are enriched and improved, their communities strengthened, and the world is a better place.

Values

         Inclusion: We believe that the fabric of our community is stronger when all of its members have the opportunity to express their diverse interests, concerns, and points of view.

         Empowerment: We believe in providing educational opportunities that enable community members to build new skills and gain valuable experience. We promote an exchange of ideas that enriches people’s lives.

         Mutual Support: We believe in fostering connections among the people of Songwe region in order to strengthen appreciation for the community and support among neighbors. Communication and local self-sufficiency during an emergency are important in a small, remote community.

         Independence: We believe it is important that communities take responsibility for understanding the issues that affect them. Locally controlled media have the ability to provide viewpoints and information unavailable elsewhere.